John Marwa: Dani wewe kampeni meneja wa Mbowe tuambie kwanini baada ya mauji ya Ali Kibao na kupotea kwa vijana wa CHADEMA haijachukua hatua yoyote?

John Marwa: Dani wewe kampeni meneja wa Mbowe tuambie kwanini baada ya mauji ya Ali Kibao na kupotea kwa vijana wa CHADEMA haijachukua hatua yoyote?

Ni vizuri kufanya kampeni zenu kwa Ustaarabu , Una uhakika kwamba baada ya hayo yaliyotokea Chadema haikuchukua hatua.

Hivi hamumtaki Mbowe au hamuitaki Chadema? Ikiwa kama mnakipinga hata Chama chenu sasa mnataka nini?

Tulishasema humu kwamba Shambulieni Mbowe Mtakavyo lakini Msishambulie Chadema, hamtaeleweka mnataka nini
Dada wewe kati ya mbowe na lisu upo upande upi?
 
Kameoa kaskazini huko kanalipa fadhira Kwa mwamba.
Bwege wewe mwakani tutahakikisha kura zote anachukua mh Deus Sangu.
 
Kaulize Serikali Kibao walimpelekwa wapi na kina nani, kwa sababu zipi hadi mauti ikamfikia acha u-kalulu.
 
Ni vizuri kufanya kampeni zenu kwa Ustaarabu , Una uhakika kwamba baada ya hayo yaliyotokea Chadema haikuchukua hatua.

Hivi hamumtaki Mbowe au hamuitaki Chadema? Ikiwa kama mnakipinga hata Chama chenu sasa mnataka nini?

Tulishasema humu kwamba Shambulieni Mbowe Mtakavyo lakini Msishambulie Chadema, hamtaeleweka mnataka nini
unaeleweka mkuu, changamoto ni pale Mbowe anapojiaminisha kwa umma kuwa yeye ndiye CHADEMA na CHADEMA ni yeye. Pasipo yeye hakuna CHADEMA.

chama kinakuwa kana kwamba ni cha mtu na si cha wanachama.
 
Mbowe akaze hivyo hivyo, Hawa team Lisu wanataka apite bila kupingwa.
 
Huyu Dani Naftali nikimtazama naona kabisa hana akili za kutulia hata kwa Jinsi anavyomtetea boss wake ni wazi hajui anatetea Nini.
Mimi sija sikiliza anacho sema, lakini mwonekano wake kwenye picha ni kama mlevi hivi! Huyo ndo kampeni Manager wa Mwenyekiti?

Lakini nikisoma kichwa cha mada hii; kuna swali, kwamba "...kwa nini baada ya mauaji ..."
Kumbukumbu zangu ni kuwa Mbowe Mwenyewe alichukuwa hatua ya kufanya maandamano, yeye na mtoto wake, na walisindikizwa na polisi!
Au ulitaka achukue hatua zipi?
 
Naftali km sikosei huyu jamaa sura yake nakumbuka udsm 2010s....
 
Hivi hamumtaki Mbowe au hamuitaki Chadema? Ikiwa kama mnakipinga hata Chama chenu sasa mnataka nini?
Mimi nimeelewa kuwa wanapinga Mbowe na chama kinacho ng'ang'aniwa na Mbowe kuwa Mwenyekiti; na siyo chama chao cha CHADEMA.
 
"Dani wewe kampeni meneja wa Mbowe tuambie kwanini baada ya mauji ya Ali Kibao na kupotea kwa vija wenu CHADEMA haijachukua hatua yoyote!"

1. Mbowe ana jeshi la Polisi lenye wajibu wa kulinda raia na mali?
2. Mbowe ana vyombo vya uchunguzi?
3. Mbowe ana Mahakama zinazoweza kesi za watuhumiwa wa utekaji?
4. Mbowe ana Magereza za kuwafunga waliotiwa hatiani kuteka, kupiga na kuu?
sasa najua umejua nani anakaa kimya baada ya utekaji, utesaji na uuaji, mwambie askae kimya
Wanasema mwenyekiti ni teeth
 
Back
Top Bottom