Abdul Mganyizi
JF-Expert Member
- Oct 28, 2019
- 1,042
- 2,005
Yaani kwako Raisi unamuona kama Mungu,si ndoo hivyo ?Kauli alizo zitumia Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika dhidi ya Rais zina ukakasi sana, zimekosa adabu na nidhamu kwa kiongozi wa nchi.
nadhani kwa utovu huu alio uonyesha Mnyika nimeshangaa kwa nn alipewe nafasi ya ukatibu mkuu lkn pia nitashangaa sana kama Mnyika hakuchukuliwa hatua kali kwa kauli za kifedhuli na dharau alizo zitoa.
hata kama hato chukuliwa hatua za kisheria lkn namshauri Mnyika ajivunze adabu na nidhamu ya uongozi, kwa nafasi yake hapaswi kuwa mlopokaji kama wapiga debe.
Huyu wala hapotoshwi bali nimegundua baada ya mwendazake ku practice udini na ukanda sasa yeye kaamua kuendeleza hyo precedence hasa ktk UDINI.Chama cha upinzani nchini Tanzania Chadema, kimesema rais wa Tanzania Samia Suluhu Hassan “aidha amepotoshwa au ameamua kusema uongo” katika baadhi ya mambo ambayo ameyatolea ufafanuzi katika mahojiano yake maalumu aliyofanya na BBC.
Kauli hiyo, imetolewa hii leo na Katibu Mkuu wa Chadema, John Mnyika pindi alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam.
Mnyika, amepinga baadhi ya hoja zilizotolewa a rais Samia ikiwemo zile zinazodai kwamba, Mbowe kwa muda mrefu alikuwa nje ya nchi baada ya kujua ana kesi inayomkabili, hivyo kusema, “hakuna wakati ambao kiongozi huyo ametoroka nchi au amekuwa nje ya nchi kinyume cha sheria.”
Mnyika ameongeza kusema kuwa, wakati ukifika, “chama kitatoa vielelezo vitakavyoonyesha uhalali wa safari hizo.”
Hata hivyo, rais Samia alipoulizwa iwapo kesi hiyo ya Mbowe ni ya kisiasa, alikataa kulitolea ufafanuzi wa kina kwa kusema kuwa, tayari kesi hiyo iko mahakamani, hivyo ni vyema kuachia mahakama kufanya kazi yake.
Lakini tayari Chadema inamlaumu rais Samia kwa madai kwamba ameingilia uhuru wa mahakama, na kusema, wameongeza na jopo la mawakili wao ili kuona ni hatua gani wanaweza kuchukua.
Aidha miongoni mwa mambo mengine ambayo Chama hicho kimeyajibu ni pamoja na kauli ya rais aliposema kuna tofauti kati ya demokrasia ya kisiasa na fujo za kisiasa, hivyo kuashiria kwamba, baadhi ya maandamano yanayoitishwa na vyama vya kisiasa kama fujo za kiasa.
Hata hivyo, kauli hii inaonekana kuwa mwiba kwa chama hicho cha upinzani ambapo Mnyika amesema kupiga marufuku mikutano hiyo ya hadhara ni kinyume cha katiba ya nchi na sheria za vyama vya kisiasa.
Chadema pia imedai kwamba rais Samia amepotosha umma pale aliposema kwamba, wananchi wamekubali tozo za simu, ila kiwango cha tozo ndio hawajakikubali.
Nchini Tanzania kumekuwa na maoni tofauti baada ya BBC kufanya mahojiano na rais Samia ambayo yamegusia nyanja mbalimbali ikiwemo masuala ya demokrasia, uhuru wa vyombo vya habari pamoja na masuala mengine kadhaa.
Sorce: BBC Swahili
Rais kapotoshwa na nani?
Huyu ni Rais gani anayepotoshwa kila mara namna hii?
Kila akiboronga, ni kapotoshwa!
WTF 😳.
Ina maana ni mweupe kiasi hicho cha kuweza kupotoshwa kila mara?
mataga pori bana.
Mnyika kusema Samia either amedanganywa or ameamua kusema uongo ndiyo kauli zilizokosa adabu?
