Nyamizi
Platinum Member
- Feb 19, 2009
- 9,186
- 13,757
Uzimzeeshe bwana,Mnyika ni baba lakini kwa vitoto vya 15yrs kushuka chini.Kwako wewe Mnyika ni Kaka [emoji3][emoji3]John Mnyika, namkubali sanaa huyu baba.
[emoji122][emoji122]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uzimzeeshe bwana,Mnyika ni baba lakini kwa vitoto vya 15yrs kushuka chini.Kwako wewe Mnyika ni Kaka [emoji3][emoji3]John Mnyika, namkubali sanaa huyu baba.
[emoji122][emoji122]
Unamfahamu Mzee Mangula wewe? Hivi unamjua Kinana! Kwa Slaa sawaKatika interview ambazo zilikuwa na maswali marahisi kwa mtu neutral lakini maswali magumu kwa mwanasiasa ni interview ya juzi Clouds kati ya Mnyika na wanahabari wa chombo hiki.
Lakini kati ya story zote zilizojitokeza unamwona Mnyika akichambua na kujibu maswali na hoja zote kiuhalisia bila kuzua mjadala kuhusu uhalali wa majibu yako. Hakuna majibu yakupika
Lakini eneo la pili anaonekana wazi siyo mwanasiasa bali ni binadamu mwenye uwezo na ufahamu sahihi kuhusu mahitaji ya Dunia kabla,sasa na baadaye. Anatambua wazi kwamba CHADEMA siyo nchi bali ni chama cha siasa kilichoundwa kukidhi matakwa ya mfumo wa kisiasa na kwamba kupitia taasisi hii upo uwezekano mkubwa wa binadamu waliopo ndani kupishana kimtazamo.
Mfano mzuri ni pale alipokiri kwamba yeye binafsi alikataa kumpokea Lowasa, lakini mwisho akaona kiu ya kisiasa ya kuiondoa CCM madarakani iliyokuwa ndani ya watu walio wengi na hapo ndipo alikubali kuendelea kutokukubaliana na msimamo wa chama kuhusu aina ya mgombea wao lakini akaamua kuunga mkono maono ya wananchi ya kuiondoa CCM madarakani.
Tafsiri kubwa hapa anatuambia si chadema wala CCM wanaoweza kuitoa nchi hapa ilipokwama isipokuwa watanzania kuamua kuunda mfumo wa kikatiba unaotoa haki na unaosimamia nidhamu ya kisiasa na serikali. Incase tukipata mfumo sahihi wa kikatiba may be tunaweza kufuata mfumo wa Kenya ambapo ikifika uchaguzi zinaundwa pande mbili let say UPANDE YANGA NA UPANDE WA SIMBA AU NG'OMBE NA MBUZI AU KUSHOTO NA KULIA THEN MNAUZA SERA WANANCHI WANACHAGUA.
Maono ya Mnyika yanatufumbua macho kwamba tuache imani kwa chama tubaki na imani ya nchi. Kenya wanapiga hatua kwa sababu hakuna akili zinazosubiri kuwa chawa zipewe nafasi....kila nafasi inamgumo wa ushindani.
Lakini jambo la mwisho kuhusu John Mnyika ni uwezo wake wakusimama kama Katibu mkuu na chama kubaki imara kipindi cha JPM. Kusimama imara kutetea chama dhidi ya waovu wa tume ya uchaguzi ambao walifikia hatua yakughushi nyaraka na kuzipeleka Bungeni.......Mnyika amesema wazi kwamba Tume ya Uchaguzi haijawahi kuonyesha popote barua yakuwapitsha akina Mdee iliyodaiwa kutolewa na Chadema. Maana yake anakiri kwamba pamoja na mawimbi mazito alisimama kama katibu mkuu na itoshe kusema kwamba huyu ndiye katibu mkuu bora kuwahi kutokea baada ya Mzee Kinana na Dr. Slaa. Katika mazingira ya kawaida, Mbowe alifahamu msimamo wa Mnyika dhidi ya Lowasa lakini alidiriki kumpendekeza kuwa katibu mkuu jambo ambalo siyo dogo. Uvumilivu wake ungekuwa mdogo angeungana na Slaa na matokeo yake angekuwa ameshapoteza dira kisiasa au ni DC kama walivyo akina Nassary, Mashinji nk
Natamani atunukiwe nishani ya utumishi uliotukuka
Ni kweli JJ tulikuwa naye kwenye kundi la wakataaji mpaka dakika ya mwisho. John ni miongoni mwa walioamua kuunga mkono juhudi za mbowe, sisi wengine tukagoma kugeuka mawe, tukajiondoa! Hata lisu alikuwa kundi letu mpaka alipokatiwa cha juu ndo akaamua kutusaliti. Mungu anamuona.Mfano mzuri ni pale alipokiri kwamba yeye binafsi alikataa kumpokea Lowasa,
Inasemekana mwendazake aliweka mezani ifa kubwa , bwana mdogo akachomoa, ila sio Mnyika tu 95% ya viongozi wa chadema ambao mpaka sasa wamesimama wote walipigwa ofa wakachomoaMkuu umemtendea haki mnyika hakika yuko hivyo ni Kati ya vijana bora sana.
