Leonard Robert
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 11,125
- 7,373
Shida nyie Wana ccm ?mtulieSikuwaji kujua kuwa wewe ni mjinga wa kiwango hiki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida nyie Wana ccm ?mtulieSikuwaji kujua kuwa wewe ni mjinga wa kiwango hiki.
Mkitaka vita, mtapewa vita kama alivyoahidi BONI YAI, muhesabu kura na kijana mtiifu wa mlamba asali.Lissu hana hilo anachojua vita tu.
Lissu ni kiongozi bora sana.Hukuelewa ulipoambiwa kuwa Lissu hafai uongozi wa juu, ila utaanza kuelewa kidogo kidogo kwa vitendo
Ndio maana Lissu kashinda uchaguzi kwasababu hataki siasa za visasi.Kwani Mwamba hakusema atawashughulikia kina Li-ssu?
Au naye Kesha sahau?
Asikilizwe hoja zake.Mrema leo ni mtu wa kulalamikia viongozi wa Chadema Tawi?! Mkubwa huoni fishy agenda in his claims?
Sasa yule mweye kiti wa BAWACHA anajisikiaje maana alisha jinasibisha kabisa ila kwa kuwa TUNDU LISSU anajua kutatua matatizo ya ndani ya chama atamaliza hiyo shida
NashangaaKwahio Chama ni cha New Administration na Sio Wanachama wote ? Mbona kama mnafanya recycling ya kile ambacho mlitaka kukiondoa ?
Nadhani ifike wakati kuwe na mgombea Binafsi sababu hivi vyama ni kama vimekuwa magenge ya individuals na sio mkusanyiko wa watu wenye itikadi sawa...
Lissu ni mtu mwenye misimamo lkn sio mtu wa visasi, angekuwa mtu wa visasi bashite asingekuwa hai kwa namna yoyote ile. Pengine mrema kaamua kutengeneza mazingira ya kupokeleka upande wa piliMahali popote ukiingia uongozi mpya kuna wale mafundi wa majungu wanakimbilia kuuweka sawa. Na kwa vile uongozi huu unaendekeza fitna basi wataumia wengi.
Lema alimpigia simu Lissu kumuombia kuwa watu wananyimwa vitambulisho, wameambiwa watavipata kesho yake. Waandishi wa habari wakamkuta Kigaila anaendelea zoezi zima na hamna aliyenyimwa kitambulisho. Wakasingizia kuwa watu wanapewa rushwa vyooni kumbe ni maofisa kutoka kanda walikuwa wanawapa watu posho na nauli zao!
Hawa sio wa kuwaamini.
Amandla...
Hizo ni tuhuma tu hazina ushahidi wowote.Kwani Mrema anachukuliwa hatua kwa ajili ya Freedom of Speech au fedha za Abdul? Hujui hawa ndo wamekula fedha za Abdul kwa nia ya kuiangamiza Chadema?
You're rightNaam kama ni Rushwa si kuna Sheria, Taratibu na Kamati za Nidhamu n.k., Hivyo kama kweli akionekana ana kosa basi ashughulikiwe kama Chama walivyojipangia kumshughulikia mtu kama huyu akifanya kama hayo...,
Uko mbali sana na sayansi ya siasa mkuu.Soon Mbowe ataanzisha chama kipya
kweli kabisaYeyote yule anayehubiri mgawanyiko aogopwe kama ukoma.