LGE2024 John Mrema aanika madudu ya TAMISEMI, waongeza sifuri na herufi kuwakosesha sifa Wagombea

LGE2024 John Mrema aanika madudu ya TAMISEMI, waongeza sifuri na herufi kuwakosesha sifa Wagombea

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
2,060
Reaction score
5,648
Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA), John Mrema amedai kuwa fomu za wagomea wao zimechezewa:

"Kilosa kule mkoani Morogoro wagombea wetu (wa uchaguzi wa serikali za mitaa) wameenguliwa bada ya fomu zao kuchezewa, wasimamizi wamesahau kwamba mwaka huu (2024) wagombea walikuwa wanajaza fomu mbili, kwa mfano mgombea kwenye kata ya Kimamba 'B', kijiji cha Kimamba 'B', kitongoji cha Kwa Bwana Mizinga mgombea wetu anaitwa Kilato Yunge Boniface badala ya Yunge wameongeza herufi moja anaandikwa kama Myunge, badala ya Boniface ameandikwa Boneface"
Soma: CHADEMA wanatoa Tamko kuhusu hali ya Kisiasa inayoendelea nchini kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
 
Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA), John Mrema amedai kuwa fomu za wagomea wao zimechezewa:

"Kilosa kule mkoani Morogoro wagombea wetu (wa uchaguzi wa serikali za mitaa) wameenguliwa bada ya fomu zao kuchezewa, wasimamizi wamesahau kwamba mwaka huu (2024) wagombea walikuwa wanajaza fomu mbili, kwa mfano mgombea kwenye kata ya Kimamba 'B', kijiji cha Kimamba 'B', kitongoji cha Kwa Bwana Mizinga mgombea wetu anaitwa Kilato Yunge Boniface badala ya Yunge wameongeza herufi moja anaandikwa kama Myunge, badala ya Boniface ameandikwa Boneface"
Kwanini Tunafanya Hivi sio Sawa maana Hivi ni kusababisha Matatizo na Uvunjifu wa Amani sio sawa
 
Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA), John Mrema amedai kuwa fomu za wagomea wao zimechezewa:

"Kilosa kule mkoani Morogoro wagombea wetu (wa uchaguzi wa serikali za mitaa) wameenguliwa bada ya fomu zao kuchezewa, wasimamizi wamesahau kwamba mwaka huu (2024) wagombea walikuwa wanajaza fomu mbili, kwa mfano mgombea kwenye kata ya Kimamba 'B', kijiji cha Kimamba 'B', kitongoji cha Kwa Bwana Mizinga mgombea wetu anaitwa Kilato Yunge Boniface badala ya Yunge wameongeza herufi moja anaandikwa kama Myunge, badala ya Boniface ameandikwa Boneface"
CHADEMA wamekosa watu sahihi wa kukishauri chama. Tuliwaambieni msishiriki kabisa uchaguzi huu wenye wingi wa figisu, wakabisha
 
Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA), John Mrema amedai kuwa fomu za wagomea wao zimechezewa:

"Kilosa kule mkoani Morogoro wagombea wetu (wa uchaguzi wa serikali za mitaa) wameenguliwa bada ya fomu zao kuchezewa, wasimamizi wamesahau kwamba mwaka huu (2024) wagombea walikuwa wanajaza fomu mbili, kwa mfano mgombea kwenye kata ya Kimamba 'B', kijiji cha Kimamba 'B', kitongoji cha Kwa Bwana Mizinga mgombea wetu anaitwa Kilato Yunge Boniface badala ya Yunge wameongeza herufi moja anaandikwa kama Myunge, badala ya Boniface ameandikwa Boneface"
Soma: CHADEMA wanatoa Tamko kuhusu hali ya Kisiasa inayoendelea nchini kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
CCM inalitia aibu sana Taifa letu
 
Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA), John Mrema amedai kuwa fomu za wagomea wao zimechezewa:

"Kilosa kule mkoani Morogoro wagombea wetu (wa uchaguzi wa serikali za mitaa) wameenguliwa bada ya fomu zao kuchezewa, wasimamizi wamesahau kwamba mwaka huu (2024) wagombea walikuwa wanajaza fomu mbili, kwa mfano mgombea kwenye kata ya Kimamba 'B', kijiji cha Kimamba 'B', kitongoji cha Kwa Bwana Mizinga mgombea wetu anaitwa Kilato Yunge Boniface badala ya Yunge wameongeza herufi moja anaandikwa kama Myunge, badala ya Boniface ameandikwa Boneface"
Soma: CHADEMA wanatoa Tamko kuhusu hali ya Kisiasa inayoendelea nchini kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
 

