Emc2
JF-Expert Member
- Sep 26, 2011
- 16,808
- 16,887
Wewe ulitaka aongelee kitu gani?Hii Hotuba ya JPM haina majibu ya kilichokusudiwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ulitaka aongelee kitu gani?Hii Hotuba ya JPM haina majibu ya kilichokusudiwa.
[emoji2][emoji2][emoji2][emoji1][emoji1][emoji1] khaa eti mnamwita baba nani???Huyo msifie tu" lazima mtulize mkimsifia tena msifieni hata kwa sifa za kijinga kisha mpeni mic na karatasi hata EPA inaweza kusahini SAA hiyo hiyo ila babaa msipo msifia chungeni sana mumzuie kuzungumza au jiandaeni kumzimia mic kama mlivyo Fanya kwa ally kiba otherwise msije sema atukuwaambia huyo tunamwita "baba ubaya"
Majibu ya hii quote ya juu.His host, President Uhuru Kenyatta, is also expected to lobby for a clear stand on work permits for Kenyans living and working in Tanzania.
Wewe ulitaka aongelee kitu gani?
Wewe hujamsikia kasema anakaribisha wafanyabiashara wa kenya hata leo?Majibu ya hii quote ya juu.
[emoji12] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sammuel999, kesho mapema saa nne Asubuhi uripoti hapa kuona umati wa Wakenya wenzio wakimsujudia Zhen Master JPM!
ONYO: Mihemuko acha kitandani..
Kipi ulikihitaji!!?Hii Hotuba ya JPM haina majibu ya kilichokusudiwa.
Sasa nimeanza kuelewa kwanini baadhi ya familia zikiwa na watoto wenye ulemavu wa akili uwa wanawafungia ndani wasitoke " bora JPM asiwe anatoka nje ya nchi tufiche aibu yetu "
Amesema makampuni yameajiri zaidi ya watanzania 56,000.Wewe hujamsikia kasema anakaribisha wafanyabiashara wa kenya hata leo?
Ingekuwa vizuri upite majibu katika mada zote za nyuma ambazo ulishiriki kujuwa kwanini hasa watz wanachemka. Watz ni watu wastarabu na marafiki, lakini ukiwatekenya vibaya tuu, urafiki wote unapotea. Umekaa tz unayajuwa hayo.Ndio tatizo za kuanzisha mada mkiwa na chuki na majungu, sasa badala kutoa updates mnaishia vijembe. Inafaa mods wawe na wanaanzisha wao mada za habari kama hii, ili panakua na utoaji taarifa bila upotoshaji na upendeleo. Inakua ni updates tu na mapicha.
Update ziko wapi sasa?
Muanzishe uzi wa updates za Magufuli halafu muchemke wenyewe.Ingekuwa vizuri upite majibu katika mada zote za nyuma ambazo ulishiriki kujuwa kwanini hasa watz wanachemka. Watz ni watu wastarabu na marafiki, lakini ukiwatekenya vibaya tuu, urafiki wote unapotea. Umekaa tz unayajuwa hayo.
UPDATES:Nipo Nairobi tayari kuwaletea yanayojiri live bila chenga na bila upendeleo au upotoshaji..
Itinerary:
* Visit of Edoville dairy plant in Karen
* Nairobi's Southern bypass inauguration
* Hosted to a retreat at Nairobi's state house by Uhuru
From the horse himself..
Wenu,
Geza bin Ulole
(kwa hisani ya JF)