Pre GE2025 John Shibuda: Niko njiani kuja kuunga mkono maandamano ya Chadema 24/1/2024

Pre GE2025 John Shibuda: Niko njiani kuja kuunga mkono maandamano ya Chadema 24/1/2024

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mwanasiasa mkongwe nchini na M/kiti mstaafu wa Baraza la Vyama vya Siasa nchini John Magale Shibuda amesema yuko njiani kutosha Shinyanga kwenda Dar es salaam kuyaunga mkono maandamano ya Chadema ya 24/1/2024 na kutoa sababu za kufanya hivyo.

Shibuda ambaye amewahi kuwa kada wa Chadema na Mbunge wa chama hicho amekatiriwa na Mwandishi akisema:

"Niko njiani kuja Dar es kuyaunga mkono maandamano ya Chadema si kwa sababu yoyote Bali ni kwa sababu CCM imempiga kisogo Hayati Mwl. Nyerere alichowaambia kupitia kitabu chake TUJISAHIHISHE."

Ameongeza CCM haitaki kujisahihisha kwa kusikiliza maoni ya watu wanaowaongoza. Kimebaki kuwa gulio la kupata utajiri wakilinda kwa silaha nzito za moto"

Sabubu nyingine Shibuda amesema, "CCM inajipinga yenyewe kuhusu 4R za Rais Samia Suluhu Hassan kiasi kwamba Sasa hujui nani aeleweke maana kijana wao Chalamila (Albert) ametangazia Dunia kuwa atatumia wanajeshi wa JWTZ kuwatawanya waandamanaji. Jambo hili tayari limeleta impact mbaya sana huko duniani"

Shibuda amehoji na kueleza, "maandamano ni wananchi kutoa hisia zao za maumivu yao na namna wanavyotaka waongozwe wao. Tumefanya hivyo siku za uhuru na hakukutokea haya ya majeshi barabarani. Na ijulukane maandamano si lazima kuwaona watu barabarani wanaweza kutumia picha tu za mabango kila Kona ya nchi na Dunia ikajua. Nina mashaka sana na washauri wa Rais Samia inawezekana wanampotosha ili wao wachote rasilimali fedha kwa kumdanganya".

My take: Namuunga mkono Shibuda kwa hoja ya CCM kupinga 4R za za Rais Samia Suluhu Hassan. Lakini pia Chadema watambue haya maandamano ni fursa nyingine ya kuleta Mapinduzi (mabadiliko) ambayo mkiacha kuyatumia umma hautowaamini tena maana nafasi kama hizi mlizichezea 2016, 2019, 2020 na Sasa 2024.
Hata mimi nashangaa hizo 4 R ambazo zinahubiriwa tu ni za propaganda. Vidonda vilivyopo vya watu ambao ndugu zao wamepotea au wameumizwa sioni SSH akishughulikia hilo hata kuahidi tu kuwa halitarudiwa. Matatizo ya SSH yako katika tofauti ya matamko yake na utekelezaji halisi. 4R ni za kujisahihisha. Hizo 4 R zimesahihisha nini? Nani anaona dhamira ya dhati ya kukubali kusahihishwa kwenye hii Miswada ya SSH? Mkae mzungumze nini kama dhamira haipo?
 
JOHN SHIBUDA ADAI RAIS AFIKE KWIMBA KWA TAMBIKO

John Magale Shibuda adai jina Chief Hangaya halitoshi , Ni wakati wa Rais Samia Hassan aende Kwimba akafanyiwe tambiko
View: https://m.youtube.com/watch?v=H_Allw_6FXQ

Chief John Shibuda asisitiza chief Hangaya ana deni kubwa bado hajafanyiwa tambiko kusafishiwa uongozi na utawala wake uwe mweupe kama maziwa katika maeneo ya haki, sheria n.k
 
Ukiona hivyo Shibuda kasahaulika kwenye payroll ya Ccm. Ana beep ili akumbukwe.
 