Mliojiondoa ni wasaliti period, kwenye kujenga jambo suluhu sio kujiondoa bali nikupima fact , na kukubali mawazo ya wengi na kusonga mbele, stupidNi kweli JJ tulikuwa naye kwenye kundi la wakataaji mpaka dakika ya mwisho. John ni miongoni mwa walioamua kuunga mkono juhudi za mbowe, sisi wengine tukagoma kugeuka mawe, tukajiondoa! Hata lisu alikuwa kundi letu mpaka alipokatiwa cha juu ndo akaamua kutusaliti. Mungu anamuona.
Baada ya kusema hayo alipaswa aulizwe kuwa kughushi ni kosa la jinai, baada ya yeye kugundua hao wabunge 19 wameingia Bungeni kwa barua ya kughushi alipaswa afanye nini?. Ofisi yoyote haipaswi kuonyesha nyaraka yoyote ya kiofisi kwa yeyote, hao NEC wamuonyeshe Mnyika barua ya kutoka Chadema kama nani?.Kusimama imara kutetea chama dhidi ya waovu wa tume ya uchaguzi ambao walifikia hatua yakughushi nyaraka na kuzipeleka Bungeni.......Mnyika amesema wazi kwamba Tume ya Uchaguzi haijawahi kuonyesha popote barua yakuwapitsha akina Mdee iliyodaiwa kutolewa na Chadema.
Mmmm....hapo P umebagaza ....kwenye kesi ya msingi zimepigwa dana dana nyaraka hazikuletwa NEC hakuna kulindana hapo ? ......nini tafsiri ya ile kesi ? Naona Jaji amejikita baraza kuuu Chadema na Cc yake ....hakusema ule mchakato na supporting Docs zake......Baada ya kusema hayo alipaswa aulizwe kuwa kughushi ni kosa la jinai, baada ya yeye kugundua hao wabunge 19 wameingia Bungeni kwa barua ya kughushi alipaswa afanye nini?. Ofisi yoyote haipaswi kuonyesha nyaraka yoyote ya kiofisi kwa yeyote, hao NEC wamuonyeshe Mnyika barua ya kutoka Chadema kama nani?.
Chadema na Mnyika walichopaswa kufanya baada ya kugundua kuna forgery
1. Kuripoti polisi ili uchunguzi wa kijinai ufanyike.
2. Uchaguzi ungethibitisha jinai ya forgery
3. Baada ya jinai ya forgery kuthitishwa, NEC wange withdrawal zile barua za uteuzi
4. Bunge lingewafuta ubunge
5. Nafasi 19 za viti maalum Chadema zingetangazwa kuwa wazi.
6. Chadema waligoma kupeleka majina ya wabunge wake wa viti maalum kwa hoja ya hawayatambui matokeo ya uchaguzi, hawamtambui mshindi na hawalitambui Bunge!.
7. Baada ya maridhiano, walikubaliana kugawana kitu kinachoitwa nusu mkate, hivyo sasa wanayatambua matokeo ya uchaguzi wa 2020, wanamtambua rais wa JMT na wanalitambua Bunge na wanapokea ruzuku yao toka ofisi ya Msajili wa vyama.
