Uchaguzi 2020 John Mnyika: Hatujateua majina ya wabunge Viti Maalum. Tunafuatilia Ofisi ya Spika na tukithibitisha hujuma au usaliti hatutasita kuchukua hatua

Leo kila mtu mchawi
 
Salaaam

Kuna jambo ambalo maybe watu wengi wanashindwa kulijua

Chadema walishakaa vikao na wakakubalina kabisa wapeleke viti maalum,

Na kama mnakumbuka kulikuwa na list kama tano tofauti zimetoka

Ila Sasa ugomvi ambao umetokea kwa Sasa ni kuwa Mdee amepeleka majina kwa vigezo vyake na sio vigezo vya wabunge wanaume ambao wameshindwa kwenye majimbo yao na wanataka kuweka watu wao kwenye viti maalum

Hapo ndio kwenye kasheshe
Ila Mdee sio mjinga aweze kufanya hayo yote bila kuwa na vikao halali
 
Acha ubishi mkuu ,sizungumzii marekebisho,nazungumzia mapato yatokanayo na uwekezaji wa nyumba 15.

-Maintanance ya nyumba haziepukiki hata usipopangisha...
Shida NI kwamba hata biashara hutanyo unajua tu kuongea.

Sina muda was kubishana.

HAKUNA biashara yente mapato tu bila matumizi Wala yenye faida tu bila hasara au biashara amnbayo haihitajii uzoefu.

Nyie ndio wale mnaopewa ushauri na motivational speakers haraka mnarukia biashara bila kutafakari changamoto zake
 
Politicians have their own interests not yours
 
Suala sio kuwa na kosa au lah, kuwajibika na kulinda heshima yake ni muhimu zaidi... unafanyaje kazi katika mazingira kama haya?
Atakula wapi akijiuzulu?
Ukiwa mwana "sihasa" wewe ni "matonya "
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…