John Mnyika: Kiongozi wa CHADEMA Mzee Ali Mohamed Kibao, adaiwa kushushwa kwenye Basi na kuchukuliwa na watu wasiyojulikana

Bila shaka kichwani mwako kuna error, kama jina lako.
 
CHADEMA wanatoa wapi silaha za moto? SMG na ma AK47
 
Tulieni albadir imeshasomwa mtatajana muda siyo mrefu
 
Mleta mada, kwa uhakika kichwani, hamna kitu. Kichwa chake ni cha kupitishia tu chakula kwenda tumboni.
Hawa UVCCM albadir imeanza kuwatafuna, jana Masauni ameshinda anazunguka tu kwenye kaburi la marehemu
 
Kwa hali hii hapo nyumbani kwako hata jirani yako akiamua kukuibia baiskeli na akawa anaitumia hapohapo bado unaweza usigundue, uwezo wako wa kujenga fikra za kipelelezi uko chini sana.
Huyu siyo mpelelezi ni chawa
 
Hakika
 
Ndani ya Chadema kuna genge la ukharifu matukio ya sasa na yanyuma yanatoa taswira ya minyukano katika chama hicho

Ukiangalia jinsi alivyo potea Ben 8:00
Ukiangalia kifo cha Alfonce Mawazo
Ukalitazama Shambulio la TAL na matukio mengi yanayo wapata wafasi wengi ndani ya Chama kiujumla CDM kuna genge la kimafia kama ilivyo kwa CCM japo chama Tawala wamekuwa Advanced sana kwenye kutekeleza umafia wao wanajitahidi sana kupoteza ushahidi,
 
Lakini walisema alipigwa akishushwa na kufungwa pingu. Kama anawafahamu si angeshuka nao kirafiki?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…