Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 20,694
- 32,527
Tatizo hawa wanaotuomba michango wamekuwa wakisema kuwa mtaani pesa hakuna, sasa kama hakuna wanaomba nini?Kwanini ccm huwa mnaumia sana wenzenu wanapokuwa wanachangiwa? Mbona hamkupiga kelele pale magufuli alipochangia ujemzi wa msikiti wakati waislam wanao uwezo wa kujenga wenyewe?
Na wamebanika kisawasawaKuna spana imepigwa kistadi hivyo pesa ya waliowanunua imekwama kuiva.
Waendeshe kampeni kwa ustaarabu
Mashabiki wake watamchangia, hata utembee uchi kitaaNapinga john mrema kuchangiwa michango.
Hii tabia ni lazima ikomeshwe, HAKUNA KUMCHANGIA MREMA PESA YOYOTE
Mtaani hakuna pesa ndio maana wanaomba, na ndio maana wewe pia unaona uchungu kutoa. Zingekuwepo wasingeomba wala usingelalamikaTatizo hawa wanaotuomba michango wamekuwa wakisema kuwa mtaani pesa hakuna, sasa kama hakuna wanaomba nini?
Kwanini ccm huwa mnaumia sana wenzenu wanapokuwa wanachangiwa? Mbona hamkupiga kelele pale magufuli alipochangia ujemzi wa msikiti wakati waislam wanao uwezo wa kujenga wenyewe?
Katika makuadi waliokula hela ya lowasa kwa kwango kikubwa jamaa anawezashika no 2 nyuma ya mwamba mboweKatika hali ya kushangaza kiongozi mwandamizi wa Chadema anayegombea ubunge Ndg. John Mrema anaanza kampeni zake kwa kuomba achangiwe.
Najiuliza iwapo kiongozi huyu ambaye amepata neema nyingi za kushirikishwa kwenye matukio ya Chama chao na kuwa mjumbe wa kamati kuu kwa muda wa zaidi ya miaka 7 sasa huku akiwa amemnyang'anya tonge mdomoni ndugu Tumaini Makene na Yericko Nyerere.
Inashangaza sana kwa mtu huyu kukosa fedha ya kampeni.
Hii inaashiria kama John Mrema hana fedha za kampeni vipi hali ya wagombea wao huko mikoani?
TAFAKARI
Hapo ndipo mnapokosea, michango inanfanya kiongozi awajibike kwa wananchi, nchi za wenzetu ni kawaida sana kuchangiwa, CCM wanatoa rushwa kuwanunua wapiga kura, wakichaguliwa wanakuwa na kazi ya kurudisha pesa walizotumia, nyie mliopokea rushwa mnaachwa solemba.Naunga mkono wagombea kuchangisha hela kwa ajili ya CampaignNapinga john mrema kuchangiwa michango.
Hii tabia ni lazima ikomeshwe, HAKUNA KUMCHANGIA MREMA PESA YOYOTE
Wanakura bia tu na konyagi na nyama choma.Siyo John Mrema tu bali hawa ombaomba Chadema wanatusumbua kwelikweli kuomba michango, yaani sisi tuwachangie kushinda uchaguzi wakishaingia Bungeni wanakwenda kususia vikao vya Bunge tunakosa uwakilishi lakini wao mishahara yao iko palepale na kiinua mgongo cha nguvu, nyambafu zao si Wabunge wao walikatwa pesa nyingi kwa miaka mitano kwa ajili ya uchaguzi 2020, hiyo pesa imeenda wapi? Wanataka kutufanya sisi mazuzu.
Wewe pia ni omba omba in one way or another.... Harusi unataka uchangiwe, send off unataka uchangiwe, ukienda bar bia unaomba, mara ukipata shida gari unaazima etc etc so kipi cha ajabu hapo?Siyo John Mrema tu bali hawa ombaomba Chadema wanatusumbua kwelikweli kuomba michango, yaani sisi tuwachangie kushinda uchaguzi wakishaingia Bungeni wanakwenda kususia vikao vya Bunge tunakosa uwakilishi lakini wao mishahara yao iko palepale na kiinua mgongo cha nguvu, nyambafu zao si Wabunge wao walikatwa pesa nyingi kwa miaka mitano kwa ajili ya uchaguzi 2020, hiyo pesa imeenda wapi? Wanataka kutufanya sisi mazuzu.
wewe ni gasho!.Napinga john mrema kuchangiwa michango.
Hii tabia ni lazima ikomeshwe, HAKUNA KUMCHANGIA MREMA PESA YOYOTE
Katika hali ya kushangaza kiongozi mwandamizi wa Chadema anayegombea ubunge Ndg. John Mrema anaanza kampeni zake kwa kuomba achangiwe.
Najiuliza iwapo kiongozi huyu ambaye amepata neema nyingi za kushirikishwa kwenye matukio ya Chama chao na kuwa mjumbe wa kamati kuu kwa muda wa zaidi ya miaka 7 sasa huku akiwa amemnyang'anya tonge mdomoni ndugu Tumaini Makene na Yericko Nyerere.
Inashangaza sana kwa mtu huyu kukosa fedha ya kampeni.
Hii inaashiria kama John Mrema hana fedha za kampeni vipi hali ya wagombea wao huko mikoani?
TAFAKARI
Kama huchangi si ww, acha nongwa.Napinga john mrema kuchangiwa michango.
Hii tabia ni lazima ikomeshwe, HAKUNA KUMCHANGIA MREMA PESA YOYOTE
Hakuna Ruzuku?Katika hali ya kushangaza kiongozi mwandamizi wa Chadema anayegombea ubunge Ndg. John Mrema anaanza kampeni zake kwa kuomba achangiwe.
Najiuliza iwapo kiongozi huyu ambaye amepata neema nyingi za kushirikishwa kwenye matukio ya Chama chao na kuwa mjumbe wa kamati kuu kwa muda wa zaidi ya miaka 7 sasa huku akiwa amemnyang'anya tonge mdomoni ndugu Tumaini Makene na Yericko Nyerere.
Inashangaza sana kwa mtu huyu kukosa fedha ya kampeni.
Hii inaashiria kama John Mrema hana fedha za kampeni vipi hali ya wagombea wao huko mikoani?
TAFAKARI