Wewe unamjua ni nani?
Wewe unamjua ni nani?
Sasa kama magazeti ya bongo yanakuwa na proof readers, mjomba John article yake haifai kuwa proof read kwa vile yuko USA. Well, ndio maana unashangilia kuwa kwako UK na kukutana na wenye matatiyo ya kiingereza zaidi yako! Ok ok, kwa vile UK watu wana matatizo ya kiingereza inakuwa dhambi kumkosoa mjomba John M. Ok, nimekupata.
Ok, hivi inakuwaje watu wanayajua mambo yake mengi kama sio yote? hadi kufunga siku tano akiwa analala chini ya mti?(hii hata mimi sijawahi kusikia)
Yeye hakuwa anaandikia gazeti.Ulitaka article yake iwe reviewed as if inapalekwa JSTOR na sio Michuzi blog.Hivi kuna posts ngapi hapa zinazopelekwa kwa reviewers kabla hazijapostiwa?
Nadhani unaposema NASHANGILIA KUWA KWANGU UK unarudi kulekule kwenye tatizo la msingi,kuacha kujadili hoja na kujadili mtu.Nimetaja kuwepo kwangu UK for ages pasipo maana ya kushangilia (why should I?) bali whether UNATAKA au HUTAKI kama simple logic could tell you that if BAADHI YA WAINGEREZA AMBAO KIINGEREZA NDIO LUGHA YAO YA TAIFA WANASUASUA WHY NOT MTU MWINGINE AMBAYE ENGLISH NI 2nd LANGUAGE?That's my point.
TUMALIZIE NAMNA HII: (according to you) MIE NIMEFANYA KOSA KWA KUMTETEA MASHAKA ALIPOTUMIA KIINGEREZA KIBOVU,NIMEFANYA HIVYO KWA VILE UK PIA WATU WANA MATATIZO YA KIINGEREZA.SASA NYIE WENZETU MNAOKIFAHAMU KIINGEREZA IN AND OUT,AMBAO MNAPOANDIKA NI KAMA MAANDIKO YENU YAMEPITIA KWA REVIEWERS,NA MNAOUJUA UCHUMI WA DUNIA PASIPO SHAKA,MTUANDIKIE KILICHO BORA ZAIDI YA ALICHAONDIKA MASHAKA.
Nobody is going to ran away. Kama ni lugha tupo kote kote. By the way, JM is a very learned collegue and should have judged by the content of his article and not his character. Muda wa kuchezea akili za watu na malimbukeni zimekwisha, na hakuna hata mmoja wenu atakayemzungumzia JK or even JM period.
0. John Mashaka Ni Mbunge Mtarajiwa!
1. TUNAOMBA MAONI YETU JEE KIZAZI CHA DIASPORA KINA UWEZO MZURI WA KULIKOMBOA TAIFA LETU?
2. KABOUR ALILETA MABADILIKO YA KWELI?
3. INTERVIEW YA MASHAKA IKO MICHUZI BLOG AU INAPATIKANA HAPA.
http://issamichuzi.blogspot.com/2008....html#comments
Because people like you (PUNDIT)have THE guts to criticise well delivered ideas.If you are an expert, why cant you use your expertise to write something magical for Tanzanians burdened with graft to read for them to rid themselves of UFISADI?
In addition to the previous discussions, we have been assured by our economic captains such as the BOT governor that the Tanzania government is well prepared to incline the problem and nothing to worry about. We do hope this is the case!
China has been regarded in the recent years as the sleeping giant that has woken up and now marching towards global economic domination, and could not see the wall made of steel that could not only have slowed the pace, but could as well bring to a stop the march all together. A recent trip to the Asia Pacific, revealed how dire and serious the situation is in China.
The pace at which this problem is spreading is very scary; countries like, Pakistan, Indonesia and India with explosive populations, are time bombs that could potentially twist things and explode the situation out of control, when economic difficulties of being unable to find jobs and failure to feed families lead to uprising. Does this sound like something that could happen in our country?
We dont expect our government to completely stem the problem, because rational and honest people can never and will never expect their government to solve all their problems, but may need truth and transparency from their government necessary to make adjustments based on the difficulties of the time.
I am very sorry to inform you that, of all Tanzanians I know, you seem to be one of the linguistic novices who needs something better to do , such as learning how to arrange your sentences, than sitting in blogs to criticize worthwhile ideas. You are touchable, and dont feel otherwise linguistically
Using Jargon does not mean you are brilliant it means you are incompetent.
Have you ever been in any of the channels, or are you having any column?
Being a pundit in underground, anonymous forum shows you are semi literate or brain dead along with your surrogates or still day dreaming to be there when you turn 81!
I have read johns article which seems to be well written and grammatically correct with a few exceptions we expect from someone who is not a journalist.
Try to build that destroying; he has not praised himself, neither has he said anything out of context to warrant your stupid and shallow analysis of deceiving the vulnerable,and weak minded
He has all the qualities to be a politician if he chooses to do so. He has the financial muscle necessary to clear his way into the parliament, and these could be be some bitter pills for you to swallow, what of you, what are you going to be, a village elder (balozi wa nyumba kumi)?