The Best Way Forward
Kutoendelea na kesi, kuwasamehe hao 19, kujipanga kwa uchaguzi wa 2025 kama walivyo shauriwa hapa CHADEMA kubalini matokeo na m-survive, or shupazeni shingo. You go to hell 6ft under Hao Makamanda 19 ni mashujaa, kuendelea Ubunge wao
P
Naunga mkono hoja, JJ Mnyika ni kichwa cha ukweli!, juzi kati kuna member humu katika bandiko hili Mnyika kutoa somo la Katiba Mpya kupitia clouds Media alimzungumzia MnyikaLakini jambo la mwisho kuhusu John Mnyika ni uwezo wake wakusimama kama Katibu mkuu na chama kubaki imara kipindi cha JPM. Kusimama imara kutetea chama dhidi ya waovu wa tume ya uchaguzi ambao walifikia hatua yakughushi nyaraka na kuzipeleka Bungeni.......Mnyika amesema wazi kwamba Tume ya Uchaguzi haijawahi kuonyesha popote barua yakuwapitsha akina Mdee iliyodaiwa kutolewa na Chadema. Maana yake anakiri kwamba pamoja na mawimbi mazito alisimama kama katibu mkuu na itoshe kusema kwamba huyu ndiye katibu mkuu bora kuwahi kutokea baada ya Mzee Kinana na Dr. Slaa. Katika mazingira ya kawaida, Mbowe alifahamu msimamo wa Mnyika dhidi ya Lowasa lakini alidiriki kumpendekeza kuwa katibu mkuu jambo ambalo siyo dogo. Uvumilivu wake ungekuwa mdogo angeungana na Slaa na matokeo yake angekuwa ameshapoteza dira kisiasa au ni DC kama walivyo akina Nassary, Mashinji nk
Natamani atunukiwe nishani ya utumishi uliotukuka
Mkuu Umkonto, UmkhontoweSizwe, utakuwa humjui vizuri JJ. Mnyika!, he is one of the very few fine and the good ones Chadema has!. JJ. Mnyika is very good kwenye data collection ila sio kwenye kushindilia misumari, ili Mnyika afanye vizuri he needs a team mzuri to play with, kwa sasa team play hiyo haipo Chadema!. Zamani JJ. Mnyika akiwa Bungeni huku Zitto Kabwe, kule Tundu Lissu, Mnyika ataibua hoja full of dataz, Zitto ambaye ni mjenga hoja mzuri, ataiongezea momentum kisha Lissu ambaye ni mlipuaji mzuri, atabutua!, Spika chali!. Hata mfugaji mzuri wa ambao, hawezi kufunga kama hakuna mtu wa kumpelekea mipira ya kubutua na kufunga mabao!.Mkuu, ukipata nafasi kiambie chama kuwa JJ siyo mtu mwenye charisma au mvuto wa public speaking, anafaa zaidi kufanya kazi za ofisini na kufuatilia masuala ya utekelezaji wa maazimio ya chama. Mtu anayefaa kutoa somo la hadharani ni mtu mwenye mvuto kusikilizwa, kwa hiyo chama kitafute mtu wa aina hiyo. JJ hana huo mvuto.
Muovu,mjinga na mkatili.r.i.hMnyika alikuwa Bora muda wote, tena alipoa baada ya blunder ya kupokelewa kwa Lowassa ndani ya cdm. Nakumbuka Mnyika alikuwa anaweza kushikilia hoja yake ndani ya bunge Hadi apate majibu sahihi toka serekalini. Sikuwahi kuona mbunge shupavu na anayejua wajibu wake wake kama yeye wakati akiwa bungeni.
Hata dhalimu magu alikuwa anamkubali sana Mnyika, ila kwa bahati mbaya Mnyika hakuwa muumini wa viongozi walevi wa madaraka, ndio maana hakwenda kuunga mkono juhudi enzi za siasa chafu za yule kiongozi muovu.
