Pua ya zege
JF-Expert Member
- Jul 23, 2013
- 1,941
- 2,081
Hata hizo ARV unazobugia kama karanga zinatoka hukohukoNinyi si mliandamana kwenda UN(umoja wa Mataifa)? Basi kaeni msubiri majibu kutoka UN huko mlikopeleka maoni yenu. Si mlikuwa mnajisifu kufika UN na kufikisha makabrasha yenu? Sasa kwanini mnaanza kulia lia humu tena wakati makabrasha yenu yapo yanafanyiwa kazi umoja wa Mataifa? Wewe si ulisema mtapokelewa na katibu mkuu wa umoja wa Mataifa? Msubirieni katibu mkuu wa umoja wa Mataifa. Maana nyie ni wakurupukaji sana na huwa hamuelewi mfanye nini kwa wakati gani na kwa njia zipi.
Mungu ana mambo mengi, yaani na issue ambayo hata askofu mwamakula ameikataa imshughulishe Mungu tena?Wana viburi Mungu ataamua
Mimi sijui ninachojua barua yetu ipo UN tuliyoikabidhi trh 24 mwisho!Tatizo lako ni kutokupata elimu tarajiwa, Tanganyika ilikuwa mikononi mwa UN, mwingereza alipewa jukumu la kuisimamia tu na si kuitawala, uhuru wetu uliidhinishwa na UN ambako mwalimu Nyerere alikuwa akienda kujieleza, kwa kifupi hatukuwahi kudai uhuru toka kwa mfalme wa uingereza.
Pita kwa wauza maandazi pale nje ya ofisi za UN, angalia vifungasho vyao, utakuta nembo za ufipaMimi sijui ninachojua barua yetu ipo UN tuliyoikabidhi trh 24 mwisho!
Maisha yapo kasi sana!Pita kwa wauza maandazi pale nje ya ofisi za UN, angalia vifungasho vyao, utakuta nembo za ufipa
Haujui Tanganyika ilikuwa himaya ya umoja wa mataifa! Acha kujihisisha na siasa.Mimi sijui ninachojua barua yetu ipo UN tuliyoikabidhi trh 24 mwisho!
ππππHata hizo ARV unazobugia kama karanga zinatoka hukohuko
Kituo tajwa ARUSHA....huku tutakiamsha mpaka bakimbie tena....Hakuna haja ya kuingia kwenye Chaguzi FEKI au katika lugha sahihi ni CHAFUZI.
Maandamano yaendelee FOREVER!
We jamaa bogus sana mwashambwa wa wapi unatuaibishaNinyi si mliandamana kwenda UN(umoja wa Mataifa)? Basi kaeni msubiri majibu kutoka UN huko mlikopeleka maoni yenu. Si mlikuwa mnajisifu kufika UN na kufikisha makabrasha yenu? Sasa kwanini mnaanza kulia lia humu tena wakati makabrasha yenu yapo yanafanyiwa kazi umoja wa Mataifa? Wewe si ulisema mtapokelewa na katibu mkuu wa umoja wa Mataifa? Msubirieni katibu mkuu wa umoja wa Mataifa. Maana nyie ni wakurupukaji sana na huwa hamuelewi mfanye nini kwa wakati gani na kwa njia zipi.
Kamati ya Bunge ndiyo iliyoaminiwa kuyapima na kuangalia kama yanafaa. Tuishi hapo