John Magufuli maiden official trip to Kenya

John Magufuli maiden official trip to Kenya

Kuchelewa kote ilibidi ku refuel KIA ndio kuunganisha hadi "nusu london"
Ok!
Kwani walivyoondoka JNIA hawakujaza full tank? Au bombadia ina hitilafu kwenye fuel injection?
 
sasa hivi yupo at the jomo kenyatta mausoleum, majengo ya bunge
e41ee7e90f12883e4754493c0bf5be37.jpg
Akiingia RAO 2017 huu upuuzi utaondolewa!
 
0500cf5794e4054d5378b8f6cf2c8607.jpg
38736a02aea7723216bf140cf321f3cb.jpg

sheebesh and Dr kidero wafurahia ujio wa bulldozer magufuli[emoji2]
d91fab3aec8ad866c892c43c134553f8.jpg

Magu kawaunganisha mahasimu hawa wawili nina uhakika alivaa helmet kwa kende! na hii facial gesture ya Mugu inakaa vp?
 
Hayo nimatope ya ufipa kwa wapuuzi tulisha wazoea.
Alisha jisemea niheri achukiwe na wapuuzi 1000 apendwe na werevu 100000
Huyo ndie Rais wetu
Mlietaka awe tulisha waeleza
Haitakuja kutokea yule kuwa Rais never,
Mchukie
Msimpende haita mpunguzia lolote
Huyo Joka Kuu

Ni moja ya wanyarwanda wasiompenda Rais Magufuli sababu amerudisha uhusiano na Rwanda

Wala usihangaike naye ana chuki ya moyoni
 
Wakenya wamekuwa disappointed! hahah! Walifikiri wataruhusiwa kuingia Serengeti bure! Bwahahah!
 
mbona kazungumza freshi tu..
Kazungumza freshi ila kachemsha kwenye details. Mfano, kuna sehemu kasema anataka kukuza ukuaji wa uchumi from 7.9% hadi 7.2%. [emoji15].

Nadhani alikuwa na lengo nzuri la kutumia data kuonyesha maendeleo lakini kuchanganya kidogo. Scripted speech ingefaa zaidi.
 
Kazungumza freshi ila kachemsha kwenye details. Mfano, kuna sehemu kasema anataka kukuza ukuaji wa uchumi from 7.9% hadi 7.2%. [emoji15].

Nadhani alikuwa na lengo nzuri la kutumia data kuonyesha maendeleo lakini kuchanganya kidogo. Scripted speech ingefaa zaidi.
Wewe ndo hujaelewa 7.9% ni quartely growth na 7.2% ni yearly growth! Msikilize vizuri
 
Sasa nimeanza kuelewa kwanini baadhi ya familia zikiwa na watoto wenye ulemavu wa akili uwa wanawafungia ndani wasitoke " bora JPM asiwe anatoka nje ya nchi tufiche aibu yetu "
dah wewe jamaa hufai hata kidogo na hilo ni tusi baya kwa Rais mkuu
 
Back
Top Bottom