Pre GE2025 John Mrema: Wanataka kunifukuza uanachama. Wameshinda uchaguzi sasa hawataki wengine tuseme

Pre GE2025 John Mrema: Wanataka kunifukuza uanachama. Wameshinda uchaguzi sasa hawataki wengine tuseme

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

mwanamwana

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2011
Posts
1,309
Reaction score
4,798
images (29).jpeg

Ameandika Mrema kupotia ukurasa wake wa X,

"Nimejulishwa na mwenyekiti wa tawi langu, ameagizwa anifute uanachama kabla ya kesho ili kama nitaendelea na nia yangu ya kuzungumza na vyombo vya habari basi niwe sio mwanachama!

"Nimeshangaa sana maagizo hayo na mpango huo ambao unaratibiwa na viongozi akiwemo Mwenyekiti wa Kata ya Segerea bwana Kitomary!

"Wanademokrasia, wameshinda uchaguzi sasa hawataki wengine tuseme! Wanataka kufukuza wengine uanachama ili wasisemwe!

"Demokrasia ni pamoja na uhuru wa mawazo na kutoa maoni! CHADEMA ndiyo chama changu, sijawahi kuwa mwanachama wa chama kingine chochote!

"Nawatahadharisha acheni ujinga huo!"


Screenshot_20250123_182849_X.jpg

Soma>> Aliyetuhumiwa kupanga kumfukuza John Mrema CHADEMA akanusha
 
Nimejulishwa na mwenyekiti wa tawi langu, ameagizwa anifute uanachama kabla ya kesho ili kama nitaendelea na nia yangu ya kuzungumza na vyombo vya habari basi niwe sio mwanachama!

Nimeshangaa sana maagizo hayo na mpango huo ambao unaratibiwa na viongozi akiwemo Mwenyekiti wa Kata ya Segerea bwana Kitomary!

Wanademokrasia, wameshinda uchaguzi sasa hawataki wengine tuseme! Wanataka kufukuza wengine uanachama ili wasisemwe!

Demokrasia ni pamoja na uhuru wa mawazo na kutoa maoni! CHADEMA ndiyo chama changu, sijawahi kuwa mwanachama wa chama kingine chochote!

Nawatahadharisha acheni ujinga huo!
Kazi ya kukiponya chama sharti ianze mara moja!
 
Nimejulishwa na mwenyekiti wa tawi langu, ameagizwa anifute uanachama kabla ya kesho ili kama nitaendelea na nia yangu ya kuzungumza na vyombo vya habari basi niwe sio mwanachama!

Nimeshangaa sana maagizo hayo na mpango huo ambao unaratibiwa na viongozi akiwemo Mwenyekiti wa Kata ya Segerea bwana Kitomary!

Wanademokrasia, wameshinda uchaguzi sasa hawataki wengine tuseme! Wanataka kufukuza wengine uanachama ili wasisemwe!

Demokrasia ni pamoja na uhuru wa mawazo na kutoa maoni! CHADEMA ndiyo chama changu, sijawahi kuwa mwanachama wa chama kingine chochote!

Nawatahadharisha acheni ujinga huo!
Sasa muhimu ni kujua agenda zako za mkutano huo tarajiwa na wanahabari.Weka hapa kama bado ni mwenyenia njema na chama.Kwanini ufutwe vinginevyo ni miongoni mwa mliopangwa kukiumiza chama.
 
Nimejulishwa na mwenyekiti wa tawi langu, ameagizwa anifute uanachama kabla ya kesho ili kama nitaendelea na nia yangu ya kuzungumza na vyombo vya habari basi niwe sio mwanachama!

Nimeshangaa sana maagizo hayo na mpango huo ambao unaratibiwa na viongozi akiwemo Mwenyekiti wa Kata ya Segerea bwana Kitomary!

Wanademokrasia, wameshinda uchaguzi sasa hawataki wengine tuseme! Wanataka kufukuza wengine uanachama ili wasisemwe!

