Msanii
Platinum Member
- Jul 4, 2007
- 25,252
- 36,513
Si kwa nia mbayaMh. Jojo akihutubia kikaoni leo katika mkutano wa UWT. Ni kama ameanza kula chumvi sasa! Ujana kweli haudumuView attachment 2927383
Aache kutumia madikodiko anayoyapaka mwilini maana hata mie juzi nilikuwa nashangaa namna alivyoanza kuonesha batiki kwenye ngozi ya uso wake...
Siyo kwamba anazeeka, bali anaporomoka haswaa
Hata bure sichukui