John Mnyika amaliza utata pesa za Join the Chain. Ataja kiasi kilichopatikana na kazi zilizofanya. Asema wajumbe wote wa kamati kuu walikuwa wanajua

We mwanasm,waaachie chendema mambo Yao!
 
Tuna imani na Rais Samia na tunaweza kubadilisha hata katiba ili atawale mpaka achoke Mwenyewe.
Imani unayo wewe na familia yako na labda aitawale familia yako hadi achoke ila sio Tanganyika wewe kunguni wa bibi wa Unguja.
 
Imani unayo wewe na familia yako na labda aitawale familia yako hadi achoke ila sio Tanganyika wewe kunguni wa bibi wa Unguja.
Tutabadilisha katiba na hutakiwa na chochote kile cha kutufanya wala kutuzuia.
 
Hapo sasa wewe utakuwa unatofautiana na wenje maana yeye ndio alisema kuwa pesa hizo aulizwe lema
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…