John Pambalu na Wana-CHADEMA acheni kuwakebei walimu kuwa hawajitambui kisa Mwabukusi nafuu yao kuliko nyie

John Pambalu na Wana-CHADEMA acheni kuwakebei walimu kuwa hawajitambui kisa Mwabukusi nafuu yao kuliko nyie

William Mshumbusi

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2012
Posts
1,761
Reaction score
2,391
CHADEMA wapo kuvunja vunja hoja, umoja na Malengo ya upinzani.

Wao ni kuponda, kukebei, na kutukana kila anayeshindwa kufanya jambo kama wao wanavyotaka au aliyekosea.

1. CHADEMA wao Wote walifurushwa bungeni kwa nguvu ya dola je nani aliwabeza hahaha.
2. Wabunge wenu Akina mdee mpaka leo wako bungeni. Licha ya maongezi mengi ya Mbowe na Raisi. Je halikuwemo kwenye makubaliano yake?

Sioni yehemu yoyote dira ambayo viongozi wa chadema na sera wanazoamini wakiwafunda wanachama wao zaidi ya kutwa kusubiri kasoro waanze kulalamika.

Mazao yote ya biashara bei hupanda wakati wa uchaguzi.

Kagera walikata Kahawa sababu ya soko duni.

Kahawa ilikuwa buku Bukoba uganda 5000 kilo. Je wangeondoa vipi hayo mambo kisera. Sasa Kagera vijijjini ni umasikini wa kutupwa tanzania hii. Pamoja na hali nzuri ya hewa vijana wanapakimbia kuja kuwa Malaya au vibarua mjini au visiwani.

Kilichofanya nchi nyingi za kiafrika kuchelewa kupata Uhueru ni.
1. Lack of unity
2. Lack of Strong Leadership
3. Lack of fund.
4. Lack of strong Ideology toward Freedom.

Sioni ubora wa Chadema kwenye kujenga sera. Mnaweza kupata mvuto bila kubeza mtu, kutukana au kusimangana.

Sio wafanyakazi, Wakulima, Vijana wa mtaani na wasomi waliokosa ajira na kuwa machawa, wafanyabiashara na wachimbaji migodini. Wana kero nyingi mno.


Kama kiongozi kwanza fanyeni tafiti za kina za vyanzo vya matatizo, njia ya kuyakabiri, Jinsi ya kuunganisha makundi yote wawe kitu kimoja. Sio kuwagawa.

Leo wakulima wakilia bei mbovu ya mazao wafanyakazi wanawacheka kuwa ata wao mishahara, Pensheni na vyama vyao vinawaumiza.

MMfanyakazi akilia kikokotoo kibovu mfanyabiashara na mkulima wanaona akishugulikiwa atafaidi bora wateseke kama wao.

Andaeni sera wazi, Unganisheni nguvu. onesheni Jinsi maslahi ya Mfanyakaz yatakavyoinua biashara. Au bei nzuri za mazao zitakavyojenga uchumi vijijini. Na uchumi mzuri vijijini ni maisha mazuri kwa watumishi wa uma uko.

Pia itachochea kilimo na Pato la taifa na Ajira serikalini na Secta binafsi.

Nipe mawasiliano tuandae sera bora ata msiposhinda iwasaidie watakaoshinda kubadili nchi.

Kikubwa muache kukoment vitu kwa hisia. Tuwe focus na Sera na kero zisiwe msingi wa chama.

Chama cha kisiasa uongozwa na sera. Na vvyma vya Kigaidi uongozwa na itikadi na harakati.
Screenshot_2024_0804_132132.png
 
Nakubali kuwa walimu wengi wao hawajitambui tena sana,wanaishi Kwa hofu na kujipendekeza,can you imagine huku niliko walimu wameambiwa kuchangia mwenge sh 10,000 ,kushona sare ni lazima,pia siku ya mwenge itatubidi kukesha kwenye mwenge,ambao utalala kibutuka- liwale?

Nb.hata Mimi ni mwalimu pia,ila Kuna walimu vilazest kunilko Mimi,naungana na mtoa hoja!
 
Chadema wapo kuvunja vunja hoja, umoja na Malengo ya upinzani.


Wao ni kuponda, kukebei, na kutukana kila anayeshindwa kufanya jambo kama wao wanavyotaka au aliyekosea.


