Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masikini wengi kama wewe ndio wanalia mitaanisa hao malofa walifikiri kweli bunge likatae kujadili miswada? Hao ni manyumbu kweli
Umemaliza.Tunasubiri maazimio ya UN tuliyowakabidhi nyaraka zetu,dadadeki nchi tuipiganiwe wenyewe maamuzi tukapangiwe na UN tokeni tena chadema jogging!
maslahi ya Taifa yanaangaliwa kupitia chadema sio 🐒Unapoangalia jambo hili litazame kwa masilahi ya Taifa , usiiangalie tu Chadema
Umeonaeeemaslahi ya Taifa yanaangaliwa kupitia chadema sio [emoji205]
Kwani nyie Wananchi wengine hamna ubongo ?maslahi ya Taifa yanaangaliwa kupitia chadema sio 🐒
ticha umekua mkali leo 🤣Kwani nyie Wananchi wengine hamna ubongo ?
Ndiyo maana yakaitwa maoni. Maoni ni fikra tu za mtu au watu kuhusu jambo fulani.
CHADEMA ni nani ambao lazima maoni yao yafuatwe?
Tatizo lako ni kutokupata elimu tarajiwa, Tanganyika ilikuwa mikononi mwa UN, mwingereza alipewa jukumu la kuisimamia tu na si kuitawala, uhuru wetu uliidhinishwa na UN ambako mwalimu Nyerere alikuwa akienda kujieleza, kwa kifupi hatukuwahi kudai uhuru toka kwa mfalme wa uingereza.Tunasubiri maazimio ya UN tuliyowakabidhi nyaraka zetu,dadadeki nchi tuipiganiwe wenyewe maamuzi tukapangiwe na UN tokeni tena chadema jogging!
Tuendelee kujipanga na maandamono ya kwenda Dodoma kufukuza wapuzi wanajiita wabunge. Tukawaulize wanamwakilisha Nani kama maoni yetu wameyapuuza.Tunasubiri maazimio ya UN tuliyowakabidhi nyaraka zetu,dadadeki nchi tuipiganiwe wenyewe maamuzi tukapangiwe na UN tokeni tena chadema jogging!
1. Kuandama kwenda UN mlipoteza maboya. Mngeandamana kwenda viwanja vya kawe na mtoe maneno kwa wananchi. Nyie mkaenda kwa weupe.Hii ndio Taarifa mpya kutoka Dodoma
==
Ameandika Mnyika katika ukurasa wake wa X, "Maoni yetu na ya wadau yamepuuzwa. Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa kwenye tovuti ya Bunge, miswada mibovu ya uchaguzi na vyama itajadiliwa kuanzia leo mpaka tarehe 2 Februari 2024. Tafsiri rahisi ni kuwa inakwenda kupitishwa bila kuanza na mabadiliko au marekebisho ya Katiba."
View attachment 2888128
ChamaTuendelee kujipanga na maandamono ya kwenda Dodoma kufukuza wapuzi wanajiita wabunge. Tukawaulize wanamwakilisha Nani kama maoni yetu wameyapuuza.
Kamati ya Bunge ndiyo iliyoaminiwa kuyapima na kuangalia kama yanafaa. Tuishi hapo..maoni yaliyopuuzwa sio ya Chadema peke yao.
..hata maoni ya viongozi wa madhehebu ya Kiislamu na Kikristo yamepuuzwa.
..maoni ya kikosi kazi kilichoundwa na Rais nayo yamepuuzwa.
..Kamati ya Bunge imeshindwa kuishauri serikali kutupatia Tume Huru ya Uchaguzi ktk kiwango ambacho wadau na wanazuoni wamekuwa wakipendekeza.
Nyie subirini majibu ya umoja wa mataifa, si mlipeleka malalamiko huko? Haya, msubiri kama Gaza inavyosubiri UN iwajibuHii ndio Taarifa mpya kutoka Dodoma
==
Ameandika Mnyika katika ukurasa wake wa X, "Maoni yetu na ya wadau yamepuuzwa. Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa kwenye tovuti ya Bunge, miswada mibovu ya uchaguzi na vyama itajadiliwa kuanzia leo mpaka tarehe 2 Februari 2024. Tafsiri rahisi ni kuwa inakwenda kupitishwa bila kuanza na mabadiliko au marekebisho ya Katiba."
View attachment 2888128
Lianzishe tu, unamsubiri nani?Bora kulianzisha ijulikane moja.