mlimilwa
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 3,268
- 3,439
hahahahahahahahahahahahah.....Ukitaka taarifa zaidi fika ofisi ya Katibu mkuu.hakuna taarifa ya kutolewa mtandaoni wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahahahahahahahahahahah.....Ukitaka taarifa zaidi fika ofisi ya Katibu mkuu.hakuna taarifa ya kutolewa mtandaoni wewe
Mtu mwenye akili zake timamu, hawi ccmOndoa ujinga wako hapa wewe usiye na akili.
We mwanasm,waaachie chendema mambo Yao!Ndugu zangu Watanzania,
Siweki neno lolote lile zaidi ya kuweka taarifa ya John Mnyika katibu Mkuu wa CHADEMA.👎
#JoinTheChain ilikuwa ni kampeni Maalum iliyofanywa na CHADEMA kukusanya fedha kwa ajili ya uendeshaji wa Chama kati ya mwezi Februari mpaka Mei 2022.
Kwa wakati huo kipaumbele cha kwanza ilikuwa ni kugharamia Mkutano wa Baraza Kuu 2022 ambalo pamoja na agenda nyingine lilisikiliza rufaa za #Wasaliti19 waliofukuzwa uanachama. Baada ya hapo fedha za ziada zingetumika kwenye operesheni za Chama ikiwemo za madai ya #KatibaMpya .
Fedha ambazo Makao Makuu tulipokea kupitia akaunti ya benki na nambari za simu tulizotangaza hapo chini wakati huo zilikuwa shilingi milioni 114. Fedha hizo ziligharamia sehemu ya gharama za Mkutano wa Baraza Kuu la Chama la Mei 2022.
Soma Pia: Ezekiel Wenje: Kuhusu zilipoenda pesa za Join The Chain muulizeni Godbless Lema. Yeye ndo alikuwa Mwenyekiti!
Aidha, pamoja na fedha taslimu kampeni hiyo iliunganishwa pia na ulipaji wa ada na kadi kidigitali ambapo mapato yote kwa ujumla yalikuwa shilingi milioni 371.
Taarifa ya kiwango cha makusanyo na matumizi ilitolewa kwa Kamati Kuu katika vikao vitatu tofauti kwa nyakati mbalimbali hivyo hakuna mjumbe wa Kamati Kuu anayepaswa kusema hafahamu. Majibu sahihi yanapaswa kuwa ama mjumbe hana mamlaka ya kusemea masuala ya fedha au amesahau takwimu.
Nimelazimika kuandika kuhusu suala hili kwa kuwa naona limejirudia rudia mitandaoni na kwenye vyombo vya habari lakini mara zote ambazo Katibu Mkuu nimefanya press conferences halijawahi kuulizwa. Mahesabu ya mwaka husika wa fedha ikiwemo yaliyohusu mapato na matumizi kutoka kampeni #JoinTheChain yalikaguliwa na Mkaguzi wa Mahesabu (CAG) na Chama kikapata hati safi. #StrongerTogether #mkutanomkuuchadema2025
Kazi iendelee, Mama Ametufikia na kuwafikia watanzania kwa utumishi wake uliotukuka wa kugusa Maisha ya watanzania wanyonge wasio na Sauti.
Lucas Hebel Mwashambwa, Mama ANATOSHA kuendelea kuliongoza Taifa letu kwa muhula wa pili
Njoo Dodoma,utuchambulie ya uchaguzi hadi tulowe kwa machozi!Mimi ni Mwashambwa na mwana CCM
Wewe ndiye mjinga.Kama Mbowe siyo dalali wa mama Abdul kwa nini wajinga wengi wa CCM mnampigia debe Mbowe?
Imani unayo wewe na familia yako na labda aitawale familia yako hadi achoke ila sio Tanganyika wewe kunguni wa bibi wa Unguja.Tuna imani na Rais Samia na tunaweza kubadilisha hata katiba ili atawale mpaka achoke Mwenyewe.
Huyo ni kidampa tu hana cheo cha kumpeleka hata huo mkutano.Njoo Dodoma,utuchambulie ya uchaguzi hadi tulowe kwa machozi!
Tutabadilisha katiba na hutakiwa na chochote kile cha kutufanya wala kutuzuia.Imani unayo wewe na familia yako na labda aitawale familia yako hadi achoke ila sio Tanganyika wewe kunguni wa bibi wa Unguja.
Alishindwa Magufuli sembuse huyo mama yenu ?Tutabadilisha katiba na hutakiwa na chochote kile cha kutufanya wala kutuzuia.
Hapo sasa wewe utakuwa unatofautiana na wenje maana yeye ndio alisema kuwa pesa hizo aulizwe lemaMchanganuo wanaujua wajumbe wa kamati kuu.hapo ametoa kwa ufupi kuonyesha uadilifu wa Mwamba ambaye aliongoza zoezi hilo. Ndio maana wajumbe wamejiandaa kumpigia kura za ndio Mwamba na Jabali la siasa za upinzani hapa Nchini Mheshimiwa Freeman Mbowe kwa kishindo kikuu kitakacho itetemesha Dunia nzima
Subiri tuamue uone kama itashindikana au kama kutakuwa na wa kutuzuia .Alishindwa Magufuli sembuse huyo mama yenu ?
Huna maamuzi yoyote huko Lumumba wewe ni kidampa na form four failure kwanza !Subiri tuamue uone kama itashindikana au kama kutakuwa na wa kutuzuia .
Halafu kuna mjinga mmoja anasema eti wewe ni nanihii sijui, eti ni kweli?Wewe ndiye mjinga.
Mjaluo yuleKamata wenje piga viboko beba peleka nyamagana ,wazee wa kisukuma wamkanye Mara moja.