Ni Tony Blair wa Tanzania.Chadema inatambua uwezo wa John Mnyika
Mkuu Lambardi , kesi ya msingi ni kuhusu Baraza Kuu, walipaswa kwanza wapinge uamuzi wa CC kuwatimua kisha uamuzi wa Baraza Kuu kukubali uamuzi wa CC, Mahakama imewapa kile tuu walichoomba, hii maana yake uamuzi wa CC kuwatimua ni uamuzi halali!.Mmmm....hapo P umebagaza ....kwenye kesi ya msingi zimepigwa dana dana nyaraka hazikuletwa NEC hakuna kulindana hapo ? ......nini tafsiri ya ile kesi ? Naona Jaji amejikita baraza kuuu Chadema na Cc yake ....hakusema ule mchakato na supporting Docs zake......
Mbowe atamtoa meno endeleeni kumtia ujinga, sio lazima agombee uraisiHuyu ndiye mgombea wangu wa urais kwa CHADEMA 2025! Naamini yuko above 40 sasa! Wampe kijiti atuvushe!
Havi ni baba kimbe!!John Mnyika, namkubali sanaa huyu baba.
[emoji122][emoji122]
Pascal bravo! Nina bandiko humu la kuitaka CHADEMA iridhiane, kina Halima Mdee wasamehewe, ngoma ianze upya. Wanahitajika kwa sasa kuliko wakati wowote ule wa huko nyuma. Hivi sasa waanze mchakato mapema wa kuandaa wagombea majimbo yote. Sina maana waiondoe CCM 2025,ila wasaidie kuijenga nchi.Naunga mkono hoja, JJ Mnyika ni kichwa cha ukweli!, juzi kati kuna member humu katika bandiko hili Mnyika kutoa somo la Katiba Mpya kupitia clouds Media alimzungumzia Mnyika
Mkuu Umkonto, UmkhontoweSizwe, utakuwa humjui vizuri JJ. Mnyika!, he is one of the very few fine and the good ones Chadema has!. JJ. Mnyika is very good kwenye data collection ila sio kwenye kushindilia misumari, ili Mnyika afanye vizuri he needs a team mzuri to play with, kwa sasa team play hiyo haipo Chadema!. Zamani JJ. Mnyika akiwa Bungeni huku Zitto Kabwe, kule Tundu Lissu, Mnyika ataibua hoja full of dataz, Zitto ambaye ni mjenga hoja mzuri, ataiongezea momentum kisha Lissu ambaye ni mlipuaji mzuri, atabutua!, Spika chali!. Hata mfugaji mzuri wa ambao, hawezi kufunga kama hakuna mtu wa kumpelekea mipira ya kubutua na kufunga mabao!.
Enzi zile wakati PPR ilikuwa ni PPR kweli, wakati vikao vya Bunge vikiendelea Dodoma, nikapenyezewa dossier fulani vyeti, kesho yake nilikwea the first flight to Dodoma, kumfuata JJ. Mnyika kumkabidhi Gesi asili: Is it "day light robbery?" Watanzania tunaibiwa mchana kweupe!
Hata ule moto ambao Tundu Lissu huwa anawasha Bungeni from time to time, the data collector ni JJ Mnyika!, ilifikia kipindi tulimuomba Lissu apunguze kumpelekea moto Madam Speaker, Mhe. Tundu Lissu, Please Acha Kumsulubu Spika Wetu! Unammaliza Kabisa Hadi Ameshindwa Kazi!.
Kwenye uchaguzi Mkuu wa 2010 JJ Mnyika ndie alikuwa mgombea wa kwanza kujihakikishia ushindi na aliyeutangaza ushindi wa JJ Mnyika sio mwana jf mwingine bali ni huyu huyu Elections 2010 - Mchakato Majimboni: JJ. Myika, Ubungo Yako, Njia Nyeupe
JJ Mnyika is damm good!, but hana team work nzuri to play with na kwa maoni yangu Chadema hii haina team work, angalia hapa Lissu anavyowaita viongozi wenzake Msikie Tundu Lissu Hapa, Anauliza Kama Wenzake Wana Akili Kweli! Maridhiano Ayaita Ujinga. Je, Lissu Bado ni Asset or Sasa ni A Liability?
Kiukweli kabisa uchaguzi wa 2025 upinzani wana kazi kweli kweli to regain back the control of what it used to have!.
P
kazee kana matamko mengi kinoma mfu.....Katika interview ambazo zilikuwa na maswali marahisi kwa mtu neutral lakini maswali magumu kwa mwanasiasa ni interview ya juzi Clouds kati ya Mnyika na wanahabari wa chombo hiki.
