LGE2024 John Mrema aanika madudu ya TAMISEMI, waongeza sifuri na herufi kuwakosesha sifa Wagombea

LGE2024 John Mrema aanika madudu ya TAMISEMI, waongeza sifuri na herufi kuwakosesha sifa Wagombea

Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024
Anasema uache upumbavu upende nchi yako
Kuaendeleza SACCOS ndio upendo kwa nchi yako ?embu mwambie huyu mzee aende walau Tabora ajaribu kuitisha mkutano ndio utathibitisha kuwa waliosema kuwa chaggadema ni SACCOS walifikiria mbali saaana
 
Kuaendeleza SACCOS ndio upendo kwa nchi yako ?embu mwambie huyu mzee aende walau Tabora ajaribu kuitisha mkutano ndio utathibitisha kuwa waliosema kuwa chaggadema ni SACCOS walifikiria mbali saaana
UWT semenni ukweli, sawa CHADEMA imekufa why wagombea wao mnawaengua? si muache fair election wananchi waamue
 
Back
Top Bottom