John Mnyika wakabidhi chama chao, si dhambi kurudi CCM. Ukishindwa kabisa nenda kaungane na Zitto Kabwe kuendeleza Siasa za Upinzani

John Mnyika wakabidhi chama chao, si dhambi kurudi CCM. Ukishindwa kabisa nenda kaungane na Zitto Kabwe kuendeleza Siasa za Upinzani

Ndugu yangu John Mnyika, umekitumikia CHADEMA toka ukiwa Mwanachama wa kawaida, Mbunge hadi kuwa Katibu Mkuu wa Chama. Hakuna anayeweza kupinga kuwa muda wako mwingi umetumia kutetea Chama chako kwa nguvu zako zote na kwa uadilifu mkubwa kwenye chama chako.

John Mnyika, kwa namna ulivyo muumini wa siasa za kistarabu, siasa za kujenga hoja, siasa za kusikilizana, siasa za kukubaliana kutokubaliana, umekuwa Mwanafunzi mzuri wa Mh. Freeman Mbowe, kwa sasa Chadema si sehemu yako Sahihi, ni bora kwako kuachia nafasi ya Katibu Mkuu Chadema ukarudi CCM ili uendelee na siasa za kistarabu.

Najua sio rahisi kwa Mh. Freeman Mbowe kwa sasa kurudi CCM lakini muda utaamua, Mh Mbowe ni Muumini wa maendeleo na kwa sasa anaona namna Serikali ya Mh. Samia Suluhu Hassan inavyowaletea Watanzania maendeleo kwa kusogeza huduma muhimu karibu yao.

Ndugu yangu Mnyika, Makamanda wenzako Lema na Lissu hawataki kurudi Tanzania sio kwa sababu kuna tishio lolote kwa sasa bali wanaona Chama kimepoteza muelekeo, kimekuwa Chama cha kwenye mitandao, ukimya wa akina Msigwa ukupe hamu ya kurudi CCM, ukweli ni kwamba Watanzania wote asili yetu ni CCM na si jambo baya kurudi kwenye asili yako.

Maendeleo ni kwa Watanzania.

Mungu Ibariki Tanzania

Mungu Mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan.
Kawashauri maccm wenzako
 
Ndugu yangu John Mnyika, umekitumikia CHADEMA toka ukiwa Mwanachama wa kawaida, Mbunge hadi kuwa Katibu Mkuu wa Chama. Hakuna anayeweza kupinga kuwa muda wako mwingi umetumia kutetea Chama chako kwa nguvu zako zote na kwa uadilifu mkubwa kwenye chama chako.

John Mnyika, kwa namna ulivyo muumini wa siasa za kistarabu, siasa za kujenga hoja, siasa za kusikilizana, siasa za kukubaliana kutokubaliana, umekuwa Mwanafunzi mzuri wa Mh. Freeman Mbowe, kwa sasa Chadema si sehemu yako Sahihi, ni bora kwako kuachia nafasi ya Katibu Mkuu Chadema ukarudi CCM ili uendelee na siasa za kistarabu.

Najua sio rahisi kwa Mh. Freeman Mbowe kwa sasa kurudi CCM lakini muda utaamua, Mh Mbowe ni Muumini wa maendeleo na kwa sasa anaona namna Serikali ya Mh. Samia Suluhu Hassan inavyowaletea Watanzania maendeleo kwa kusogeza huduma muhimu karibu yao.

Ndugu yangu Mnyika, Makamanda wenzako Lema na Lissu hawataki kurudi Tanzania sio kwa sababu kuna tishio lolote kwa sasa bali wanaona Chama kimepoteza muelekeo, kimekuwa Chama cha kwenye mitandao, ukimya wa akina Msigwa ukupe hamu ya kurudi CCM, ukweli ni kwamba Watanzania wote asili yetu ni CCM na si jambo baya kurudi kwenye asili yako.

Maendeleo ni kwa Watanzania.

Mungu Ibariki Tanzania

Mungu Mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan.
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO(CHADEMA),utakuwa ni mpumbavu kama upo Tanzania iwapo huamini kuwa CHADEMA wanapenda Maendeleo kuliko kitu kingine,kuwa CHADEMA siyo kwamba huna akili bali ni utashi wa fikra baada ya kuona mabwanyenye wa ccm wanathamini sana familia zao na pande wanazotokea bila kujali sehemu zingine za nchi.Ukitaka uone maendeleo ya ccm basi kiongozi mkubwa wa nchi atokee sehemu hiyo,miradi yote ya Serikali itahamia huko.
 
Ndugu yangu John Mnyika, umekitumikia CHADEMA toka ukiwa Mwanachama wa kawaida, Mbunge hadi kuwa Katibu Mkuu wa Chama. Hakuna anayeweza kupinga kuwa muda wako mwingi umetumia kutetea Chama chako kwa nguvu zako zote na kwa uadilifu mkubwa kwenye chama chako.

John Mnyika, kwa namna ulivyo muumini wa siasa za kistarabu, siasa za kujenga hoja, siasa za kusikilizana, siasa za kukubaliana kutokubaliana, umekuwa Mwanafunzi mzuri wa Mh. Freeman Mbowe, kwa sasa Chadema si sehemu yako Sahihi, ni bora kwako kuachia nafasi ya Katibu Mkuu Chadema ukarudi CCM ili uendelee na siasa za kistarabu.

