History-Victory
JF-Expert Member
- Sep 11, 2021
- 326
- 733
"Hukumu zenu majaji zizingatie mwelekeo wa serikali" -- Alisikika Mh. Jaji mkuu akisisitiza jambo kwenye kuapishwa Jaji Kiongozi mpya Jaji Siyani.
Tuache kujidanganya,anaweza kufungwa ama asifungwe.Hata akifungwa hakuna tunaloweza kufanya kama watanzania.Ndugu sisi watanzania ni sayari nyingine kabisa,maisha yatasonga kama kawaida.Me nawahakikishia wakimfunga Mbowe kinanuka Tena kitanuka kweli mpaka wamuachie .
Sioni Polisi wa kuzuia hili wacha wajichanganye kinuke
Kutokana na hukumu ya kesi ndogo iliyotolewa leo dhidi ya kesi ya kina Mbowe hawa jamaa inaonesha wamejipanga kufanya jambo ambalo litashangaza dunia nzima.
Katibu mkuu Mnyika itisha press leo leo ili kutoa muongozo kwa wapenda haki wote nchini.
Katika press yako njoo na approach nzuri zitakazo kiokoa chama na Mwenyekiti wake kwa ujumla.
Zile approach za:-
i/ kuvaa T-shirt zilizoandikwa MBOWE SIO GAIDI.
ii/ kuandika kwenye kuta MBOWE SIO GAIDI.
iii/ kwenda na uwakilishi wa mabalozi mahakamani.
iv/ kuandika mabango mtandaoni kuwa MBOWE SIO GAIDI.
v/ kulia lia kwenye SPACE na CLUBHOUSE kuwa MBOWE SIO GAIDI.
Approach zote hizo zimefeli na zitafeli kukiokoa chama na Mwenyekiti wake.
Mnyika nikuambie tu kuwa "the situation is very radical so it needs radical solutions".
Mungu okoa taifa la Tanzania na watu wake.
Hewalaaa kumbe Chadema ni chama cha "wabishi nguli" na si siasa......🤣Mtu mbishi anayeweza kuivusha CHADEMA kwa sasa ni Lema na Lissu japo lissu bado ana uoga flani hivi.
AmenHakuna shida soon wanafuta Hilo Shauri.Limekuwa mwiba na laana kubwa kwa taifa.
Wanatakiwa kurudi kufanya alichowashauri Kigogo2014Nilichokielewa, katika hii 'content' ni kuwa inahitajika 'extra force' kukabiliana na ukiukwaji mkubwa wa KATIBA unauvunjwa na Hangaya.
Machinga wawe kichocheo tu, wengine tufuate.
Sasa hivi maji yamekorogeka hasa kwa wamachinga.Inabidi atokee chizi mmoja awatie sumu waliamshe[emoji41][emoji41][emoji23][emoji23]Hewalaaa kumbe Chadema ni chama cha "wabishi nguli" na si siasa......[emoji1787]
MACHIZI ni wa kukamatwa na kupelekwa kusaidiwa matibabu Mirembe ,Muhimbili ama Lutindi....🤣Sasa hivi maji yamekorogeka hasa kwa wamachinga.Inabidi atokee chizi mmoja awatie sumu waliamshe[emoji41][emoji41][emoji23][emoji23]
Huwa wanatoroka.Si unajua hata yule supika alitoroka??[emoji23][emoji23][emoji23]MACHIZI ni wa kukamatwa na kupelekwa kusaidiwa matibabu Mirembe ,Muhimbili ama Lutindi....[emoji1787]
Hali ilipofikia haimhitaji Mnyika. Ni Kila mwanachama na mpendwa kwa wakati na nafasi yake.Kutokana na hukumu ya kesi ndogo iliyotolewa leo dhidi ya kesi ya kina Mbowe hawa jamaa inaonesha wamejipanga kufanya jambo ambalo litashangaza dunia nzima.
Katibu mkuu Mnyika itisha press leo leo ili kutoa muongozo kwa wapenda haki wote nchini.
Katika press yako njoo na approach nzuri zitakazo kiokoa chama na Mwenyekiti wake kwa ujumla.
Zile approach za:-
i/ kuvaa T-shirt zilizoandikwa MBOWE SIO GAIDI.
ii/ kuandika kwenye kuta MBOWE SIO GAIDI.
iii/ kwenda na uwakilishi wa mabalozi mahakamani.
iv/ kuandika mabango mtandaoni kuwa MBOWE SIO GAIDI.
v/ kulia lia kwenye SPACE na CLUBHOUSE kuwa MBOWE SIO GAIDI.
Approach zote hizo zimefeli na zitafeli kukiokoa chama na Mwenyekiti wake.
Mnyika nikuambie tu kuwa "the situation is very radical so it needs radical solutions".
Mungu okoa taifa la Tanzania na watu wake.
Kwahiyo wamachinga watumike kama chambo? Wakati mbowe alisema watu wote TZ wachanjwe kwa lazima akasahau kwamba yeye anaongoza chama cha Demokrasia?Mkuu kitanuka kwenye computer yako au simu? Please wengine wanatumia perfum kwenye computer zao na simu ili hata wakinukisha huko zisinuke. Kweli kabisa hakuna polisi wa kuzuia computer na simu yako isinuke. Ni wewe tu unaamua. Hata leo watumiaji wanaweza kukinukisha kwenye computer zao wakiamua. Tusibiri spaces au ile club yetu pendwa pengine kitanuka huko.
Ni kweli..kesi ya kubumba bado inaunguruma na Jaji Kiongozi kaitrndea haki zawadi nono aliyopewa na Sa100KESI IKO MAHAKAMANI mkuu....