JOHO arrested Earlier Today

Kwa hiyo Kafrican amekuwa mtanzania na mtu wa CCM ?
 
Watu wa CCM ni kama Nyumbu, Mwenyekiti wao Rafiki ya Raila basi na wao huko huko
Nyumbu Tanzania wanajulikana, CCM na uchafu wao wote ila sio nyumbu, kuna uhuru wa kufikiria, wale wanaomtukuza Lowasa saivi ndio baada ya kumtukana kwa miaka 10 ndio Nyumbu, wanajijua.
 
hahaha, ni kwa sababu Odinga ni mtu wa Magufuli
 
Nyumbu Tanzania wanajulikana, CCM na uchafu wao wote ila sio nyumbu, kuna uhuru wa kufikiria, wale wanaomtukuza Lowasa saivi ndio baada ya kumtukana kwa miaka 10 ndio Nyumbu, wanajijua.
Wameijua kweli ikawaweka huru, Lowassa hana ufisadi wowote, na ndio maana ile mahakama haina mtu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…