Peasant
JF-Expert Member
- Sep 27, 2007
- 3,949
- 698
Hahahahahah umepinda mkuu.....hivi huwa najiuliza kuna mwanaume hajawahi kucheat jamani maana wadada wanatutega sana! I can never blame John Terry kosa lake alijisahau kama ni celebrity jamaa wakauza news kwa paparazi.......!
Ukweli ni kwamba hawa masholi wanaishi kwa kukuuuza news, ndo maana haoni noma kutoka kila mtu maarufu anatokea machoni, for them it's all about survival. Nafikiri Wayne Bridge anaweza kuwa **** kwa namna fulani, maana alishaambiwa (na Gudjohnsen) kwamba huyu demu mapepe, lakini yeye kamtolea macho! Huyo demu cha wote, hana mwenyewe, kila mtu kapoza issue zake hapo!