Yule ndo kaja kutifua jalala. Alikuja na hela zake akawanyima wajumbe wa saccos ya UFIPA mambo waliyomfanyia Mungu anajua. Acha afaidi matunda ya hela za ushoga. Kaja kukimaliza chama. 2025 watasema nini mbele za watu. Naanza kuona mpasuko mkubwa wa CDM utakaopelekea kuanzishwa kwa CDM HALISI na saccos ya UFIPA kubaki bila wanachamaYeyote aliyehusika katika uhuni huu ni msaliti!
Lissu amepambana kwa jasho kubwa, kapiga kampeni kila kila kanda, kaungua na jua, kawapambania wananchi na chama chake, at the end wamemsaliti na kusaliti wananchi
Kuna kitengo siku hizi au kuna makada wa CCM wenzako?Duh...!, wajameni hata kama ni kutunga uongo, jaribuni basi, angalau uongo huo ufananie fananie na ukweli!, Jee wakiingia watu wa kitengo humu na kukutajia ndani ya CC ya Chadema nani ni nani!, kutakalika?.
Acheni hizo!.
P
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Baada Ya Haya ya Leo kwa hawa watu wanaojiita Chadema Nadhani tumeelewa kabisa hawa jamaa hawafai na hawaaminiki....Hili ni genge la watu wanaotumia kivuli cha upinzania kujineemesha wao huku wakikisema vibaya CCM.Bila CCM hawa hawapo kabisa.
Hebu fikiria Ungeandamana ukauwawa kwa ajili ya Halima Mdee au Bulaya au sijui Salome Makamba leo hii umeuwawa au umevunjwa Miguu ....
Fikiria Hawa akina Mdee ndio wangekua Mawaziri kama (Mungu aepushie mbali) wangeshinda Urais je hawa wasingeuza nchi??
Ushauri Kwa Mbowe Jiuzulu..Hutoshi...umeonyesha Hutoshi kwa muda mrefu sana.
😂😂😂😂😂🙌🙌🙌😲😲
Tutakuja kuchinyana kwa misumeno tukiendekeza unafiki
Naungana na wewe mkuuPropaganda yenye lengo la kufarakanisha wana CDM..
Hii ni butu na nyepesi mnoo, katengeneze ingine😎
Siyo rahisi kuja na pesa zisizoeleweka chanzo chake na kuuingiza katika siasa bila serikali kuzipiga pini.Mengi mtayasikia lakini kiini cha haya ni pesa za uchaguzi, bwana Lisu yeye ule msaada aliufinya akatumia peke yake huku mbowe nae akazima kwa kutegemea Lisu kaja na mpunga mwingi,hapo sasa ndo bifu la kisayansi linatumika hivi sasa
Mkuu kuna siri nyingi kwenye vyama japo wenyewe wanachama hawa kubali ila sisi wa upande mwingine tunajua dhahiri nini kinaendelea hata huu ni upepo nao utapita kutakuwa kimyaaaaaa.Duh...!, wajameni hata kama ni kutunga uongo, jaribuni basi, angalau uongo huo ufananie fananie na ukweli!, Jee wakiingia watu wa kitengo humu na kukutajia ndani ya CC ya Chadema nani ni nani!, kutakalika?.
Acheni hizo!.
P
Leo hamumuamini mbowe tena mliyetaka kumpa uwaziri mkuu?Ninachoshukuru ni kwamba Tundu Lissu anawajua wengi, na ana option B. Binafsi hata Mbowe auze chama sitashtuka, nitashtuka labda Tundu akihama chama. Huyo tu ndo nguli aliyebaki
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]Lisu yupi Huyu aliyetoa agizo la kuandamana halafu mbio akakimbilia ubalozi wa ujerumani kujifucha ili maandamano yakianza awe safe wengine wakila virungu vya polisi yeye akila bata nyumbani kwa balozi? Huku akisubiri ndege apae zake kwenda ulaya?
Kigogo kweli ni noma. Alishasema kichacho ni hatari tahadhari ichukuliwe baraka hawakusikia. Haya mambo mh3 hayafai.Hapa ndio unapomkubali Kigogo
Angalia drama kama hizi halafu 2025 wapigwe vibaya kwenye uchaguzi halafu wawaombe wananchi kuingia barabarani kwa maandamano yasiyo na kikomo. Kwa aibu kama hizi ni mtanzania gani mzima kichwani ataingia barabarani?Hapa swala sio Spika na Tume swala inakuwaje hao wanachama wenu waendee kuapishwa kama ni uongo??
Msitudanganye bwana. Inamaana hawa Viti maalumu wa chadema walitekwa mpaka bungeni.
Watanzania sio WAJINGA
"Bayuda tusekanabo"Wasaliti Kama Yuda,huwa tunakula na kucheka nao,Katibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema, chama hicho hakijateua majina ya wabunge wa viti maalum “ niliandika barua NEC kuwajulisha. Tunafuatilia yanayojiri Ofisi ya Spika wa Bunge na tukithibitisha hujuma au usaliti hatutasita kuchukua hatua.”..
Ulishawachangia pesa ya kuendesha chama au ni kulalama tu bila msaada?Hicho chama cha wachaga ni bure kabisa,wao wanawaza ruzuku tu.
Muwatimue..... subutuuuuuu; na huku mshiko munautaka!!! Hiyo ya Mnyika ni danganya toto; Wabunge hawa wana baraka zote za Mhe Mwenyekiti wao wa maisha.Tuwatimue tuu
Yani Mnyika ajiuzulu kisa watu 19 wametii matumbo yao?
CHADEMA CHALIIII