Wapi Mnyika kakosea? Jibu hoja kwa kuijibu hoja kwa hoja..sio kuleta uvyamaKauli alizo zitumia Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika dhidi ya Rais zina ukakasi sana, zimekosa adabu na nidhamu kwa kiongozi wa nchi.
nadhani kwa utovu huu alio uonyesha Mnyika nimeshangaa kwa nn alipewe nafasi ya ukatibu mkuu lkn pia nitashangaa sana kama Mnyika hakuchukuliwa hatua kali kwa kauli za kifedhuli na dharau alizo zitoa.
hata kama hato chukuliwa hatua za kisheria lkn namshauri Mnyika ajivunze adabu na nidhamu ya uongozi, kwa nafasi yake hapaswi kuwa mlopokaji kama wapiga debe.
Hizo lugha hizi....Refraining to i thought it is refraining from.....Truly,I m not, are you?
Da, watu bado hamtaki kuacha tabia mbovu ya kulamba watu makalio. Yule mlimuabudu kuliko Mungu hadi Mungu akaona huu sasa ni ujinga akamshusha 6 feet, sasa mmenza tena na huyu lakini Mungu hajaribiwi na alisema yeye ni Mungu mwenye wivu.Kauli alizo zitumia Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika dhidi ya Rais zina ukakasi sana, zimekosa adabu na nidhamu kwa kiongozi wa nchi.
nadhani kwa utovu huu alio uonyesha Mnyika nimeshangaa kwa nn alipewe nafasi ya ukatibu mkuu lkn pia nitashangaa sana kama Mnyika hakuchukuliwa hatua kali kwa kauli za kifedhuli na dharau alizo zitoa.
hata kama hato chukuliwa hatua za kisheria lkn namshauri Mnyika ajivunze adabu na nidhamu ya uongozi, kwa nafasi yake hapaswi kuwa mlopokaji kama wapiga debe.
Unajua kesi inaweza kutumia hata miaka 5 au zaidi kabla ya hukumu?Tatizo ni kuwa haina dhamana hivyo mwanya huo unaweza kutumiwa na watawala kuwakomoa wapinzani!Kesi iko mahakamani sasa Mnyika ana shida gani tena kumfokea raisi wetu!! Au CDM wanamtest mama!
Mama ukicheka na nyani utavuna mabua ndo maana mtangulizi ilifika mahali akaamua kwenda nao sawa.
Wanamwambia atii utawala wa sheria huku wanamuambia aingilie mahakama kwa kuifuta kesi!
Kama Mbowe Hana hatia mbona CDM hawataki trial mahakamani badala yake wanataka ifutwe kinyemela?
Hii taasisi ya urais awamu inaashiria ni mradi hewaRais kapotoshwa na nani?
Huyu ni Rais gani anayepotoshwa kila mara namna hii?
Kila akiboronga, ni kapotoshwa!
WTF [emoji15].
Ina maana ni mweupe kiasi hicho cha kuweza kupotoshwa kila mara?
Sawa kabisa,ila hatujui kama kweli covid-19 ina mahusiano mazuri na johnson johnson! Maana hao ndiyo wenye hatma ya 10 yetu ijayo.10 tena kwa Mama!
Pain is beautiful.Rais kapotoshwa na nani?
Huyu ni Rais gani anayepotoshwa kila mara namna hii?
Kila akiboronga, ni kapotoshwa!
WTF [emoji15].
Ina maana ni mweupe kiasi hicho cha kuweza kupotoshwa kila mara?
White elephant hahahaRais hajapotoshwa ila ni mweupe
We si ulimsikiliza Mwendazake na Ndalichako!Hizo lugha hizi....Refraining to i thought it is refraining from.....
Taka wewKauli alizo zitumia Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika dhidi ya Rais zina ukakasi sana, zimekosa adabu na nidhamu kwa kiongozi wa nchi.
nadhani kwa utovu huu alio uonyesha Mnyika nimeshangaa kwa nn alipewe nafasi ya ukatibu mkuu lkn pia nitashangaa sana kama Mnyika hakuchukuliwa hatua kali kwa kauli za kifedhuli na dharau alizo zitoa.
hata kama hato chukuliwa hatua za kisheria lkn namshauri Mnyika ajivunze adabu na nidhamu ya uongozi, kwa nafasi yake hapaswi kuwa mlopokaji kama wapiga debe.