Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 12,340
- 16,383
Basi yanga wanapaswa kuziba hiyo loophole inayawapa mwanya wanasiasa kuitumia kwa maslahi yao! Na kwa maudhui yako ni hiyo "Bendera" waachane nayo!Ni Kosa Kubwa kuifananisha CCM na Yanga SC kwa Kigezo cha Rangi zao za Bendera kwani hizi ni Taasisi mbili zenye ' Interests ' tofauti kwa Wahusika / Walengwa ila kuna uwezekano CCM wakati wa Kampeni zake za Uchaguzi Mkuu kwa mbinu ya Kipropaganda huamua kwa Makusudi Kuwaaminisha Wana Yanga SC kuwa ni Wenzao ili tu wapate Kura zao wakati Kiuhalisia hakuna Uhusiano wowote ule wa Kitija kama siyo Kimantiki baina yao.
Basi yanga wanapaswa kuziba hiyo loophole inayawapa mwanya wanasiasa kuitumia kwa maslahi yao! Na kwa maudhui yako ni hiyo "Bendera" waachane nayo!
Hahahahaaaaaa!! You finally break the ice! Basi acha tu nibaki zangu Simba!! Simba hoyeeeeeeeee!! Magu aachane na sisi kabisa!Tangia lini umeona wana Yanga SC wana Akili Mkuu?
CCM imechangia nini?Ameyasema hayo katika ufunguzi wa kikao cha maafisa mawasiliano serikalini kinachoendelea muda huu jijini Mwanza na kurushwa live na TBC1. John Mongella ni mkuu wa mkoa wa Mwanza.
Ni Kosa Kubwa kuifananisha CCM na Yanga SC kwa Kigezo cha Rangi zao za Bendera kwani hizi ni Taasisi mbili zenye ' Interests ' tofauti kwa Wahusika / Walengwa ila kuna uwezekano CCM wakati wa Kampeni zake za Uchaguzi Mkuu kwa mbinu ya Kipropaganda huamua kwa Makusudi Kuwaaminisha Wana Yanga SC kuwa ni Wenzao ili tu wapate Kura zao wakati Kiuhalisia hakuna Uhusiano wowote ule wa Kitija kama siyo Kimantiki baina yao.
Itakua yanga, maana yanga in umri mkubwa kuliko ccmCCM na Yanga nani alianza kutumia rangi hizo?