John Terry sacked as England Captain

John Terry sacked as England Captain

Hahahahahah umepinda mkuu.....hivi huwa najiuliza kuna mwanaume hajawahi kucheat jamani maana wadada wanatutega sana! I can never blame John Terry kosa lake alijisahau kama ni celebrity jamaa wakauza news kwa paparazi.......!

Ukweli ni kwamba hawa masholi wanaishi kwa kukuuuza news, ndo maana haoni noma kutoka kila mtu maarufu anatokea machoni, for them it's all about survival. Nafikiri Wayne Bridge anaweza kuwa **** kwa namna fulani, maana alishaambiwa (na Gudjohnsen) kwamba huyu demu mapepe, lakini yeye kamtolea macho! Huyo demu cha wote, hana mwenyewe, kila mtu kapoza issue zake hapo!
 
Lakini kuna gazeti la uingereza limemkosoa sana JT. Inasemekana alikuwa amejaa misifa sana na anayempa kiburi ni Bilionea wao chelsea kwani yuko juu kuliko kocha na ndo kisa kilichomuondoa Jos'e.

Wanadai yeye ndo anapanga watu wale nini wavae nini nbasi ni mtu ambaye alijisahau mno akashindwa kufata maelekezo ya muasisi wake Dersaily ambaye ndiye alimkochi kwa ukubwa sana kuwa beki wa kati mzuri
Duh! Huu udaku sasa! Gazeti gani hilo ebu twambie tulisome, mbona halipo mtaani/mtandaoni?! Hizi filimbi zako tu!
 
Ukweli ni kwamba hawa masholi wanaishi kwa kukuuuza news, ndo maana haoni noma kutoka kila mtu maarufu anatokea machoni, for them it's all about survival. Nafikiri Wayne Bridge anaweza kuwa **** kwa namna fulani, maana alishaambiwa (na Gudjohnsen) kwamba huyu demu mapepe, lakini yeye kamtolea macho! Huyo demu cha wote, hana mwenyewe, kila mtu kapoza issue zake hapo!

Mkuu hebu niambie nimegundua washabiki wengi wa Arsenal hawana akili timamu, sababu ni nini? Nina jamaa zangu kibao wa Arsenal wote wako nusu wajinga????? any relationship.....
 
Duh! Huu udaku sasa! Gazeti gani hilo ebu twambie tulisome, mbona halipo mtaani/mtandaoni?! Hizi filimbi zako tu!


[ame="http://www.forums.mwanakijiji.com/showthread.php?t=397"]THE FALL OF 'MR UNTOUCHABLE' JOHN TERRY[/ame]
 
Mkuu hebu niambie nimegundua washabiki wengi wa Arsenal hawana akili timamu, sababu ni nini? Nina jamaa zangu kibao wa Arsenal wote wako nusu wajinga????? any relationship.....


Kumbe hao ni jamaa zako pole sana khe khe khe
 
Vanessa-Perroncelblog.jpg


article-1248568-08281633000005DC-405_468x660.jpg


vanessa.jpg


Vanessa huyu! John Terry wala hakufanya kosa hata mimi Masanilo ningeuza mechi si mchezo huyu! tiGo ipo inayolipa....

Hapa mkuu hata mimi naingia kavu kavu..kama liwe liwe tuuuuu!
 
Mkuu hebu niambie nimegundua washabiki wengi wa Arsenal hawana akili timamu, sababu ni nini? Nina jamaa zangu kibao wa Arsenal wote wako nusu wajinga????? any relationship.....
Hahahahahaha! Kama kocha mwenyewe chizi na bado anajiona "Prof", unategemea nini kwa washabiki/wapenzi?! Ndio maana unaona wanatumuia muda mrefu kwenye ishu za majungu na udaku, nothing constructive!
 
Muda wa bia huu mkuu, ngoja nikamuone Kiba.
 
Utawajua tu they have no brains! Sorry man

That's the only consolation they have! Majungu, mpira umewashinda sasa wanaishia kwenye maisha ya watu, wakati nao wazinzi vilevile! I think you're too intelligent to argue with such scum!
 
Duh! Huu udaku sasa! Gazeti gani hilo ebu twambie tulisome, mbona halipo mtaani/mtandaoni?! Hizi filimbi zako tu!

Peasant sijakurupuka mzee,

Gazeti: NEWS OF THE WORLD
Date: JAN 31 2010
Page: 97
Title: SOLVE A PROBLEM LIKE JOHN TERRY?
By: NEIL ASHTON, Chief Football Correspondent

Habari inaanza kwa kusema " John Terry began life at Chelsea as an eager apprentice, always willing to carry out instructions of his mentor Marcel Desailly"

Na kuna kipande kinasema " He believes he's second only to Roman......"

Mtaani na si mtandaoni. Hapo mkuu vipi nimekuweza?
 
Ukweli ni kwamba hawa masholi wanaishi kwa kukuuuza news, ndo maana haoni noma kutoka kila mtu maarufu anatokea machoni, for them it's all about survival. Nafikiri Wayne Bridge anaweza kuwa **** kwa namna fulani, maana alishaambiwa (na Gudjohnsen) kwamba huyu demu mapepe, lakini yeye kamtolea macho! Huyo demu cha wote, hana mwenyewe, kila mtu kapoza issue zake hapo!

Mh basi kama ndo ivo kweli ni kweupe hapo!
 
Nalinda ndoa yangu na Mzenj nala kwa macho tu ila kaka kishawishi demu huyu hata kinga unaweza sahau ......

mi hata wangenitishia kunivua uraia ningegonga tu hii ngozi tena bare..hata nikifa nimekula kitu roho inataka.juu ya nini papaaa!!
 
Kwa kikosi cha England cha sasa JT ndio anastahili kuwa Captain, Capelo amechemsha
 
Kwa kikosi cha England cha sasa JT ndio anastahili kuwa Captain, Capelo amechemsha

Mkuu, u-captain ni zaidi ya soka... timu nyingi zinashinda kutokana na inspirational captains, na terry amepoteza hizo sifa maana hata akicheka na demu wa kapelo mtaliano anaweza kukosa usingizi...

personally i think chaguo la Ferdinand sio zuri, ningependa awe diligent zaidi maana wanamtoa kipanga wanaingiza mze wa ma-powwwdderrr
 
Pole John Terry
Ukweli ni kwamba siwezi kukuhukumu kwa kitendo chako kwni mambo haya yanatokea sana kwenye jamii kutokana na aina ya maisha tunayoishi. Pole sana JT, najua ni wakati mgumu sana kwako na familia yako na nchi yako. Naanza kuona yaliyo mpata Tiger Woods yakikupata, jikaze uombe radhi kama ni kweli ndio solution pekee kama sio kweli kataa mpaka mwisho bra
 
Mkuu, u-captain ni zaidi ya soka... timu nyingi zinashinda kutokana na inspirational captains, na terry amepoteza hizo sifa maana hata akicheka na demu wa kapelo mtaliano anaweza kukosa usingizi...

personally i think chaguo la Ferdinand sio zuri, ningependa awe diligent zaidi maana wanamtoa kipanga wanaingiza mze wa ma-powwwdderrr
Ndio maana nimesema hakuna mchezaji anayefaa kuwa Captain ,labda Becks lakini nae kiwango kimeshuka
 
Ndio maana nimesema hakuna mchezaji anayefaa kuwa Captain ,labda Becks lakini nae kiwango kimeshuka
Gerrard na Lampard mimi naona wanafiti sana hapo
 
Back
Top Bottom