Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
==
John Mrema ni Mkurugenzi wa mawasiliano na mambo ya nje wa Chadema
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wala hatutaki aende mbali tunataka alambe jimbo tuni haki yake kikatiba ila hafiki popote
Daaaah mpaka kaamua kuingia ulingoni. Huyu ndio strategist mkubwa wa Chadema, namuona kabisa akichukua jimbo mapeeemawala hatutaki aende mbali tunataka alambe jimbo tu
Aende kwao Kilimanjaro Segerea wanataka mzawa kipindi hikiHakuna haja yoyote ya kumwelezea huyu mtu, anafahamika, kikubwa ni kutambulisha jimbo analolinyemelea , baaaasiiii
Waliojitokeza kuchukua form Chadema maeneo mengi naona wanauzika sana kwa wapiga kura, kazi kwao kulinda kura watakazopigiwa na wananchi wao, dalili za ushindi kwao zinaonekana mapema sana.
Hakuna haja yoyote ya kumwelezea huyu mtu, anafahamika, kikubwa ni kutambulisha jimbo analolinyemelea , baaaasiiii
Unamjua mzawa wa Segerea wewe!Aende kwao Kilimanjaro segerea wanataka mzawa kipindi hiki
Tusiombe kufika hapo katika siasa za nchi yetu, tukifika hatua hii tutakuwa tunayakaribisha matatizo wacha agombee wanasegerea wataamua.Aende kwao Kilimanjaro segerea wanataka mzawa kipindi hiki
Ameshagombea kwao mara kadhaa ameshindwa hata Segerea ataangukia puaAende kwao Kilimanjaro segerea wanataka mzawa kipindi hiki
UkabilaAende kwao Kilimanjaro segerea wanataka mzawa kipindi hiki
Daaaah mpaka kaamua kuingia ulingoni. Huyu ndo strategist mkubwa wa Chadema, namuona kabisa akichukua jimbo mapeeema
Ugonile MwamasangulaWewe mbona hujionyeshi kuchukua na kurudisha form kyela?
Anatimiza haki yake kikatiba kushiriki uchaguziHakuna haja yoyote ya kumwelezea huyu mtu, anafahamika, kikubwa ni kutambulisha jimbo analolinyemelea , baaaasiiii
[/QUOTE]
Huyu bwana anaweza sana hapo nafikiri atatuvusha.Hakuna haja yoyote ya kumwelezea huyu mtu, anafahamika, kikubwa ni kutambulisha jimbo analolinyemelea , baaaasiiii