Pre GE2025 John Mnyika: Bunge limepuuza maoni ya wadau, linajipanga kupitisha miswada mibovu

Pre GE2025 John Mnyika: Bunge limepuuza maoni ya wadau, linajipanga kupitisha miswada mibovu

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Ninyi si mliandamana kwenda UN(umoja wa Mataifa)? Basi kaeni msubiri majibu kutoka UN huko mlikopeleka maoni yenu. Si mlikuwa mnajisifu kufika UN na kufikisha makabrasha yenu? Sasa kwanini mnaanza kulia lia humu tena wakati makabrasha yenu yapo yanafanyiwa kazi umoja wa Mataifa? Wewe si ulisema mtapokelewa na katibu mkuu wa umoja wa Mataifa? Msubirieni katibu mkuu wa umoja wa Mataifa. Maana nyie ni wakurupukaji sana na huwa hamuelewi mfanye nini kwa wakati gani na kwa njia zipi.
Hata hizo ARV unazobugia kama karanga zinatoka hukohuko
 
Tatizo lako ni kutokupata elimu tarajiwa, Tanganyika ilikuwa mikononi mwa UN, mwingereza alipewa jukumu la kuisimamia tu na si kuitawala, uhuru wetu uliidhinishwa na UN ambako mwalimu Nyerere alikuwa akienda kujieleza, kwa kifupi hatukuwahi kudai uhuru toka kwa mfalme wa uingereza.
Mimi sijui ninachojua barua yetu ipo UN tuliyoikabidhi trh 24 mwisho!
 
Wabunge wenyewe walipatikana kwa mizengwe pasipo na kura za Wananchi.
Wabunge wenyewe ni wa CCM na mambo yao ya kupitisha miswada na miakataba ya hovyo inajulikana!
Kilichobakia ni sisi Wananchi kwa Umoja wetu kutoka na kusema hapana!
 
Dawa ni kutoshiriki uchaguzi tu wakae wao na serikali yao.
 
Ninyi si mliandamana kwenda UN(umoja wa Mataifa)? Basi kaeni msubiri majibu kutoka UN huko mlikopeleka maoni yenu. Si mlikuwa mnajisifu kufika UN na kufikisha makabrasha yenu? Sasa kwanini mnaanza kulia lia humu tena wakati makabrasha yenu yapo yanafanyiwa kazi umoja wa Mataifa? Wewe si ulisema mtapokelewa na katibu mkuu wa umoja wa Mataifa? Msubirieni katibu mkuu wa umoja wa Mataifa. Maana nyie ni wakurupukaji sana na huwa hamuelewi mfanye nini kwa wakati gani na kwa njia zipi.
We jamaa bogus sana mwashambwa wa wapi unatuaibisha
 
Back
Top Bottom