John Mashaka Ni Mbunge Mtarajiwa!

John Mashaka Ni Mbunge Mtarajiwa!

Status
Not open for further replies.
@#157,

What you need to do is connect the polygon, by following the dotted lines from the two ends..and then ..

Bingo! You've got the nanihii ..the whole picture! au bado?
 
The article is excellent to you, not necessarily to everyone else. Hii sio mara ya kwanza Pundit kuchambua, huchambua hata michango ya members humu, nachelea asijekuchambua na wewe.

Hapa ni JF, people dare to talk openly, ukibore unaambiwa, ukiwa sawa unaambiwa vile vile. Mambo ya wivu ni kwenye kitchen party, sio hapa JF.

Inategemea na kipimo chako cha mafanikio. Kipimo kinaweza kuonyesha best kwako kwa mwenzio kikawa least. Una uhakika gani kama huyo Pundit hasaidii watanzania wenzake, au hadi atangaze?

Mind you, katika dunia ya leo hakuna utakachofanya umridhishe kila mmoja, kila mtu na mtazamo wake. Mtu akinicriticise cha kwanza nitakachofanya ni kumshukuru. Kwa sababu gani? najua mtu huyo ananijenga. Nitachukua hizo critics kama challenge ya kunifanya nijitahidi ili nifanye vizuri zaidi na sio kunikatisha tamaa.

I beg to differ.Hivi Mama,unapokaa chini na kuandika kitu kwa ajili ya Watanzania wenzako,then anajitokeza mtu kuku-criticize,not based on content ya ulichokiandika,bali grammar na casting doubts on your career,would you still regard kuwa huyo mtu anakujenga?Kumjenga mtu ni kumsahihisha pale inapobidi kisha kuandika namna ilivyopaswa kuwa.Let's not forget sie sio Waingereza,na hata miongoni mwa hao Waingereza wenyewe kuna wengine wanaohangaishwa na lugha yao,kama ambavyo baadhi yetu tunavyosumbuliwa na Kiswahili.

Criticism is good but only of it's constructive.Pia ni kweli kwamba si rahisi kumridhisha kila mmoja but what if hujafanya kitu kwa minajili ya kumridhisha mtu?Kwa mtizamo wangu (pengine finyu) maandiko ya Mashaka hayakulenga kumridhisha mtu bali kuwahabarisha Watanzania wenzake walio ndani na nje ya Tanzania kuhusu matatizo ya uchumi wa dunia.Na hilo ni tatizo kwa jamii zetu za kiafrika: kutaka kuridhisha mtu/watu.What's important is doing the right thing,and not pleasing people (na mfano mzuri ni kesi za EPA,je turidhishwe au tutendewe the right thing?)
 
#161

dots connected from the first place, ..........benefit of doubt.
 
I beg to differ.Hivi Mama,unapokaa chini na kuandika kitu kwa ajili ya Watanzania wenzako,then anajitokeza mtu kuku-criticize,not based on content ya ulichokiandika,bali grammar na casting doubts on your career,would you still regard kuwa huyo mtu anakujenga?Kumjenga mtu ni kumsahihisha pale inapobidi kisha kuandika namna ilivyopaswa kuwa.Let's not forget sie sio Waingereza,na hata miongoni mwa hao Waingereza wenyewe kuna wengine wanaohangaishwa na lugha yao,kama ambavyo baadhi yetu tunavyosumbuliwa na Kiswahili.

Criticism is good but only of it's constructive.Pia ni kweli kwamba si rahisi kumridhisha kila mmoja but what if hujafanya kitu kwa minajili ya kumridhisha mtu?Kwa mtizamo wangu (pengine finyu) maandiko ya Mashaka hayakulenga kumridhisha mtu bali kuwahabarisha Watanzania wenzake walio ndani na nje ya Tanzania kuhusu matatizo ya uchumi wa dunia.Na hilo ni tatizo kwa jamii zetu za kiafrika: kutaka kuridhisha mtu/watu.What's important is doing the right thing,and not pleasing people (na mfano mzuri ni kesi za EPA,je turidhishwe au tutendewe the right thing?)


kwa taarifa yako basi, ukimpelekea reviewer kazi yako, akaanza kukutana na makosa madogo madogo kama ya grammar at the first place, hata kama content ni nzuri kiasi gani, haendelei kusoma. Labda awe anabackground kidogo au clue yeyote ya article yako.

Ni vema kuanza kuondoa hayo makosa madogo madogo ya kiufundi kabla hujaingia kwenye kuchambua content yenyewe. Hapo ndipo huwa tunaanza kusema ooh, mbona article yangu nzuri lakini nikipeleka kwenye international journal inakuwa rejected...bla bla blaaaa.

Hayo ya EPA yana pahala pake, hapa ni pa John Mashaka and the like; sio mixed salad.
 
