Yeyote yule anayehubiri mgawanyiko aogopwe kama ukoma.
Kwani Mwamba hakusema atawashughulikia kina Li-ssu?
Au naye Kesha sahau?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeyote yule anayehubiri mgawanyiko aogopwe kama ukoma.
Ulisikia kijembe alichomrushia Wenje wakati anamtangaza Mnyika kuwa Katibu Mkuu? Umesikia hotuba ya Naibu KM Bara akiwataka wale wote waliowasema vibaya waende wakaombe msamaha na kutubu kwa wale waliowakosea? Hawa ni watu wa visasi. Huko mbeleni itakuwa kazi ya kuwapaka matope wale wote waliotofautiana nao. Imani yao ni vidonda vyao peke yake ndio vinatakiwa kuponywa.
Wangeshindwa ingekuwa vurugu.
Amandla...
john Mrema, kwani mtu hufukuzwa uanachama kama mbwa anayetaka kuiba nyama jikoni..?
Ameandika Mrema kupotia ukurasa wake wa X,
"Nimejulishwa na mwenyekiti wa tawi langu, ameagizwa anifute uanachama kabla ya kesho ili kama nitaendelea na nia yangu ya kuzungumza na vyombo vya habari basi niwe sio mwanachama!
"Nimeshangaa sana maagizo hayo na mpango huo ambao unaratibiwa na viongozi akiwemo Mwenyekiti wa Kata ya Segerea bwana Kitomary!
"Wanademokrasia, wameshinda uchaguzi sasa hawataki wengine tuseme! Wanataka kufukuza wengine uanachama ili wasisemwe!
"Demokrasia ni pamoja na uhuru wa mawazo na kutoa maoni! CHADEMA ndiyo chama changu, sijawahi kuwa mwanachama wa chama kingine chochote!
"Nawatahadharisha acheni ujinga huo!"
Uongozi mpya msiruhusu haya mambo ya kufukuzana mapema hivi. Haki ya kutoa maoni ni haki ya kila raia, ilindeni na muiishi demokrasia ambayo kila siku tunaihubiri.
Uongozi wa visasi si mzuri, mtakuwa mmeanza na mguu wa kushoto.
Tunafikiri hili jambo halitatokea.
Umeongea pointKwani amemkosea Nini lissu mpaka atake kumfuta uanachama? Mbona sikuwahi kumsikia kwenye kampein akimsema vibaya lissu??
Kimsingi uchaguzi ushakwisha sasa ni muda wa kujenga chama, haya mambo ya kutishiana tishiana sio kabisa( kama ni kweli). Vinginevyo huyo jamaa anatafuta kiki ya kuondokea asipewe hiyo frusa
Exactly, na hilo ndo la msingi ili kuwa na ustawi wa chama.Kazi ya kukiponya chama sharti ianze mara moja!
Exactly 👍Tundu Lissu achana na mipango hii kama ni kweli.. wewe ndio mwenyekiti, wapigie simu walio chini yako muyamalize
Kama ni kweli anachoongea Mrema basi ni makosa, CHADEMA tunatakiwa tuheshimu freedom of Speech kwa vitendo.
Naam.Kama ni kweli anachoongea Mrema basi ni makosa, CHADEMA tunatakiwa tuheshimu freedom of Speech kwa vitendo.
wanasahau kuwa hiyo ni chaggadema na wewe ndio miongoni mwa wenye mali
Ameandika Mrema kupotia ukurasa wake wa X,
"Nimejulishwa na mwenyekiti wa tawi langu, ameagizwa anifute uanachama kabla ya kesho ili kama nitaendelea na nia yangu ya kuzungumza na vyombo vya habari basi niwe sio mwanachama!
"Nimeshangaa sana maagizo hayo na mpango huo ambao unaratibiwa na viongozi akiwemo Mwenyekiti wa Kata ya Segerea bwana Kitomary!
"Wanademokrasia, wameshinda uchaguzi sasa hawataki wengine tuseme! Wanataka kufukuza wengine uanachama ili wasisemwe!
"Demokrasia ni pamoja na uhuru wa mawazo na kutoa maoni! CHADEMA ndiyo chama changu, sijawahi kuwa mwanachama wa chama kingine chochote!
"Nawatahadharisha acheni ujinga huo!"
Good observation.Huyo anatafuta huruma tu hakuna agizo lolote la kumfukuza anajishuku tu.
Mbowe kasema CDM tusitukanane, na atakaetukana baada ya uchaguzi akione cha moto.Uongozi mpya msiruhusu haya mambo ya kufukuzana mapema hivi. Haki ya kutoa maoni ni haki ya kila raia, ilindeni na muiishi demokrasia ambayo kila siku tunaihubiri.
Uongozi wa visasi si mzuri, mtakuwa mmeanza na mguu wa kushoto.
Tunafikiri hili jambo halitatokea.
Kwani anataka kusema nini nayeye
Ameandika Mrema kupotia ukurasa wake wa X,
"Nimejulishwa na mwenyekiti wa tawi langu, ameagizwa anifute uanachama kabla ya kesho ili kama nitaendelea na nia yangu ya kuzungumza na vyombo vya habari basi niwe sio mwanachama!
"Nimeshangaa sana maagizo hayo na mpango huo ambao unaratibiwa na viongozi akiwemo Mwenyekiti wa Kata ya Segerea bwana Kitomary!
"Wanademokrasia, wameshinda uchaguzi sasa hawataki wengine tuseme! Wanataka kufukuza wengine uanachama ili wasisemwe!
"Demokrasia ni pamoja na uhuru wa mawazo na kutoa maoni! CHADEMA ndiyo chama changu, sijawahi kuwa mwanachama wa chama kingine chochote!
"Nawatahadharisha acheni ujinga huo!"
Acha akione cha moto, kama mnataka muhame.Lissu ana roho mbaya sana tangu apigwe risasi akili zake zimekaa upande.
Hahahahsa mbavu zangu ! Kweli kabisa umenikumbushambatia naye alifukuzwa nccr
Mkitaka ondokoni, mwende VACATION na mzee wenu.Ndiyo maana tumesema kuwe na Tume ya mapatanisho - kila upande umeumizwa ; ukiruhusu haya ya kufukuzana CDM haifiki mbali - muda ni mchache sana kuelekea uchaguzi Mkuu. Msiwape nafasi maadui wetu wapumue, inatakiwa pressing inanze kwa umoja wote, yaani ni kukabia juu.