Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Si ndio itakuwa raha au?Kaeni kwa kutulia mpaka akili ziwakae sawa. Maana niliwaambia Lissu atakisambaratisha chama lakini hamkunisikia. Tena ikiwezekana upigwe kabisa na makofi
Ni wakati wa kujifungua sasaKaeni kwa kutulia mpaka akili ziwakae sawa. Maana niliwaambia Lissu atakisambaratisha chama lakini hamkunisikia. Tena ikiwezekana upigwe kabisa na makofi
Huko Chadema watu wa Tawi au kata tu wanaweza kumfuta mtu uanachama ? Au ni mbinu kukichafua çhama chini ya Lissu kimtindo.
Ameandika Mrema kupotia ukurasa wake wa X,
"Nimejulishwa na mwenyekiti wa tawi langu, ameagizwa anifute uanachama kabla ya kesho ili kama nitaendelea na nia yangu ya kuzungumza na vyombo vya habari basi niwe sio mwanachama!
"Nimeshangaa sana maagizo hayo na mpango huo ambao unaratibiwa na viongozi akiwemo Mwenyekiti wa Kata ya Segerea bwana Kitomary!
"Wanademokrasia, wameshinda uchaguzi sasa hawataki wengine tuseme! Wanataka kufukuza wengine uanachama ili wasisemwe!
"Demokrasia ni pamoja na uhuru wa mawazo na kutoa maoni! CHADEMA ndiyo chama changu, sijawahi kuwa mwanachama wa chama kingine chochote!
"Nawatahadharisha acheni ujinga huo!"
Ndio itakuwa raha sana ili mkumbuke maneno yangu niliyowaambieni kuwa lissu hawezi kuongoza CHADEMA.Si ndio itakuwa raha au?
Haya, tulia subiri kufurahia.Ndio itakuwa raha sana ili mkumbuke maneno yangu niliyowaambieni kuwa lissu hawezi kuongoza CHADEMA.
Mpaka sasa hivi ni kauli yake tu hatujasikia mwingine akisema, ila mbona kuna watu kama Yericho Mengele akina Ntobi kina Wenje mbona hatusikii maneno?Uongozi mpya msiruhusu haya mambo ya kufukuzana mapema hivi. Haki ya kutoa maoni ni haki ya kila raia, ilindeni na muiishi demokrasia ambayo kila siku tunaihubiri.
Uongozi wa visasi si mzuri, mtakuwa mmeanza na mguu wa kushoto.
Tunafikiri hili jambo halitatokea.
Mmeshamfukuza Lema uanachama?Team Lissu ni nyoko sana.
Acha chuki kwa Lissu.Umezidisha.Lissu ana roho mbaya sana tangu apigwe risasi akili zake zimekaa upande.
MtaonaMadam chomoa ulichokalia mkuu halafu kimbia usiweweseke..