Mlalahoi kula tano. The guys grammer is flawless hawa ni wazushi waliochoka kuosha mikundu ya wazungu. wamechoka na hasira zinawashika kumuona mtoto mdogo anakuja kasi vile

Mama umeshawaza kama kazi yako I salama? ukikosa nauli kurudi bongo tutakuchangia

You have made a very valid point here............. Wewe ni mlalahoi na mzalendo kweli. Nakupa cheo cha Snr. Analyst
 
Hapa ni majungu tupu. Mashaka kwashinda wameanza kulia machozi ya damu.

Huyu ni mtoto mdogo sana, ila anafanya mambo makubwa sana, tungempongeza badala ya kujaribu kumvuta kushoto na kulia ili aanguke. Hii ndiyo desturi ya watanznaia.

]Itabidi pia tumualike JM huko ili avute hawa wanaopotoshwa na waosha vinywa wachovu JF. Wazidi kulia tu

Jamani karibuni kwa mwanakijiji.............................................

Katika post yako ya kwanza umesema John Mashaka humjui, lakini inaonekana unamjua kuliko.
 
Nadhani hata wewe haumjui lakini unajua habari zake. Kama haujui habari zake kumbe unaandika nini basi? unatuchezea akili mama?

http://mwanakijiji.podomatic.com/]KLH News[/B]Itabidi pia tumualike JM huko ili avute hawa wanaopotoshwa na waosha vinywa wachovu JF. Wazidi kulia tu

Jamani karibuni kwa mwanakijiji....................................... ......
 
HIVI PUNDE KLH NEWS ITAANIKA INTERVIW KABAMBE NA JONI MASHAKA, KARIBUNI MSIKILIZE

http://mwanakijiji.podomatic.com/
 
wewe Mama choka ile mbaya rudi Bongo. Sura imeanza kuvaa wrinkles ! ndo maana unachukia hata vitoto vidogo kama JM.By the way, wanagpi umewatupa kwa hesabu za haraka haraka? kwa taarifa yako, JM anawalisha Bongo !!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Kachambe kule, mnachafua hali ya hela kwa watu wanaosaidia bibi zenu na watoto mliotupa majalalani
 
wewe mama choka ile mbaya rudi bongo. Sura imeanza kuvaa wrinkles ! ndo maana unachukia hata vitoto vidogo kama JM.

Kachambe kule, mnachafua hali ya hela kwa watuwanaosaidia bibi zenu na watoto mliotupa majalalani

ha ha ha haaaa, umebambwa, duh pole sana. Na bado.
 
Watoto uliowatupa chooni bado wako hai. Ni wazima, wanatunzwa na hela za wadau kama JM........
 
Watoto uliowatupa chooni bado wako hai. Ni wazima, wanatunzwa na hela za wadau kama JM........


ha ha ha haaa, mfa maji huachi kutapa tapa. Ile article iwe reviewed bana, halafu ionyesha imewalenga watanzania wanaoishi marekani au walio huko nyumbani.
 
wee mama, naelekea kwenye boxi.... ila usizidi kuwanyonga vitoto na kuwatumbukiza kwenye chooo
 
... hawa ni wazushi waliochoka kuosha mikundu ya wazungu.

Mama umeshawaza kama kazi yako I salama? ukikosa nauli kurudi bongo tutakuchangia

wewe Mama choka ile mbaya rudi Bongo. Sura imeanza kuvaa wrinkles ! ndo maana unachukia hata vitoto vidogo kama JM.By the way, wanagpi umewatupa kwa hesabu za haraka haraka? kwa taarifa yako, JM anawalisha Bongo !!!!!!!!!!!!!!!!!!!

Kachambe kule, mnachafua hali ya hela kwa watu wanaosaidia bibi zenu na watoto mliotupa majalalani


Jamani hivi Jamii Forums haina jinsi ya ku ban IP address ya mtu ?

Hawa wakina Chinga wanarudi kila siku humu, mijadala inaharibika hivi hivi.

Angalia hapo juu sasa, katikati ya mjadala mtu anamwambia mwenzake anaosha mik#$@u ya Wazee halafu anaachiwa!!

Jamani mbona kuna uzembe katika ku run hii forum ?

Hakuna feature ya ku ban IP address ya mtu ?

Kina Invisible na Painkiller, please!!!!
 
ha ha ha aaa, usisahau kuwapelekea reviewers kabla hujapublish.

Kazi njema.

Mama nadhani sasa nimekuwa na uhakika na kile nilichokifikiri awali....dots are now fully connected. Remember the interview? Mambo ya first impression...au?
 
Kuhani hakuna wa kum-ban hapa. Cha muhimu ni kuoanisha ile ile character ya Dupri, jibu umeshapata subiri next time! Kwani hujapata jibu bado?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom