John Mongella: Ushindi wa Simba ni Utekelezaji wa Ilani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)

Basi yanga wanapaswa kuziba hiyo loophole inayawapa mwanya wanasiasa kuitumia kwa maslahi yao! Na kwa maudhui yako ni hiyo "Bendera" waachane nayo!
 
Basi yanga wanapaswa kuziba hiyo loophole inayawapa mwanya wanasiasa kuitumia kwa maslahi yao! Na kwa maudhui yako ni hiyo "Bendera" waachane nayo!

Tangia lini umeona wana Yanga SC wana Akili Mkuu?
 
CCM na Yanga nani alianza kutumia rangi hizo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…