John Magufuli maiden official trip to Kenya

John Magufuli maiden official trip to Kenya

Hehehe!! Hizo sifa akitaka tutampa, hata akitaka tutapiga barabara za Nairobi deki kwa ajili yake, ila kumbuka sisi ni manyang'au, hatufanyi chochote bila malengo. Ukiona tunakupigia barabara deki ukae macho na kuwa makini maana muda usio mrefu utasaini kwenye makaratasi mezani halafu kilio baadaye.

Anyway Magu tunamkaribisha, nimeona kwenye taarifa kwamba atazindua barabara fulani Nairobi na kutembelea viwanda.
Hivi nyie ni manyang'au au MAKAMAU..??
 
ea9a4d0c7623987c77517ac41c2dcc22.jpg
hahaa bulldozer ametua jkia
e6f2713083bd1344572125b04de62e04.jpg
91a83ae1912f4bd1bf80a74bfc606c1e.jpg
 
Ni wachache sana watakuelewa kwa hili...

Anko akileta zile za kutafuta maujiko, wallah nyie manyang'au lazima mtulize...

Naombea awe ameandaliwa speech maana hachelewi kuwaazima mlima Kilimanjaro mkimpigia vigelegele na kumpa maujiko.

Eee Mungu tusaidie...
Rubbish, Mao wa China aliwatuliza watu wa karba yako
 
Ndio maana kachelewa kumbe bombadier imehusika?
Tuhabarishwe kama bombadier ilikodiwa ama ina safari za dar nairobi.
 
Naskia gari ya Magufuli iliishiwa mafuta akaamua kutembea mpaka ikulu ya UHURU
 
Back
Top Bottom