John Mnyika ajibu kuhusu Freeman Mbowe kutangaza nia ya Uenyekiti CHADEMA

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika, amejibu juu ya Mhe. Freeman Mbowe kama atachukua fomu ya Uenyekiti wa Chama hicho, wakati alipokuwa akizungumza na wanahabari Jijini Dar es Salaam, ambapo alikuwa akiwatangazia wanachama juu ya uchaguzi wa viongozi wa Chama na Mabaraza kwa ngazi ya Taifa utakaofanyika Januari 2025.

Mnyika amesema mchakato wa uchaguzi ndio umefunguliwa na uchukuaji fomu ndio umeanza.
Your browser is not able to display this video.


Pia, Soma: CHADEMA watoa tamko zito, John Mnyika aanika gharama za fomu za kugombea na kutoa mwongozo
 
Ajibu kama kweli Ruzuku inaingia kwenye Account binafsi ya Mbowe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…