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    420.8 KB · Views: 3

Attachments

  • Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    Screenshot_2024-07-16-21-00-20-1.png
    420.8 KB · Views: 2
  • IMG_3824.jpeg
    IMG_3824.jpeg
    50.6 KB · Views: 2
  • 5810871-156c33252d331784831e630b50148deb.mp4
    2 MB
  • 5811523-6041f5af6e2b5c7600d07027005d6658.mp4
    3.7 MB
  • 5808629-57f86e47f2e7305376bcccf74fb56df4.mp4
    2.1 MB
  • 5808626-bde51487c15170759ed7838e0c83538c.mp4
    339 KB
Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA), John Mrema amedai kuwa fomu za wagomea wao zimechezewa:

"Kilosa kule mkoani Morogoro wagombea wetu (wa uchaguzi wa serikali za mitaa) wameenguliwa bada ya fomu zao kuchezewa, wasimamizi wamesahau kwamba mwaka huu (2024) wagombea walikuwa wanajaza fomu mbili, kwa mfano mgombea kwenye kata ya Kimamba 'B', kijiji cha Kimamba 'B', kitongoji cha Kwa Bwana Mizinga mgombea wetu anaitwa Kilato Yunge Boniface badala ya Yunge wameongeza herufi moja anaandikwa kama Myunge, badala ya Boniface ameandikwa Boneface"
Soma: CHADEMA wanatoa Tamko kuhusu hali ya Kisiasa inayoendelea nchini kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Kamateni huyu msimamizi peleka polisi kwa nguvu!
 
Hii ni Kauli ya Kikakamavu iliyotolewa na Mwenyekiti wa Kanda ya Pwani, Boniface Jackob huko Mlandizi

Screenshot_2024-11-08-15-31-37-1.png


Watake Wasitake, Walioenguliwa wote watarejeshwa

Screenshot_2024-11-08-10-42-38-1.png
 
Hivi hawa CCM huu uhuni watakuja kuacha lini?
 
Kama huyu Bashiru ana roho katili kama ya kuhutu!
 
Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA), John Mrema amedai kuwa fomu za wagomea wao zimechezewa:

"Kilosa kule mkoani Morogoro wagombea wetu (wa uchaguzi wa serikali za mitaa) wameenguliwa bada ya fomu zao kuchezewa, wasimamizi wamesahau kwamba mwaka huu (2024) wagombea walikuwa wanajaza fomu mbili, kwa mfano mgombea kwenye kata ya Kimamba 'B', kijiji cha Kimamba 'B', kitongoji cha Kwa Bwana Mizinga mgombea wetu anaitwa Kilato Yunge Boniface badala ya Yunge wameongeza herufi moja anaandikwa kama Myunge, badala ya Boniface ameandikwa Boneface"
Soma: CHADEMA wanatoa Tamko kuhusu hali ya Kisiasa inayoendelea nchini kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
Kama walijaza mbili au kutoa kopi waliochezea wataumbuka mchana kweupe
 
Mkurugenzi wa Itifaki, Mawasiliano na Mambo ya Nje wa Chama cha Maendeleo na Demokrasia (CHADEMA), John Mrema amedai kuwa fomu za wagomea wao zimechezewa:

"Kilosa kule mkoani Morogoro wagombea wetu (wa uchaguzi wa serikali za mitaa) wameenguliwa bada ya fomu zao kuchezewa, wasimamizi wamesahau kwamba mwaka huu (2024) wagombea walikuwa wanajaza fomu mbili, kwa mfano mgombea kwenye kata ya Kimamba 'B', kijiji cha Kimamba 'B', kitongoji cha Kwa Bwana Mizinga mgombea wetu anaitwa Kilato Yunge Boniface badala ya Yunge wameongeza herufi moja anaandikwa kama Myunge, badala ya Boniface ameandikwa Boneface"
Soma: CHADEMA wanatoa Tamko kuhusu hali ya Kisiasa inayoendelea nchini kuelekea Uchaguzi wa Serikali za Mitaa
CCM wanafanya upumbavu wa hali ya juu sn
 
Back
Top Bottom