Demokrasia ni pamoja na uhuru wa mawazo na kutoa maoni! CHADEMA ndiyo chama changu, sijawahi kuwa mwanachama wa chama kingine chochote!

Nawatahadharisha acheni ujinga huo!
Ila wanampenda sana... mpaka muda huu wa saa 12 jioni bado yupo tu... yaani bado tu ni mwanachama wa Chadema???? Daah hakika Lissu hana kisasi
 
Uongozi mpya msiruhusu haya mambo ya kufukuzana mapema hivi. Haki ya kutoa maoni ni haki ya kila raia, ilindeni na muiishi demokrasia ambayo kila siku tunaihubiri.

Uongozi wa visasi si mzuri, mtakuwa mmeanza na mguu wa kushoto.

Tunafikiri hili jambo halitatokea.
 
Nimejulishwa na mwenyekiti wa tawi langu, ameagizwa anifute uanachama kabla ya kesho ili kama nitaendelea na nia yangu ya kuzungumza na vyombo vya habari basi niwe sio mwanachama!

Nimeshangaa sana maagizo hayo na mpango huo ambao unaratibiwa na viongozi akiwemo Mwenyekiti wa Kata ya Segerea bwana Kitomary!

Wanademokrasia, wameshinda uchaguzi sasa hawataki wengine tuseme! Wanataka kufukuza wengine uanachama ili wasisemwe!

Demokrasia ni pamoja na uhuru wa mawazo na kutoa maoni! CHADEMA ndiyo chama changu, sijawahi kuwa mwanachama wa chama kingine chochote!

Nawatahadharisha acheni ujinga huo!
Tunahitaji wanachama hatuwezi fukuza mwanachama,ila tu iwapo kakiuka katiba na pamoja na maridhiano imeshindikana,hapo itakuwa hamna namna.
 
Nimejulishwa na mwenyekiti wa tawi langu, ameagizwa anifute uanachama kabla ya kesho ili kama nitaendelea na nia yangu ya kuzungumza na vyombo vya habari basi niwe sio mwanachama!

Nimeshangaa sana maagizo hayo na mpango huo ambao unaratibiwa na viongozi akiwemo Mwenyekiti wa Kata ya Segerea bwana Kitomary!

Wanademokrasia, wameshinda uchaguzi sasa hawataki wengine tuseme! Wanataka kufukuza wengine uanachama ili wasisemwe!

Demokrasia ni pamoja na uhuru wa mawazo na kutoa maoni! CHADEMA ndiyo chama changu, sijawahi kuwa mwanachama wa chama kingine chochote!

Nawatahadharisha acheni ujinga huo!
John MREMA alikuwa ni muumini saana wa UKANDA, TAL, ondoa huyu jamaa mara moja na kuna yule Asenga wa TABATA Nae yukokundi moja na huyu MREMA.
 
Huyu naye angetulia tu,kama new administration haina mpango na wewe kuna haja gani ya kuwa na makelele
Kwahio Chama ni cha New Administration na Sio Wanachama wote ? Mbona kama mnafanya recycling ya kile ambacho mlitaka kukiondoa ?

Nadhani ifike wakati kuwe na mgombea Binafsi sababu hivi vyama ni kama vimekuwa magenge ya individuals na sio mkusanyiko wa watu wenye itikadi sawa...
 
Ila wanampenda sana... mpaka muda huu wa saa 12 jioni bado yupo tu... yaani bado tu ni mwanachama wa Chadema???? Daah hakika Lissu hana kisasi
Ulisikia kijembe alichomrushia Wenje wakati anamtangaza Mnyika kuwa Katibu Mkuu? Umesikia hotuba ya Naibu KM Bara akiwataka wale wote waliowasema vibaya waende wakaombe msamaha na kutubu kwa wale waliowakosea? Hawa ni watu wa visasi. Huko mbeleni itakuwa kazi ya kuwapaka matope wale wote waliotofautiana nao. Imani yao ni vidonda vyao peke yake ndio vinatakiwa kuponywa.

Wangeshindwa ingekuwa vurugu.

Amandla...
 
Back
Top Bottom