Hahahahahah umepinda mkuu.....hivi huwa najiuliza kuna mwanaume hajawahi kucheat jamani maana wadada wanatutega sana! I can never blame John Terry kosa lake alijisahau kama ni celebrity jamaa wakauza news kwa paparazi.......!
Duh! Huu udaku sasa! Gazeti gani hilo ebu twambie tulisome, mbona halipo mtaani/mtandaoni?! Hizi filimbi zako tu!Lakini kuna gazeti la uingereza limemkosoa sana JT. Inasemekana alikuwa amejaa misifa sana na anayempa kiburi ni Bilionea wao chelsea kwani yuko juu kuliko kocha na ndo kisa kilichomuondoa Jos'e.
Wanadai yeye ndo anapanga watu wale nini wavae nini nbasi ni mtu ambaye alijisahau mno akashindwa kufata maelekezo ya muasisi wake Dersaily ambaye ndiye alimkochi kwa ukubwa sana kuwa beki wa kati mzuri
Ukweli ni kwamba hawa masholi wanaishi kwa kukuuuza news, ndo maana haoni noma kutoka kila mtu maarufu anatokea machoni, for them it's all about survival. Nafikiri Wayne Bridge anaweza kuwa **** kwa namna fulani, maana alishaambiwa (na Gudjohnsen) kwamba huyu demu mapepe, lakini yeye kamtolea macho! Huyo demu cha wote, hana mwenyewe, kila mtu kapoza issue zake hapo!
Duh! Huu udaku sasa! Gazeti gani hilo ebu twambie tulisome, mbona halipo mtaani/mtandaoni?! Hizi filimbi zako tu!
Mkuu hebu niambie nimegundua washabiki wengi wa Arsenal hawana akili timamu, sababu ni nini? Nina jamaa zangu kibao wa Arsenal wote wako nusu wajinga????? any relationship.....
Vanessa huyu! John Terry wala hakufanya kosa hata mimi Masanilo ningeuza mechi si mchezo huyu! tiGo ipo inayolipa....
Hahahahahaha! Kama kocha mwenyewe chizi na bado anajiona "Prof", unategemea nini kwa washabiki/wapenzi?! Ndio maana unaona wanatumuia muda mrefu kwenye ishu za majungu na udaku, nothing constructive!Mkuu hebu niambie nimegundua washabiki wengi wa Arsenal hawana akili timamu, sababu ni nini? Nina jamaa zangu kibao wa Arsenal wote wako nusu wajinga????? any relationship.....
Utawajua tu they have no brains! Sorry man
Muda wa bia huu mkuu, ngoja nikamuone Kiba.
Duh! Huu udaku sasa! Gazeti gani hilo ebu twambie tulisome, mbona halipo mtaani/mtandaoni?! Hizi filimbi zako tu!
Ukweli ni kwamba hawa masholi wanaishi kwa kukuuuza news, ndo maana haoni noma kutoka kila mtu maarufu anatokea machoni, for them it's all about survival. Nafikiri Wayne Bridge anaweza kuwa **** kwa namna fulani, maana alishaambiwa (na Gudjohnsen) kwamba huyu demu mapepe, lakini yeye kamtolea macho! Huyo demu cha wote, hana mwenyewe, kila mtu kapoza issue zake hapo!
Nalinda ndoa yangu na Mzenj nala kwa macho tu ila kaka kishawishi demu huyu hata kinga unaweza sahau ......
Kwa kikosi cha England cha sasa JT ndio anastahili kuwa Captain, Capelo amechemsha
Ndio maana nimesema hakuna mchezaji anayefaa kuwa Captain ,labda Becks lakini nae kiwango kimeshukaMkuu, u-captain ni zaidi ya soka... timu nyingi zinashinda kutokana na inspirational captains, na terry amepoteza hizo sifa maana hata akicheka na demu wa kapelo mtaliano anaweza kukosa usingizi...
personally i think chaguo la Ferdinand sio zuri, ningependa awe diligent zaidi maana wanamtoa kipanga wanaingiza mze wa ma-powwwdderrr
Gerrard na Lampard mimi naona wanafiti sana hapoNdio maana nimesema hakuna mchezaji anayefaa kuwa Captain ,labda Becks lakini nae kiwango kimeshuka