Mwanasiasa mkongwe nchini na M/kiti mstaafu wa Baraza la Vyama vya Siasa nchini John Magale Shibuda amesema yuko njiani kutosha Shinyanga kwenda Dar es salaam kuyaunga mkono maandamano ya Chadema ya 24/1/2024 na kutoa sababu za kufanya hivyo.

Shibuda ambaye amewahi kuwa kada wa Chadema na Mbunge wa chama hicho amekatiriwa na Mwandishi akisema:

"Niko njiani kuja Dar es kuyaunga mkono maandamano ya Chadema si kwa sababu yoyote Bali ni kwa sababu CCM imempiga kisogo Hayati Mwl. Nyerere alichowaambia kupitia kitabu chake TUJISAHIHISHE."

Ameongeza CCM haitaki kujisahihisha kwa kusikiliza maoni ya watu wanaowaongoza. Kimebaki kuwa gulio la kupata utajiri wakilinda kwa silaha nzito za moto"

Sabubu nyingine Shibuda amesema, "CCM inajipinga yenyewe kuhusu 4R za Rais Samia Suluhu Hassan kiasi kwamba Sasa hujui nani aeleweke maana kijana wao Chalamila (Albert) ametangazia Dunia kuwa atatumia wanajeshi wa JWTZ kuwatawanya waandamanaji. Jambo hili tayari limeleta impact mbaya sana huko duniani"

Shibuda amehoji na kueleza, "maandamano ni wananchi kutoa hisia zao za maumivu yao na namna wanavyotaka waongozwe wao. Tumefanya hivyo siku za uhuru na hakukutokea haya ya majeshi barabarani. Na ijulukane maandamano si lazima kuwaona watu barabarani wanaweza kutumia picha tu za mabango kila Kona ya nchi na Dunia ikajua. Nina mashaka sana na washauri wa Rais Samia inawezekana wanampotosha ili wao wachote rasilimali fedha kwa kumdanganya".

My take: Namuunga mkono Shibuda kwa hoja ya CCM kupinga 4R za za Rais Samia Suluhu Hassan. Lakini pia Chadema watambue haya maandamano ni fursa nyingine ya kuleta Mapinduzi (mabadiliko) ambayo mkiacha kuyatumia umma hautowaamini tena maana nafasi kama hizi mlizichezea 2016, 2019, 2020 na Sasa 2024.
aah kumbe yeye ana malengo tofauti na nyumbu kwenye maandamano 🐒
 
Nguvu ya uma iheshimiwe!

Vitisho na hofu kwenye haki ya wananchi ni ya nini?
Wakiandama ccm itapungikiwa nini?

Ambia huyo mama kama anakubali maandamano ya kupongezwa na kusifiwa kila kona basi na kuandamana kwa kukosolewa ni sehem ya yeye kijifunza na kufanya marekebisho kwenye uongozi wake.

Let them do their right!
 
Mwanasiasa mkongwe nchini na M/kiti mstaafu wa Baraza la Vyama vya Siasa nchini John Magale Shibuda amesema yuko njiani kutosha Shinyanga kwenda Dar es salaam kuyaunga mkono maandamano ya Chadema ya 24/1/2024 na kutoa sababu za kufanya hivyo.

Shibuda ambaye amewahi kuwa kada wa Chadema na Mbunge wa chama hicho amekatiriwa na Mwandishi akisema:

"Niko njiani kuja Dar es kuyaunga mkono maandamano ya Chadema si kwa sababu yoyote Bali ni kwa sababu CCM imempiga kisogo Hayati Mwl. Nyerere alichowaambia kupitia kitabu chake TUJISAHIHISHE."