He is gearing to help even your abandonded childen from your ex wife, now laboring under the weight of want and deprivaton at Tandale kwa mtonga selling tomatoes to survive yet you are bored to death with bud light on your two hands.
Trust me JM Is far ahead of you in all aspects; splint to catch up! The guy has no intent of becoming a Mbunge. He will be mentally sick to leave his lucrative job to go and work for peanuts.
wewe Mama choka ile mbaya rudi Bongo. Sura imeanza kuvaa wrinkles ! ndo maana unachukia hata vitoto vidogo kama JM.By the way, wanagpi umewatupa kwa hesabu za haraka haraka? kwa taarifa yako, JM anawalisha Bongo !!!!!!!!!!!!!!!!!!!
Kachambe kule, mnachafua hali ya hela kwa watu wanaosaidia bibi zenu na watoto mliotupa majalalani
Mkuu watu wako too personal JF ndio linashobakiwa kila siku badala ya kuangalia logic.Ukiangalia hapa kuhusu JM ni wivu tu unawasumbua watu.Yaani mkuu umemaliza kila kitu wabishe tu hao wanaojiita wasomi wajua vingereza article zao wanazipeleka kwa wasahihishaji kabla ya kupost hapa JF?Yeye hakuwa anaandikia gazeti.Ulitaka article yake iwe reviewed as if inapalekwa JSTOR na sio Michuzi blog.Hivi kuna posts ngapi hapa zinazopelekwa kwa reviewers kabla hazijapostiwa?
Nadhani unaposema NASHANGILIA KUWA KWANGU UK unarudi kulekule kwenye tatizo la msingi,kuacha kujadili hoja na kujadili mtu.Nimetaja kuwepo kwangu UK for ages pasipo maana ya kushangilia (why should I?) bali whether UNATAKA au HUTAKI kama simple logic could tell you that if BAADHI YA WAINGEREZA AMBAO KIINGEREZA NDIO LUGHA YAO YA TAIFA WANASUASUA WHY NOT MTU MWINGINE AMBAYE ENGLISH NI 2nd LANGUAGE?That's my point.
TUMALIZIE NAMNA HII: (according to you) MIE NIMEFANYA KOSA KWA KUMTETEA MASHAKA ALIPOTUMIA KIINGEREZA KIBOVU,NIMEFANYA HIVYO KWA VILE UK PIA WATU WANA MATATIZO YA KIINGEREZA.SASA NYIE WENZETU MNAOKIFAHAMU KIINGEREZA IN AND OUT,AMBAO MNAPOANDIKA NI KAMA MAANDIKO YENU YAMEPITIA KWA REVIEWERS,NA MNAOUJUA UCHUMI WA DUNIA PASIPO SHAKA,MTUANDIKIE KILICHO BORA ZAIDI YA ALICHAONDIKA MASHAKA.
"Livingstones student body is composed of young men and women from all walks of life, ranging from sub-Saharan Africa Bush-men (which includes me) to New Yorks Bronx. As a former member of the jungle, it has not entered my mind to go back and chase animals in the wilderness of Africa. My dream is to return there someday and transform tens of thousands of people in my society to modernity".
Mkuu watu wako too personal JF ndio linashobakiwa kila siku badala ya kuangalia logic.Ukiangalia hapa kuhusu JM ni wivu tu unawasumbua watu.Yaani mkuu umemaliza kila kitu wabishe tu hao wanaojiita wasomi wajua vingereza article zao wanazipeleka kwa wasahihishaji kabla ya kupost hapa JF?
Mapundits wa JF bana makala zao ziko wapi kazi makelele tu yasiokuwa na mpango.Hamna hoja ya msingi.
Hata kama amedonate 100$, sio sababu ya kumfanya yeye asiguswe.
Ningekuwa wewe ningechukua kalamu na karatasi na kuanza kujiuliza kwa nini huyu kaandika hivi na kwanini yule kaandika vile. Ningefanya mchanganuo na kujibu mapigo kwa vitendo, kwa mfano kutovaa tena miwani na kofia ya namna ile wakati wa interview na media. Muonekano wako tu unaweza kuonyesha character yako at the first place.
Jamani hivi Jamii Forums haina jinsi ya ku ban IP address ya mtu ?
Hawa wakina Chinga wanarudi kila siku humu, mijadala inaharibika hivi hivi.
Angalia hapo juu sasa, katikati ya mjadala mtu anamwambia mwenzake anaosha mik#$@u ya Wazee halafu anaachiwa!!
Jamani mbona kuna uzembe katika ku run hii forum ?
Hakuna feature ya ku ban IP address ya mtu ?
Kina Invisible na Painkiller, please!!!!
