Uchaguzi 2020 John Mrema aanza kampeni jimbo la Segerea kwa kuomba michango

Uchaguzi 2020 John Mrema aanza kampeni jimbo la Segerea kwa kuomba michango

Kwanini ccm huwa mnaumia sana wenzenu wanapokuwa wanachangiwa? Mbona hamkupiga kelele pale magufuli alipochangia ujemzi wa msikiti wakati waislam wanao uwezo wa kujenga wenyewe?
Tatizo hawa wanaotuomba michango wamekuwa wakisema kuwa mtaani pesa hakuna, sasa kama hakuna wanaomba nini?
 
Tatizo hawa wanaotuomba michango wamekuwa wakisema kuwa mtaani pesa hakuna, sasa kama hakuna wanaomba nini?
Mtaani hakuna pesa ndio maana wanaomba, na ndio maana wewe pia unaona uchungu kutoa. Zingekuwepo wasingeomba wala usingelalamika
 
Kwanini ccm huwa mnaumia sana wenzenu wanapokuwa wanachangiwa? Mbona hamkupiga kelele pale magufuli alipochangia ujemzi wa msikiti wakati waislam wanao uwezo wa kujenga wenyewe?

Watu hawapingi kutoa michango, watu wanataka transparency and accountability ya fedha za chama.Bora kuweka wazi mapungufu ili wanachama na wapenzi waweze kuokoa jahazi.

Sisi tunahoji serikali ya CCM inavyotumia pesa bila maelezo,halafu Chadema inatuchangisha pesa bila maelezo,je tutapata nguvu ya kuwarushia makombora CCM?
 
Katika hali ya kushangaza kiongozi mwandamizi wa Chadema anayegombea ubunge Ndg. John Mrema anaanza kampeni zake kwa kuomba achangiwe.

Najiuliza iwapo kiongozi huyu ambaye amepata neema nyingi za kushirikishwa kwenye matukio ya Chama chao na kuwa mjumbe wa kamati kuu kwa muda wa zaidi ya miaka 7 sasa huku akiwa amemnyang'anya tonge mdomoni ndugu Tumaini Makene na Yericko Nyerere.

Inashangaza sana kwa mtu huyu kukosa fedha ya kampeni.

Hii inaashiria kama John Mrema hana fedha za kampeni vipi hali ya wagombea wao huko mikoani?

TAFAKARI
Katika makuadi waliokula hela ya lowasa kwa kwango kikubwa jamaa anawezashika no 2 nyuma ya mwamba mbowe
 
Napinga john mrema kuchangiwa michango.
Hii tabia ni lazima ikomeshwe, HAKUNA KUMCHANGIA MREMA PESA YOYOTE
Hapo ndipo mnapokosea, michango inanfanya kiongozi awajibike kwa wananchi, nchi za wenzetu ni kawaida sana kuchangiwa, CCM wanatoa rushwa kuwanunua wapiga kura, wakichaguliwa wanakuwa na kazi ya kurudisha pesa walizotumia, nyie mliopokea rushwa mnaachwa solemba.Naunga mkono wagombea kuchangisha hela kwa ajili ya Campaign
 
Siyo John Mrema tu bali hawa ombaomba Chadema wanatusumbua kwelikweli kuomba michango, yaani sisi tuwachangie kushinda uchaguzi wakishaingia Bungeni wanakwenda kususia vikao vya Bunge tunakosa uwakilishi lakini wao mishahara yao iko palepale na kiinua mgongo cha nguvu, nyambafu zao si Wabunge wao walikatwa pesa nyingi kwa miaka mitano kwa ajili ya uchaguzi 2020, hiyo pesa imeenda wapi? Wanataka kutufanya sisi mazuzu.
Wanakura bia tu na konyagi na nyama choma.
 
Siyo John Mrema tu bali hawa ombaomba Chadema wanatusumbua kwelikweli kuomba michango, yaani sisi tuwachangie kushinda uchaguzi wakishaingia Bungeni wanakwenda kususia vikao vya Bunge tunakosa uwakilishi lakini wao mishahara yao iko palepale na kiinua mgongo cha nguvu, nyambafu zao si Wabunge wao walikatwa pesa nyingi kwa miaka mitano kwa ajili ya uchaguzi 2020, hiyo pesa imeenda wapi? Wanataka kutufanya sisi mazuzu.
Wewe pia ni omba omba in one way or another.... Harusi unataka uchangiwe, send off unataka uchangiwe, ukienda bar bia unaomba, mara ukipata shida gari unaazima etc etc so kipi cha ajabu hapo?
 
Hili jambo lao ni zitooo ndio maana wengine wameamua kujitoa
 
Afu Chadema kwa Mrema tumebugi hana mvuto huyu jamaa.
 
Hizo ndio zao na mbowe na hata ofisi hakuna.yaani huyo ni michango tu ndio anataka.msichague kabisa
 
Huyu dogo anajua hashindi kaamua kutafuta mtaji kwa ulaghai
Katika hali ya kushangaza kiongozi mwandamizi wa Chadema anayegombea ubunge Ndg. John Mrema anaanza kampeni zake kwa kuomba achangiwe.

Najiuliza iwapo kiongozi huyu ambaye amepata neema nyingi za kushirikishwa kwenye matukio ya Chama chao na kuwa mjumbe wa kamati kuu kwa muda wa zaidi ya miaka 7 sasa huku akiwa amemnyang'anya tonge mdomoni ndugu Tumaini Makene na Yericko Nyerere.

Inashangaza sana kwa mtu huyu kukosa fedha ya kampeni.

Hii inaashiria kama John Mrema hana fedha za kampeni vipi hali ya wagombea wao huko mikoani?

TAFAKARI
 
Katika hali ya kushangaza kiongozi mwandamizi wa Chadema anayegombea ubunge Ndg. John Mrema anaanza kampeni zake kwa kuomba achangiwe.

Najiuliza iwapo kiongozi huyu ambaye amepata neema nyingi za kushirikishwa kwenye matukio ya Chama chao na kuwa mjumbe wa kamati kuu kwa muda wa zaidi ya miaka 7 sasa huku akiwa amemnyang'anya tonge mdomoni ndugu Tumaini Makene na Yericko Nyerere.

Inashangaza sana kwa mtu huyu kukosa fedha ya kampeni.

Hii inaashiria kama John Mrema hana fedha za kampeni vipi hali ya wagombea wao huko mikoani?

TAFAKARI
Hakuna Ruzuku?
 
Back
Top Bottom