Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Tunasubiri maazimio ya UN tuliyowakabidhi nyaraka zetu,dadadeki nchi tuipiganiwe wenyewe maamuzi tukapangiwe na UN tokeni tena chadema jogging!
Sawa basi tupunguze mayowe barua yetu inasomwa ili itolewe majibu!Hao hao UN si ndio walimpa Nyerere nchi? Wakenya ndio walipigania nchi Yao boss.
Stay TunedSawa basi tupunguze mayowe barua yetu inasomwa ili itolewe majibu!
Yaani huna unachokipambania Duniani , huna tofauti na sanamu la micheliniTunasubiri maazimio ya UN tuliyowakabidhi nyaraka zetu,dadadeki nchi tuipiganiwe wenyewe maamuzi tukapangiwe na UN tokeni tena chadema jogging!
Tunakuhurumieni nyinyi chawaNinyi si mliandamana kwenda UN? Basi kaeni msubiri majibu kutoka UN huko mlikopeleka maoni yenu. Si mlikuwa mnajisifu kufika UN na kufikisha makabrasha yenu? Sasa kwanini mnaanza kulia lia humu tena wakati makabrasha yenu yapo yanafanyiwa kazi umoja wa Mataifa? Wewe si ulisema mtapokelewa na katibu mkuu wa umoja wa Mataifa?
Wewe mwenyewe unajua kuwa nakupambania ni hiyo roho mbaya tu!Yaani huna unachokipambania Duniani , huna tofauti na sanamu la michelini
Basi niagizie hata kinywaji tu!Stay Tuned
HakikaMaandamano lazima yawe ya nchi nzima, wacha bungeni waendelee na huku nje tuendelee mwisho wa siku tuone nani mshindi.
Sent from my SM-G900H using JamiiForums mobile app
Ndiyo maana yakaitwa maoni. Maoni ni fikra tu za mtu au watu kuhusu jambo fulani.Hii ndio Taarifa mpya kutoka Dodoma
==
Ameandika Mnyika katika ukurasa wake wa X, "Maoni yetu na ya wadau yamepuuzwa. Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa kwenye tovuti ya Bunge, miswada mibovu ya uchaguzi na vyama itajadiliwa kuanzia leo mpaka tarehe 2 Februari 2024. Tafsiri rahisi ni kuwa inakwenda kupitishwa bila kuanza na mabadiliko au marekebisho ya Katiba."
View attachment 2888128
Unapoangalia jambo hili litazame kwa masilahi ya Taifa , usiiangalie tu ChademaNdiyo maana yakaitwa maoni. Maoni ni fikra tu za mtu au watu kuhusu jambo fulani.
CHADEMA ni nani ambao lazima maoni yao yafuatwe?
Wewe uchaguzi usio huru na wa haki haukuhusu!!Ninyi si mliandamana kwenda UN(umoja wa Mataifa)? Basi kaeni msubiri majibu kutoka UN huko mlikopeleka maoni yenu. Si mlikuwa mnajisifu kufika UN na kufikisha makabrasha yenu? Sasa kwanini mnaanza kulia lia humu tena wakati makabrasha yenu yapo yanafanyiwa kazi umoja wa Mataifa? Wewe si ulisema mtapokelewa na katibu mkuu wa umoja wa Mataifa? Msubirieni katibu mkuu wa umoja wa Mataifa. Maana nyie ni wakurupukaji sana na huwa hamuelewi mfanye nini kwa wakati gani na kwa njia zipi.
HakikaWana viburi Mungu ataamua