1. Chadema wao Wote walifurushwa bungeni kwa nguvu ya dola je nani aliwabeza hahaha.
2. Wabunge wenu Akina mdee mpaka leo wako bungeni. Licha ya maongezi mengi ya Mbowe na Raisi. Je halikuwemo kwenye makubaliano yake?

Sioni yehemu yoyote dira ambayo viongozi wa chadema na sera wanazoamini wakiwafunda wanachama wao zaidi ya kutwa kusubiri kasoro waanze kulalamika.

Mazao yote ya biashara bei hupanda wakati wa uchaguzi.

Kagera walikata Kahawa sababu ya soko duni.

Kahawa ilikuwa buku Bukoba uganda 5000 kilo. Je wangeondoa vipi hayo mambo kisera. Sasa Kagera vijijjini ni umasikini wa kutupwa tanzania hii. Pamoja na hali nzuri ya hewa vijana wanapakimbia kuja kuwa Malaya au vibarua mjini au visiwani.

Kilichofanya nchi nyingi za kiafrika kuchelewa kupata Uhueru ni.
1. Lack of unity
2. Lack of Strong Leadership
3. Lack of fund.
4. Lack of strong Ideology toward Freedom.

Sioni ubora wa Chadema kwenye kujenga sera. Mnaweza kupata mvuto bila kubeza mtu, kutukana au kusimangana.

Sio wafanyakazi, Wakulima, Vijana wa mtaani na wasomi waliokosa ajira na kuwa machawa, wafanyabiashara na wachimbaji migodini. Wana kero nyingi mno.


Kama kiongozi kwanza fanyeni tafiti za kina za vyanzo vya matatizo, njia ya kuyakabiri, Jinsi ya kuunganisha makundi yote wawe kitu kimoja. Sio kuwagawa.

Leo wakulima wakilia bei mbovu ya mazao wafanyakazi wanawacheka kuwa ata wao mishahara, Pensheni na vyama vyao vinawaumiza.

MMfanyakazi akilia kikokotoo kibovu mfanyabiashara na mkulima wanaona akishugulikiwa atafaidi bora wateseke kama wao.

Andaeni sera wazi, Unganisheni nguvu. onesheni Jinsi maslahi ya Mfanyakaz yatakavyoinua biashara. Au bei nzuri za mazao zitakavyojenga uchumi vijijini. Na uchumi mzuri vijijini ni maisha mazuri kwa watumishi wa uma uko.

Pia itachochea kilimo na Pato la taifa na Ajira serikalini na Secta binafsi.

Nipe mawasiliano tuandae sera bora ata msiposhinda iwasaidie watakaoshinda kubadili nchi.

Kikubwa muache kukoment vitu kwa hisia. Tuwe focus na Sera na kero zisiwe msingi wa chama.

Chama cha kisiasa uongozwa na sera. Na vvyma vya Kigaidi uongozwa na itikadi na harakati.View attachment 3061284
sio kuwakebehi walimu pekee , bali pia wana tabia ya kuwakebehi wananchi wote tena kwa dhihaka na dharau sana kwa kuwaita majina ya fedheha wananchi, hususani pale wanaposhindwa kwa hoja majukwaani au kukataliwa kwao kwenye sanduku la kura...

hata hivyo,
kwenye baadhi ya maeneo hususani jimboni pangu dhana na mtindo wao wa kukebehi wananchi inawatafuna vizuri sana mpaka leo, huwa hawaskizwi kabisa, na impact ya dhihaka zao kwa wananchi hazitakuja kufutika daima katika fikra za wananchi wangu waerevu pale jimboni..


haiwezekani umdhihaki mwanainchi huyo kwa kebehi na dharau leo, then kesho ukamuombe akuunge mkono au akupigie kura,

hiyo ustaarabu haiko kwenye uwanja wa demokrasia na haiwezekani kukupa mafanikio hata kidogo 🐒

kwahiyo ni muhimu zaidi huo ustaarabu wa hicho chama ukakemewa Lakini pia ukapuuzwa na wanainchi ili iwe fundisho kwa wengine 🐒
 
Chadema wapo kuvunja vunja hoja, umoja na Malengo ya upinzani.


Wao ni kuponda, kukebei, na kutukana kila anayeshindwa kufanya jambo kama wao wanavyotaka au aliyekosea.


