TANZIA John Nyerere afariki dunia

john alikuwa kipenzi cha watoto hivyo nami nilikuwa mtoto kipindi hicho. Karate ni kwa ajili ya kujilinda maana alikuwa anazijua.

khahahaaa..!
Umekwepa jibu umetoa la ziada!!
Lebanon kati√√
 

c.c
lebanon block/tis..east gate...##√√√
 
1.Andrew aka Ganesh 2.Anna 3.Emil Magige 4.John Guido 5.Charles Makongoro 6.Madaraka 7. Rosemary

Asante mkuu ina maana Magige bado yuko hai? Hapo ndo nimeshindwa kuelewa!
 
Bwana alitoa na sasa ametwaa, jina la Bwana lihimidiwe.
 
John Nyerere, mtoto wa nne wa Mwalimu Julius Nyerere, amefariki dunia usiku huu katika hospitali ya rufaa ya Muhimbili.
Poleni sana wafiwa. Mwenyezi Mungu aonaye sirini awaguse mioyo yenu katika kipndi hiki cha sononeko na majonzi. Bwana alitoa Bwana ametwaa. Jina lake lihimidiwe
 
Pasco umenisaidia kuunganisha majina. Kabla nilidhani John na Magige ni watu wawili tofauti.

Poleni kwa msiba familia ya Mwalimu

John Nyerere ni mtoto wa nne, Magige Nyerere ni mtoto wa tatu Haya mambo yote yatakuwa clarified in the next few days.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…