Bams
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 19,362
- 48,879
Bila shaka kichwani mwako kuna error, kama jina lako.Suala la kifo cha mzee Ali binafsi sioni kama linafanana na matukio mengine ya kutekwa .
Hawa watu ni either Wana Usalama wenzake au Wana CHADEMA .Kwa hali ilivyo Mzee wale watu angekuwa hawajui asingekubali kushuka kirahisi na kuongozana nao , na kuna uwezekano mkubwa wale watu anawajua .
Je hawa watu ni kina nani ?