Watu wasiojulikanaKapigwa na nani??
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Watu wasiojulikanaKapigwa na nani??
Anaogopa kukamatwa. Maana angeonekana hapo tu wangesema anahamasisha maandamano! Bora ajikalie nyumbani tu!Najua mwenyekiti Mbowe bado ni mgonjwa na makamu wake Tundu Lisu yuko nje ya nch lakini Katibu mkuu Mnyika yupo pale jimboni Kibamba.
Ninachojiuliza kwanini Mnyika hakuhudhuria mkutano mkuu wa CCM ilhali vyama vyote vya siasa vilipewa mwaliko?
Maendeleo hayana vyama
Sio up...mba..v ni wa kujibuHivi karibuni Chadema walifanya mkutano wao mkuu pale mlimani city, hakuhudhuria mwenyekiti wa CCM ndugu Magufuli wala katibu mkuu wa CCM ndugu Bashiru Ali ili haliwote walikua hapa nchini nawazima wa afya. Iweje ushangae kwa nini Mnyika hajahudhuri mkutano wa CCM?
Sio up...mba..v ni wa kujibu
Najua mwenyekiti Mbowe bado ni mgonjwa na makamu wake Tundu Lisu yuko nje ya nch lakini Katibu mkuu Mnyika yupo pale jimboni Kibamba.
Ninachojiuliza kwanini Mnyika hakuhudhuria mkutano mkuu wa CCM ilhali vyama vyote vya siasa vilipewa mwaliko?
Maendeleo hayana vyama