1. Chadema wao Wote walifurushwa bungeni kwa nguvu ya dola je nani aliwabeza hahaha.
2. Wabunge wenu Akina mdee mpaka leo wako bungeni. Licha ya maongezi mengi ya Mbowe na Raisi. Je halikuwemo kwenye makubaliano yake?

Sioni yehemu yoyote dira ambayo viongozi wa chadema na sera wanazoamini wakiwafunda wanachama wao zaidi ya kutwa kusubiri kasoro waanze kulalamika.

Mazao yote ya biashara bei hupanda wakati wa uchaguzi.

Kagera walikata Kahawa sababu ya soko duni.

Kahawa ilikuwa buku Bukoba uganda 5000 kilo. Je wangeondoa vipi hayo mambo kisera. Sasa Kagera vijijjini ni umasikini wa kutupwa tanzania hii. Pamoja na hali nzuri ya hewa vijana wanapakimbia kuja kuwa Malaya au vibarua mjini au visiwani.

Kilichofanya nchi nyingi za kiafrika kuchelewa kupata Uhueru ni.
1. Lack of unity
2. Lack of Strong Leadership
3. Lack of fund.
4. Lack of strong Ideology toward Freedom.

Sioni ubora wa Chadema kwenye kujenga sera. Mnaweza kupata mvuto bila kubeza mtu, kutukana au kusimangana.

Sio wafanyakazi, Wakulima, Vijana wa mtaani na wasomi waliokosa ajira na kuwa machawa, wafanyabiashara na wachimbaji migodini. Wana kero nyingi mno.


Kama kiongozi kwanza fanyeni tafiti za kina za vyanzo vya matatizo, njia ya kuyakabiri, Jinsi ya kuunganisha makundi yote wawe kitu kimoja. Sio kuwagawa.

Leo wakulima wakilia bei mbovu ya mazao wafanyakazi wanawacheka kuwa ata wao mishahara, Pensheni na vyama vyao vinawaumiza.

MMfanyakazi akilia kikokotoo kibovu mfanyabiashara na mkulima wanaona akishugulikiwa atafaidi bora wateseke kama wao.

Andaeni sera wazi, Unganisheni nguvu. onesheni Jinsi maslahi ya Mfanyakaz yatakavyoinua biashara. Au bei nzuri za mazao zitakavyojenga uchumi vijijini. Na uchumi mzuri vijijini ni maisha mazuri kwa watumishi wa uma uko.

Pia itachochea kilimo na Pato la taifa na Ajira serikalini na Secta binafsi.

Nipe mawasiliano tuandae sera bora ata msiposhinda iwasaidie watakaoshinda kubadili nchi.

Kikubwa muache kukoment vitu kwa hisia. Tuwe focus na Sera na kero zisiwe msingi wa chama.

Chama cha kisiasa uongozwa na sera. Na vvyma vya Kigaidi uongozwa na itikadi na harakati.View attachment 3061284
Hivi,Mushumbusi ni wahaya?Basi wewe ni kalumekenge na haueleweki.
 
Chadema wapo kuvunja vunja hoja, umoja na Malengo ya upinzani.


Wao ni kuponda, kukebei, na kutukana kila anayeshindwa kufanya jambo kama wao wanavyotaka au aliyekosea.


1. Chadema wao Wote walifurushwa bungeni kwa nguvu ya dola je nani aliwabeza hahaha.
2. Wabunge wenu Akina mdee mpaka leo wako bungeni. Licha ya maongezi mengi ya Mbowe na Raisi. Je halikuwemo kwenye makubaliano yake?

Sioni yehemu yoyote dira ambayo viongozi wa chadema na sera wanazoamini wakiwafunda wanachama wao zaidi ya kutwa kusubiri kasoro waanze kulalamika.

Mazao yote ya biashara bei hupanda wakati wa uchaguzi.

Kagera walikata Kahawa sababu ya soko duni.

Kahawa ilikuwa buku Bukoba uganda 5000 kilo. Je wangeondoa vipi hayo mambo kisera. Sasa Kagera vijijjini ni umasikini wa kutupwa tanzania hii. Pamoja na hali nzuri ya hewa vijana wanapakimbia kuja kuwa Malaya au vibarua mjini au visiwani.

Kilichofanya nchi nyingi za kiafrika kuchelewa kupata Uhueru ni.
1. Lack of unity
2. Lack of Strong Leadership
3. Lack of fund.
4. Lack of strong Ideology toward Freedom.

