John Mnyika aitwa Polisi kwa uchunguzi mauaji ya Ally Mohamed Kibao

Sio mbaya, ila ubaya ni kua hizi propaganda hushia hewani mwisho wa siku hamna anaetuhumiwa kwa hayo mauaji..

Inaumaga sana ile kitu unajua ni fulani kafanya na huana kitu unaweza mfanya kwa wakati huo.
Ndio hii sasa.
 
Uchunguzi juu ya kupotea Ben Saanane November 2016 umefikia wapi?

Uchunguzi kwa waliompiga Lissu risasi 32 , 2017 umefikia wapi?

Uchunguzi wa waliomteka Mohamed Dewji 2018 umefikia wapi?

Uchunguzi wa kifo cha mfanyabiashara wa madini Mtwara 2022 umefikia wapi?
 
Watuwanatoana roho au Serikali inawatoa roho raia?
 
Sijui ni mihemko au upeo wetu ni mdogo. Tujue kutofautisha kushikiliwa na Polisi kwa kosa la mauaji na kuitwa kutoa taarifa saidizi katika kosa la mauaji. Naona wengi tunatukana kwa kushindwa kutofautisha hili vitu viwili.
 
Asikilize wito na baada yakutoka Kwenye wito atuambie wanalitaka kujua nn kwakee hao police CCM ..

Ila awe makini maana anaweza kwenda kusikiliza wito kumbe ndio hatutamuonaa tenaa..
Nahisi kama anaenda kupewa yeye kesi ya mauaji
 

View: https://x.com/fatma_karume/status/1836003251243581886?t=JZm3SLc7B_-O_XuXWWn8ng&s=19
 
YAPO YA KUSHANGAZA KUPITA KIASI MFANO YULE ALIYETEKWA AKAMTAMBUA MTEKAJI WAKE NA KUTOKUWEPO KWA HATUA ZOZOTE ZINAZOENDELEA, INANISTAAJABISHA KWELI KWELI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…