Ni kweli kabisa.Majukumu makubwa yanauchosha mwili unazeeka kwa haraka. Fuatilia Marais wengi wakati wanaingia madarakani mionekano yao na baada ya mwaka mmoja na kuendelea.
Bado ni mrembo lakini na hakuna atakayebaki kijana milele. Hata wewe kuna watu wanakuona umezeeka pia.
Numbisa stress za kitu gani?Stress zinampelekesha
Kuna uwezekano mkubwa huyu binti mwakani akaweza kuingia bungeni kama mbunge wa viti maalumu.Mh. Jojo akihutubia kikaoni leo katika mkutano wa UWT. Ni kama ameanza kula chumvi sasa! Ujana kweli haudumuView attachment 2927383
Viongoziu wanauchukulia majukumu yao serious na hutumia akili sana wanapokuwa kazini huwa wanachoka haraka sana wakati wale wasiokuwa serious huponda raha sana. Waangalie akina Obama na Clinton alivyo leo uwalinganishe na George Bush. Kiumri Obama ni mdogo kjwa Bush wakati Clinton na Cliunton wana umri unaolingana.Majukumu makubwa yanauchosha mwili unazeeka kwa haraka. Fuatilia Marais wengi wakati wanaingia madarakani mionekano yao na baada ya mwaka mmoja na kuendelea.
Bado ni mrembo lakini na hakuna atakayebaki kijana milele. Hata wewe kuna watu wanakuona umezeeka pia.
Yes, sababu ya uzazi.Ni kweli kabisa.
Lakini ukiwa mtu wa mazoezi inasaidia kuchelewesha kuonekana mzee.
Hivi pia kuna ukweli ninyi wanawake huwa mnazeeka haraka kulinganisha na wanaume?
Hakujua kuwa ni Jokate kivipi? Kama unawezafafanua tafadhaliKipindi tunasoma kuna jamaa yangu hakujua kama ni Jokate akaanza kumpigia misele, siku anajua alijiona fala [emoji3]
Majukumu makubwa yanauchosha mwili unazeeka kwa haraka. Fuatilia Marais wengi wakati wanaingia madarakani mionekano yao na baada ya mwaka mmoja na kuendelea.
Bado ni mrembo lakini na hakuna atakayebaki kijana milele. Hata wewe kuna watu wanakuona umezeeka pia.
Sure ,Jokate ana sura ya kitoto ,hata akifikisha 50 bado ataonekana yupo fresh.Yupo fresh tu sema hajafanya makeup.
Mbn kama umepanic?Majukumu makubwa yanauchosha mwili unazeeka kwa haraka. Fuatilia Marais wengi wakati wanaingia madarakani mionekano yao na baada ya mwaka mmoja na kuendelea.
Bado ni mrembo lakini na hakuna atakayebaki kijana milele. Hata wewe kuna watu wanakuona umezeeka pia.
Majanga tupu hakuna u-afadhariBado ni mrembo lakini na hakuna atakayebaki kijana milele. Hata wewe kuna watu wanakuona umezeeka pia.
Nikajua Jojo wa Too little too late
Msemaji wa hamasNdio nani huyo huko Daslamu?
Ali mpata sasa au ikawaje ?!Kipindi tunasoma kuna jamaa yangu hakujua kama ni Jokate akaanza kumpigia misele, siku anajua alijiona fala [emoji3]
Alighairi, alijipima pumzi ilikuwa ndogo.Ali mpata sasa au ikawaje ?!
Vigogo walisha jiweka pale pumzi lazima ikate h ha h haAlighairi, alijipima pumzi ilikuwa ndogo.