Sioni ubora wa Chadema kwenye kujenga sera. Mnaweza kupata mvuto bila kubeza mtu, kutukana au kusimangana.

Sio wafanyakazi, Wakulima, Vijana wa mtaani na wasomi waliokosa ajira na kuwa machawa, wafanyabiashara na wachimbaji migodini. Wana kero nyingi mno.


Kama kiongozi kwanza fanyeni tafiti za kina za vyanzo vya matatizo, njia ya kuyakabiri, Jinsi ya kuunganisha makundi yote wawe kitu kimoja. Sio kuwagawa.

Leo wakulima wakilia bei mbovu ya mazao wafanyakazi wanawacheka kuwa ata wao mishahara, Pensheni na vyama vyao vinawaumiza.

MMfanyakazi akilia kikokotoo kibovu mfanyabiashara na mkulima wanaona akishugulikiwa atafaidi bora wateseke kama wao.

Andaeni sera wazi, Unganisheni nguvu. onesheni Jinsi maslahi ya Mfanyakaz yatakavyoinua biashara. Au bei nzuri za mazao zitakavyojenga uchumi vijijini. Na uchumi mzuri vijijini ni maisha mazuri kwa watumishi wa uma uko.

Pia itachochea kilimo na Pato la taifa na Ajira serikalini na Secta binafsi.

Nipe mawasiliano tuandae sera bora ata msiposhinda iwasaidie watakaoshinda kubadili nchi.

Kikubwa muache kukoment vitu kwa hisia. Tuwe focus na Sera na kero zisiwe msingi wa chama.

Chama cha kisiasa uongozwa na sera. Na vvyma vya Kigaidi uongozwa na itikadi na harakati.View attachment 3061284
Ni kweli hajitambui
 
Kwenda huko wenye dhihaka nchi hii ni CCM tu..over.Rushwa, Mikataba tata,Uchawa, Wizi wa mali ya umma, matumizi mabovu kama kununua wapinzani.nkNi zaidi ya kabehi ever...
sio kuwakebehi walimu pekee , bali pia wana tabia ya kuwakebehi wananchi wote tena kwa dhihaka na dharau sana kwa kuwaita majina ya fedheha wananchi, hususani pale wanaposhindwa kwa hoja majukwaani au kukataliwa kwao kwenye sanduku la kura...

hata hivyo,
kwenye baadhi ya maeneo hususani jimboni pangu dhana na mtindo wao wa kukebehi wananchi inawatafuna vizuri sana mpaka leo, huwa hawaskizwi kabisa, na impact ya dhihaka zao kwa wananchi hazitakuja kufutika daima katika fikra za wananchi wangu waerevu pale jimboni..


haiwezekani umdhihaki mwanainchi huyo kwa kebehi na dharau leo, then kesho ukamuombe akuunge mkono au akupigie kura,

hiyo ustaarabu haiko kwenye uwanja wa demokrasia na haiwezekani kukupa mafanikio hata kidogo 🐒

kwahiyo ni muhimu zaidi huo ustaarabu wa hicho chama ukakemewa Lakini pia ukapuuzwa na wanainchi ili iwe fundisho kwa wengine 🐒
 
Kwenda huko wenye dhihaka nchi hii ni CCM tu..over.Rushwa, Mikataba tata,Uchawa, Wizi wa mali ya umma, matumizi mabovu kama kununua wapinzani.nkNi zaidi ya kabehi ever...
sasa kama Tatizo ni hilo yanini kuwadhihaki wananchi kwa kebehi, dharau na kejeli, then kesho unarudi tena kwa hao hao uliowadhihaki kuwaomba tena wakuchague? 🐒

unaelewa gentleman,
Tatizo la afya ya akili ni kubwa mno,
na miongoni mwa dalili zake za mwanzo sana ni pamoja na kufikiri, kuamua, kusema na kutenda mambo ambayo yanakuathiri wewe mwenyewe 🐒

sasa unamkebehi na kumdhihaki mwanainchi kwa kumuita majina ya fedheha, the kesho unategemea huyo mwananchi akuchague kweli?🐒

hili Tatizo bado linatesa sana chama kilichotajwa kwenye hoja ya msingi na bado 🐒
 
Back
Top Bottom