Ameongeza CCM haitaki kujisahihisha kwa kusikiliza maoni ya watu wanaowaongoza. Kimebaki kuwa gulio la kupata utajiri wakilinda kwa silaha nzito za moto"

Sabubu nyingine Shibuda amesema, "CCM inajipinga yenyewe kuhusu 4R za Rais Samia Suluhu Hassan kiasi kwamba Sasa hujui nani aeleweke maana kijana wao Chalamila (Albert) ametangazia Dunia kuwa atatumia wanajeshi wa JWTZ kuwatawanya waandamanaji. Jambo hili tayari limeleta impact mbaya sana huko duniani"

Shibuda amehoji na kueleza, "maandamano ni wananchi kutoa hisia zao za maumivu yao na namna wanavyotaka waongozwe wao. Tumefanya hivyo siku za uhuru na hakukutokea haya ya majeshi barabarani. Na ijulukane maandamano si lazima kuwaona watu barabarani wanaweza kutumia picha tu za mabango kila Kona ya nchi na Dunia ikajua. Nina mashaka sana na washauri wa Rais Samia inawezekana wanampotosha ili wao wachote rasilimali fedha kwa kumdanganya".

My take: Namuunga mkono Shibuda kwa hoja ya CCM kupinga 4R za za Rais Samia Suluhu Hassan. Lakini pia Chadema watambue haya maandamano ni fursa nyingine ya kuleta Mapinduzi (mabadiliko) ambayo mkiacha kuyatumia umma hautowaamini tena maana nafasi kama hizi mlizichezea 2016, 2019, 2020 na Sasa 2024.
Naona shibuda ameanza tena kuwa na akili.
 
Mwanasiasa mkongwe nchini na M/kiti mstaafu wa Baraza la Vyama vya Siasa nchini John Magale Shibuda amesema yuko njiani kutosha Shinyanga kwenda Dar es salaam kuyaunga mkono maandamano ya Chadema ya 24/1/2024 na kutoa sababu za kufanya hivyo.

Shibuda ambaye amewahi kuwa kada wa Chadema na Mbunge wa chama hicho amekatiriwa na Mwandishi akisema:

"Niko njiani kuja Dar es kuyaunga mkono maandamano ya Chadema si kwa sababu yoyote Bali ni kwa sababu CCM imempiga kisogo Hayati Mwl. Nyerere alichowaambia kupitia kitabu chake TUJISAHIHISHE."

Ameongeza CCM haitaki kujisahihisha kwa kusikiliza maoni ya watu wanaowaongoza. Kimebaki kuwa gulio la kupata utajiri wakilinda kwa silaha nzito za moto"

Sabubu nyingine Shibuda amesema, "CCM inajipinga yenyewe kuhusu 4R za Rais Samia Suluhu Hassan kiasi kwamba Sasa hujui nani aeleweke maana kijana wao Chalamila (Albert) ametangazia Dunia kuwa atatumia wanajeshi wa JWTZ kuwatawanya waandamanaji. Jambo hili tayari limeleta impact mbaya sana huko duniani"

Shibuda amehoji na kueleza, "maandamano ni wananchi kutoa hisia zao za maumivu yao na namna wanavyotaka waongozwe wao. Tumefanya hivyo siku za uhuru na hakukutokea haya ya majeshi barabarani. Na ijulukane maandamano si lazima kuwaona watu barabarani wanaweza kutumia picha tu za mabango kila Kona ya nchi na Dunia ikajua. Nina mashaka sana na washauri wa Rais Samia inawezekana wanampotosha ili wao wachote rasilimali fedha kwa kumdanganya".

My take: Namuunga mkono Shibuda kwa hoja ya CCM kupinga 4R za za Rais Samia Suluhu Hassan. Lakini pia Chadema watambue haya maandamano ni fursa nyingine ya kuleta Mapinduzi (mabadiliko) ambayo mkiacha kuyatumia umma hautowaamini tena maana nafasi kama hizi mlizichezea 2016, 2019, 2020 na Sasa 2024.
Safi, aje kufa vizuri.
 
Back
Top Bottom