Kwa kiasi fulani uko sawa. Hapa ni ruzuku inapiganiwa. Haiwezekani jambo zito kama hili mwenyekiti yupo kimya kuanzia hujuma zinafanyika mpaka zinatimia.Mbowe, Mmnyika, Mdee na wabunge wengine wote lao moja hapa aliechwa kwenye mataa ni Lissu tu namwonea huruma Sana.
.Kigogo alisema yote haya na esta na mdee wakawa wakali
Mkuu relax na iambie akili yako isiamini mtu zaidi ya wewe mwenyewe na Mungu wako. Pamoja na hii taarifa ila kuna kitu kimejificha hapaAfadhali maana nilikuwa nimeshapanic
Vipi mdogo wangu? Kwema [emoji41]kigogo ni shida!!
Mnyika kadata au?Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika amesema, chama hicho hakijateua majina ya wabunge wa viti maalum “ niliandika barua NEC kuwajulisha. Tunafuatilia yanayojiri Ofisi ya Spika wa Bunge na tukithibitisha hujuma au usaliti hatutasita kuchukua hatua.”
Halima Madee na Ester Bulaya kujifanya makamanda kumbe makamanda njaa tu. Hongera Chadema kwa msimamo usioyumba. Kesho Kamati Kuu ikae kufukuza wote hao.
Kina mdee wana baraka za mwenyekiti mboweKatibu Mkuu wa CHADEMA, John Mnyika amesema, chama hicho hakijateua majina ya wabunge wa viti maalum “ niliandika barua NEC kuwajulisha. Tunafuatilia yanayojiri Ofisi ya Spika wa Bunge na tukithibitisha hujuma au usaliti hatutasita kuchukua hatua.”
Halima Madee na Ester Bulaya kujifanya makamanda kumbe makamanda njaa tu. Hongera CHADEMA kwa msimamo usioyumba. Kesho Kamati Kuu ikae kufukuza wote hao.
Wanasiasa wote ni opportunists. Tumbo na maslahi yao mbele - all the time!