Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,501
- 28,711
Gavana wa Mombasa Ali Hassan Joho Jumatatu, Desemba 31 alidhibitisha urafiki wake wa dhati kwa msanii wa Bongo Ali Kiba kwa kumsaidia baada ya mashabiki kufeli kuhudhuria tamasha yake ya mwaka mpya jijini Mombasa.
Baada ya wananchi kutohudhuria tamasha hiyo iliyoandaliwa katika uwanja wa Mombasa Sports Club, Joho aliwaagiza watu kuingia kwenye tamasha hiyo bure kwa sharti la kutumai vitambulisho vya kama tiketi ya tamasha yenyewe
Source
kiswahili.tuko.co.ke
Sent using Jamii Forums mobile app
Baada ya wananchi kutohudhuria tamasha hiyo iliyoandaliwa katika uwanja wa Mombasa Sports Club, Joho aliwaagiza watu kuingia kwenye tamasha hiyo bure kwa sharti la kutumai vitambulisho vya kama tiketi ya tamasha yenyewe
Source
kiswahili.tuko.co.ke
Sent using Jamii Forums mobile app