Najua sio rahisi kwa Mh. Freeman Mbowe kwa sasa kurudi CCM lakini muda utaamua, Mh Mbowe ni Muumini wa maendeleo na kwa sasa anaona namna Serikali ya Mh. Samia Suluhu Hassan inavyowaletea Watanzania maendeleo kwa kusogeza huduma muhimu karibu yao.

Ndugu yangu Mnyika, Makamanda wenzako Lema na Lissu hawataki kurudi Tanzania sio kwa sababu kuna tishio lolote kwa sasa bali wanaona Chama kimepoteza muelekeo, kimekuwa Chama cha kwenye mitandao, ukimya wa akina Msigwa ukupe hamu ya kurudi CCM, ukweli ni kwamba Watanzania wote asili yetu ni CCM na si jambo baya kurudi kwenye asili yako.

Maendeleo ni kwa Watanzania.

Mungu Ibariki Tanzania

Mungu Mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan.
Idadi ya wapumbavu inaongezeka kwa kasi sana huko CCM
 
Kila Mtanzania asili yake CCM mzee, ukizaliwa tu wewe ni CCM maana Wazazi wako wote walikuwa CCM , Kama hutaki wewe ni mbishi tu johnthebaptist
Wewe ni mjinga sana CCM imezaliwa 1977 unaposema wazazi wako wote walikuwa ccm wewe ni mpumbavu maana hata wengine tumezaliwa kabla ya ccm na wazazi wetu hawakuwahi kuwa wan ccm kabla ya kuzaliwa kwetu.
 
Wewe ni mjinga sana CCM imezaliwa 1977 unaposema wazazi wako wote walikuwa ccm wewe ni mpumbavu maana hata wengine tumezaliwa kabla ya ccm na wazazi wetu hawakuwahi kuwa wan ccm kabla ya kuzaliwa kwetu.
Umetumia uhuru wako wa kutoa maoni bila kuvunja sheria au utaratibu wa JF, bado nasisitiza kila Mtanzania asili yake ni TANU na ASP, nikisema Kila Mtanzania asili yake ni CCM uelewe, kitu kizuri ni kwamba CCM inaleta maendeleo kwa Watanzania wote WALOLA VUNZYA
 
Umetumia uhuru wako wa kutoa maoni bila kuvunja sheria au utaratibu wa JF, bado nasisitiza kila Mtanzania asili yake ni TANU na ASP, nikisema Kila Mtanzania asili yake ni CCM uelewe, kitu kizuri ni kwamba CCM inaleta maendeleo kwa Watanzania wote WALOLA VUNZYA
Maendeleo huletwa na Watanzania wote maana wanashiriki kulipa kodi na tozo mbali mbali za Serikali.
 
Maendeleo huletwa na Watanzania wote maana wanashiriki kulipa kodi na tozo mbali mbali za Serikali.
Inayosimamia hayo maendeleo ni Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania iliyotokana na Chama Cha Mapinduzi kilichoshinda uchaguzi wa mwaka 2020.
Maendeleo huletwa na Watanzania wote maana wanashiriki kulipa kodi na tozo mbali mbali za Serikali.
 
Ndugu yangu John Mnyika, umekitumikia CHADEMA toka ukiwa Mwanachama wa kawaida, Mbunge hadi kuwa Katibu Mkuu wa Chama. Hakuna anayeweza kupinga kuwa muda wako mwingi umetumia kutetea Chama chako kwa nguvu zako zote na kwa uadilifu mkubwa kwenye chama chako.

John Mnyika, kwa namna ulivyo muumini wa siasa za kistarabu, siasa za kujenga hoja, siasa za kusikilizana, siasa za kukubaliana kutokubaliana, umekuwa Mwanafunzi mzuri wa Mh. Freeman Mbowe, kwa sasa Chadema si sehemu yako Sahihi, ni bora kwako kuachia nafasi ya Katibu Mkuu Chadema ukarudi CCM ili uendelee na siasa za kistarabu.

Najua sio rahisi kwa Mh. Freeman Mbowe kwa sasa kurudi CCM lakini muda utaamua, Mh Mbowe ni Muumini wa maendeleo na kwa sasa anaona namna Serikali ya Mh. Samia Suluhu Hassan inavyowaletea Watanzania maendeleo kwa kusogeza huduma muhimu karibu yao.

Ndugu yangu Mnyika, Makamanda wenzako Lema na Lissu hawataki kurudi Tanzania sio kwa sababu kuna tishio lolote kwa sasa bali wanaona Chama kimepoteza muelekeo, kimekuwa Chama cha kwenye mitandao, ukimya wa akina Msigwa ukupe hamu ya kurudi CCM, ukweli ni kwamba Watanzania wote asili yetu ni CCM na si jambo baya kurudi kwenye asili yako.

Maendeleo ni kwa Watanzania.

Mungu Ibariki Tanzania

Mungu Mbariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Samia Suluhu Hassan.
Yaani unasema ccm ni chama Bora!Cha kistaarabu!!?
Kafulila yupo wapi?Ali happy,Malinda!!
Ni kweli jombaa hujapigiwa na katibu!
 
Back
Top Bottom