balibabambonahi
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 15,771
- 14,294
Hawa watu sijui wamejifunza wapi upuuzi wa kuangiana.Hata huyo anayemsema hakutaka kupangiwa.Ikiwa ataka aandikiwe tazia si aandike yeye? Ama shule alienda somea nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Torque,
Nilikuwa na picha nyingi za kuchagua lakini nimeipenda hii aliyovaa kofia hiyo ya mkono.
Leo kitwana kondo 'KK' anatambulika kama kibaraka wa wakoloni !!..Nilisikia akimnanga DW japo alitia na nifaq kwa uchache Kuna mahali akijifanya kumsifia, huenda ukastaajabu aliandika juu ya kitwana kondo kibaraka wa wakoloni lakini ameshindwa kwa magufuli
Abou,Leo kitwana kondo 'KK' anatambulika kaTama kibaraka wa wakoloni !!..
Naam, nimetasema haya baada ya kuona mchango wa mmoja wa wachangiaji akikushambulia kuhusu kuwahi kuandika kuhusu 'KK' huku akimuita kibaraka !Abou,
Katika wale wote waliokuwa katika Special Branch na nawajua kwa majina hakuna hata mmoja aliyeashibiwa na serikali huru ya Tanganyika.
Wote walibakishwa katika kazi ile na wakatumikia serikali huru ya Tanganyika.
Hakuna aliyeonekana kuwa alikuwa kibaraka kwa kuwatumikia Waingereza.
Kwanini rafiki zake wanawake tu?Nilishawahi kutana na huyu mwamba
Wakati nikiwa mdogo alikuwa na urafiki
Na anty zangu
Ova
Kwanini wanawake?Huyu alizaa na mtanzania alikuwa na mtoto
Wa kike familia yake aliwachukuaga huko US
John mtembezi alikuwa rafiki sana wa mama David na Carol Sharp
Mohamed Said
Ova
Nilijiuliza hilo swali siku ya kwanza kabisaMohamed Said mbona John Magufuli hujamuandikia Tazia?
Mzee wangu kwa karama yako ya historia kweli huna la kutupatia kuhusu mwenda zake?Kiranga,
Bahati mbaya sikupata kumjua marehemu kwa kiasi cha kuweza kumwandika.
Kuna ile stori ulishaisimulia kwenye gazeti la raia mwema juu ya wazanzibar walioteswa na special branch chini ya Karume Sr, unaweza kutukumbusha kidogo? Baadhi yao walikimbilia Uk na Germany na kisha kukutana na watesi wao huko ughaibuni.Abou,
Katika wale wote waliokuwa katika Special Branch na nawajua kwa majina hakuna hata mmoja aliyeasulubiwa na serikali huru ya Tanganyika.
Wote walibakishwa katika kazi ile na wakatumikia serikali huru ya Tanganyika.
Hakuna aliyeonekana kuwa alikuwa kibaraka kwa kuwatumikia Waingereza.