Lakini kati ya story zote zilizojitokeza unamwona Mnyika akichambua na kujibu maswali na hoja zote kiuhalisia bila kuzua mjadala kuhusu uhalali wa majibu yako. Hakuna majibu yakupika
Lakini eneo la pili anaonekana wazi siyo mwanasiasa bali ni binadamu mwenye uwezo na ufahamu sahihi kuhusu mahitaji ya Dunia kabla,sasa na baadaye. Anatambua wazi kwamba CHADEMA siyo nchi bali ni chama cha siasa kilichoundwa kukidhi matakwa ya mfumo wa kisiasa na kwamba kupitia taasisi hii upo uwezekano mkubwa wa binadamu waliopo ndani kupishana kimtazamo.
Mfano mzuri ni pale alipokiri kwamba yeye binafsi alikataa kumpokea Lowasa, lakini mwisho akaona kiu ya kisiasa ya kuiondoa CCM madarakani iliyokuwa ndani ya watu walio wengi na hapo ndipo alikubali kuendelea kutokukubaliana na msimamo wa chama kuhusu aina ya mgombea wao lakini akaamua kuunga mkono maono ya wananchi ya kuiondoa CCM madarakani.
Tafsiri kubwa hapa anatuambia si chadema wala CCM wanaoweza kuitoa nchi hapa ilipokwama isipokuwa watanzania kuamua kuunda mfumo wa kikatiba unaotoa haki na unaosimamia nidhamu ya kisiasa na serikali. Incase tukipata mfumo sahihi wa kikatiba may be tunaweza kufuata mfumo wa Kenya ambapo ikifika uchaguzi zinaundwa pande mbili let say UPANDE YANGA NA UPANDE WA SIMBA AU NG'OMBE NA MBUZI AU KUSHOTO NA KULIA THEN MNAUZA SERA WANANCHI WANACHAGUA.
Maono ya Mnyika yanatufumbua macho kwamba tuache imani kwa chama tubaki na imani ya nchi. Kenya wanapiga hatua kwa sababu hakuna akili zinazosubiri kuwa chawa zipewe nafasi....kila nafasi inamgumo wa ushindani.
Lakini jambo la mwisho kuhusu John Mnyika ni uwezo wake wakusimama kama Katibu mkuu na chama kubaki imara kipindi cha JPM. Kusimama imara kutetea chama dhidi ya waovu wa tume ya uchaguzi ambao walifikia hatua yakughushi nyaraka na kuzipeleka Bungeni.......Mnyika amesema wazi kwamba Tume ya Uchaguzi haijawahi kuonyesha popote barua yakuwapitsha akina Mdee iliyodaiwa kutolewa na Chadema. Maana yake anakiri kwamba pamoja na mawimbi mazito alisimama kama katibu mkuu na itoshe kusema kwamba huyu ndiye katibu mkuu bora kuwahi kutokea baada ya Mzee Kinana na Dr. Slaa. Katika mazingira ya kawaida, Mbowe alifahamu msimamo wa Mnyika dhidi ya Lowasa lakini alidiriki kumpendekeza kuwa katibu mkuu jambo ambalo siyo dogo. Uvumilivu wake ungekuwa mdogo angeungana na Slaa na matokeo yake angekuwa ameshapoteza dira kisiasa au ni DC kama walivyo akina Nassary, Mashinji nk
Natamani atunukiwe nishani ya utumishi uliotukuka
Mkuu Kididimo , asante, Chadema wasaidiwe to do the right thing.Pascal bravo! Nina bandiko humu la kuitaka CHADEMA iridhiane, kina Halima Mdee wasamehewe, ngoma ianze upya. Wanahitajika kwa sasa kuliko wakati wowote ule wa huko nyuma. Hivi sasa waanze mchakato mapema wa kuandaa wagombea majimbo yote. Sina maana waiondoe CCM 2025,ila wasaidie kuijenga nchi.
Mnyika sio kijana kwa sasa.Mkuu umemtendea haki mnyika hakika yuko hivyo ni Kati ya vijana bora sana.
Ni kweli na kiukweli, tunajitahidi sana kusaidia.Na tusisahau wa kuisaidia ni wewe na mimi.