John Mnyika: Rais Samia "aidha amepotoshwa au ameamua kusema uongo”

Yaani kwako Raisi unamuona kama Mungu,si ndoo hivyo ?

Sent from my TECNO KA7O using JamiiForums mobile app
 
nadhani hata kwa wakati huu mali za Mbowe zote zinapaswa zizuiliwe pomja na acount zake.
lazima sheria ya Ugaidi ifuatwe kikamilifu.

Nilishangaa sana alipo fikishwa nakaona Mbowe anaruhusiwa kukumbatiana na jamaa zake!!
mahakamani lazima gaidi alindwe, nilishangaa pale kisutu inakuwaje Gaidi anapewa nafasi ya kukubatiana na watu mahakamani?!! hili halipaswi kujitokeza. ni muhimu vyombo vyetu vyote vikajifunza kutoka mataifa mengine namna ya kudili na watuhumiwa wa Ugaidi.
kamwe vyombo vyetu vya ulinzi na usalama visikubali kuhadaiwa au kupakwa mafuta kwa mgongo wa chupa na mawakili au viongozi wa chadema, lazima sheria ifuatwe kikamilifu kama ilivyo kuwa inafuatwa kwa washitakiwa wengine.
nilishangaa kuwaona watuhumiwa wenzake wa Ugaidi wamefungwa pingu huku Mbowe akiwa hajafungwa pingu, sijafahamu kwa nn,!! kama hakuna ulazima basi wote wasifungwe pingu, sio baadhi wanafungwa wengine hawafungwi!!!
 
Huyu wala hapotoshwi bali nimegundua baada ya mwendazake ku practice udini na ukanda sasa yeye kaamua kuendeleza hyo precedence hasa ktk UDINI.
NI AKILI YA KIPUNGUANI UMETOKA KUWAACHIA MASHEHE HALAFU UNAKAMATA WANASIASA.
AMESEMA HAKUNA SIASA KTK KUMKAMATA MBOWE ILA MBONA HAKUSEMA KULIKUA NA NINI KTK KUWAACHIA MASHEHE

MAMA UTAONDOKA KWA AIBU NA UTAFANYA WANAWAKE WOTE WAONEKANE WA HOVYO
 
Rais kapotoshwa na nani?

Huyu ni Rais gani anayepotoshwa kila mara namna hii?

Kila akiboronga, ni kapotoshwa!

WTF 😳.

Ina maana ni mweupe kiasi hicho cha kuweza kupotoshwa kila mara?

Hili nalo neno.Si hakika lakini nafikiri “kupotoshwa” ni aina ya utamaduni mpya uliozuka pengine kupunguza ukali wa maneno kama”Kadanganya”.
 
Wapi Mnyika kakosea? Jibu hoja kwa kuijibu hoja kwa hoja..sio kuleta uvyama
 
Da, watu bado hamtaki kuacha tabia mbovu ya kulamba watu makalio. Yule mlimuabudu kuliko Mungu hadi Mungu akaona huu sasa ni ujinga akamshusha 6 feet, sasa mmenza tena na huyu lakini Mungu hajaribiwi na alisema yeye ni Mungu mwenye wivu.
 
Unajua kesi inaweza kutumia hata miaka 5 au zaidi kabla ya hukumu?Tatizo ni kuwa haina dhamana hivyo mwanya huo unaweza kutumiwa na watawala kuwakomoa wapinzani!
Tumeshaona kesi za namna hiyo nyingi tu na ikikaribia hukumu,DPP anasema hana nia ya kuendelea na kesi!Wakati huo huo mtu alishasota sana!
Viongozi wa CDM wamekuwa na kesi nyingi mahakamani,ila wanapata dhamana na hivyo kesi kuendelea bila maumivu na nyingi huwa wanashinda!
Hizi zisizo na dhamana ni style mpya ya kuwakomoa!
 
Rais kapotoshwa na nani?

Huyu ni Rais gani anayepotoshwa kila mara namna hii?

Kila akiboronga, ni kapotoshwa!

WTF [emoji15].

Ina maana ni mweupe kiasi hicho cha kuweza kupotoshwa kila mara?
Hii taasisi ya urais awamu inaashiria ni mradi hewa
 
Rais kapotoshwa na nani?

Huyu ni Rais gani anayepotoshwa kila mara namna hii?

Kila akiboronga, ni kapotoshwa!

WTF [emoji15].

Ina maana ni mweupe kiasi hicho cha kuweza kupotoshwa kila mara?
Pain is beautiful.
 
Wanaouliza kwa nini Mbowe amekamatwa sasa na si vinginevyo wanasahau kuwa Mbowe, Lema, Meya wa zamani Ubungo Boniface walikamatwa mara baada ya matokeo ya uchaguzi mkuu kutangazwa na kabla Rais hajaapishwa kwa kuchochea maandamano yasiyo na kikomo kupinga matokeo. Mambosasa alihojiwa na vituo vya ITV na TBC na kutoa madai hayo hayo ya ugaidi.
 
Taka wew
 
Tafadhali wenye Ukweli kamili wa Kuwazidi hawa Wawili juu ya lini Ndugu Freeman Mbowe alikamatwa na Kufunguliwa Kesi yako huko Polisi mtuwekee hapa ili tumalize Utata na pia tujue kati ya Rais Samia na Katibu Mkuu CHADEMA Mnyika nani ni Muongo na hafai tena Kuaminiwa na Watanzania.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…