Jojo anazeeka sasa, kweli ujana haudumu

Jojo anazeeka sasa, kweli ujana haudumu

Majukumu makubwa yanauchosha mwili unazeeka kwa haraka. Fuatilia Marais wengi wakati wanaingia madarakani mionekano yao na baada ya mwaka mmoja na kuendelea.

Bado ni mrembo lakini na hakuna atakayebaki kijana milele. Hata wewe kuna watu wanakuona umezeeka pia.
Ni kweli kabisa.

Lakini ukiwa mtu wa mazoezi inasaidia kuchelewesha kuonekana mzee.

Hivi pia kuna ukweli ninyi wanawake huwa mnazeeka haraka kulinganisha na wanaume?
 
Majukumu makubwa yanauchosha mwili unazeeka kwa haraka. Fuatilia Marais wengi wakati wanaingia madarakani mionekano yao na baada ya mwaka mmoja na kuendelea.

Bado ni mrembo lakini na hakuna atakayebaki kijana milele. Hata wewe kuna watu wanakuona umezeeka pia.
Viongoziu wanauchukulia majukumu yao serious na hutumia akili sana wanapokuwa kazini huwa wanachoka haraka sana wakati wale wasiokuwa serious huponda raha sana. Waangalie akina Obama na Clinton alivyo leo uwalinganishe na George Bush. Kiumri Obama ni mdogo kjwa Bush wakati Clinton na Cliunton wana umri unaolingana.
 
Majukumu makubwa yanauchosha mwili unazeeka kwa haraka. Fuatilia Marais wengi wakati wanaingia madarakani mionekano yao na baada ya mwaka mmoja na kuendelea.

Bado ni mrembo lakini na hakuna atakayebaki kijana milele. Hata wewe kuna watu wanakuona umezeeka pia.

Watu wanashindwa kujua hii formula ,ukishajua hii formula utajua jinsi ya kuishi.

Mwenye umri wa miaka 6 anaona wa miaka 10 mkubwa na hata wakianza kucheza uwanjani wanaogopa na kusema hatutaki huyo mkubwa ,na wa 10 anaona wa 15 mkubwa ,wa 15 anaona wa 19 mkubwa ,wa 25 anaona wa 30 mkubwa ,wa 30 anaona wa 35 mkubwa ,wa 35 anaona wa 40 mkubwa ,wa 40 anaona wa 45 mkubwa and list goes on.....Na hata yeye anayemuona jokate mkubwa kuna wengine nao wanamuona yeye mkubwa vile vile(umeongea ukweli sana Sister Nifah).
 
Nikajua Jojo wa Too little too late

Hata huyo age inaenda sasa, sema make up zinawabeba watu wa hii gender

1000018806.jpg



1000018805.jpg
 
Back
Top Bottom