Mama unajitahidi sana kuangalia pande zote za mjadala, kwa kweli. It's impressive. On the one hand, ulini call out kwa ku assume jamaa hawezi kuwa M-Bushman from Tanzania, ila naomba kwa hili tusubiri kupata ukweli wa asili yake haswa (So far naona kuna indication kwamba naweza kuwa niko sahihi. Mchangiaji mwingine, Fundi Mchundo, nae ame indicate kwamba hakuna Bushmen Tanzania.)
In any event event, nafurahi umeliona swala la immaturity ya mjomba Johnnie kwenda mbele ya national audience na li-kapelo na li-gazozi limefunika uso kama Terrel Owens analia, na kujitangaza kuwa Investment Banker wa "Wall Street" ya North Carolina!! Anataka kuwa Bono the activist philantropist, lakini mwenzie yuko kwenye show biz, kazi ambayo inaendana na glitzy image na mitindo. Mjomba Johnny ana aspire kuwa Wall Street investment banker, avue m-kapelo wa pinki na miwani ya uso, I don't care if kama ni Marc Jacobs the plagiarizing designer au Moss Lipow leather glasses!!
Kingine, mjomba Johnnie anahitaji ku mature. Alipoenda Daily News swali la kwanza kaulizwa, eenhe, tuambie, ni vitu gani umefanya. Mjomba akaanza...."aaaah, vitu ambavyo nimefanya sitataka kuvizungumzia kwa maana itaonekana kama najisifia." Imagine that! Puerile, self-centered response to a simple, important question. Tueleze shughuli za foundation yako. Tumia nafasi hiyo ku raise awareness juu ya social ills ambazo zinakukera, uungwe mkono, we unaanza kumaindi mambo ya kitoto, ku deflect shutuma kuwa unatafuta ujiko! Umejipeleka gazetini kuongelea masuala ya foundation yako, sio ?
Jamaa anahitaji PR skills, ama he's straight out mwongo mwongo. Kuna interview alisema hapendi kabisa media attention, na ana wish angekuwa anaweza kufanya mambo kimywa kimywa. Lakini yeye mwenyewe ndio haishi kujipeleka kwenye camera, kutuma vi article Arusha Times, Salibury Post, WSOC-TV, Michuzi. Attention grabbing, prepubescent, dishonest Bono wanna be.
Halafu, anapotoa hii misaada ni vizuri awape credit wanaochangia. Amewadanganya Daily News kwamba hana foundation wakati ipo imeandikishwa N.C., ambako anawapigisha donee wafanyakazi wa Wachovia. Ana wahisani wa nguvu, in N.C, including Joan Cooper, millionaire CEO wa Cooper & Co. na Esther Mateos, a high level exec at Wachovia na wengineo. Mjomba Johnnie ana ma ishu na ma baggage mengi sana.
Pundit,
Jibu mapigo, jamaa si lolote si chochote anakutisha tu. Kama ungejua ni nani huyu mtu anayejiita Chinga, ungejiona mjinga sana kwa kumuuachia anakuongelea hovyo namna hii.
HIT BACK HARDER, PUNDIT!!
So now this is what this is about?
People , some of us actually have social lives, and do get away from computers, especially on weekends.No amount of irritating flies and fleeting impactless virtual-particle-like sorry rabbits tricks will move the rationality of a principled observant.Zero tolerance towards wannabees, pretenders and usurpers is guaranteed.
Pundit is a battle-scarred shogun, and once provoked will gladly provide the dressing down to these tagless lost puppies cum two bit toy soldiers with neither the content nor the delivery to even begin to register in the annals of recognized financial journalism.
The venerable St. Augustine said It was pride that changed angels into devils; it is humility that makes men as angels. Have some humility, jamaa yenu kachemsha, tena kajianika utupu wake mchana kweupe kama mtu aliyevuliwa nguo.
Sasa kama anatuma wapambe au anakuja mwenyewe kufanya damage control (angalia posts za watetezi wake utagundua) anakosa somo la bure.
Kwa wale wanaosema niandike piece kuhusu uchumi I tell them this.
1.No one knows if I have or have not written an article on the subject at hand.I will not stand to compromise my sacred anonymity for the sake of a food fight.
2. I do not have to write a piece here in order to earn the right to criticize another.I can choose my role to remain in the realm of pointing out the obvious and despicable butchering of the presentation and concepts in any and all posts.
3.If by my own volition I were to write a piece here, which will most certainly not be hurried, by virtue of the fact that I did not declare myself an expert on the subject, the administration of a critique would be ill advised to focus on my piece as one coming from a professional in the field.I will still expect the regular scrutiny which stand like trade mark behind the JamiiForum brand.
3.Should I choose to write a piece on the subject here, I will do it at my own pace.Under no circumstance will I ever let praise get to my head and get me giddy with narcissist egoism or blame get to my heart with the burden of the same ego trying to impress anybody.
4.If you don't see me murdering some malnourished wanna be critic of my critique, it is hardly because I am afraid. This throat slasher has never been one to back down from a challenge, shy from answering a question and in the same breath, with the audacity of the third person, has never been known to accept ill conceived domestication.
Tujadili YALIYOMO na si KIKOMBE.