mi ningekua jokate ningeuza elf tatu ndala ili ht mtu mwenye kipato cha chini annue
Kweli haonii ata bhakresa Ana soko Kubwa temeke ndio wamemmpa utajiri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mi ningekua jokate ningeuza elf tatu ndala ili ht mtu mwenye kipato cha chini annue
mi ningekua jokate ningeuza elf tatu ndala ili ht mtu mwenye kipato cha chini annue
Kweli haonii ata bhakresa Ana soko Kubwa temeke ndio wamemmpa utajiri
Alishindwa jua kuwa soko lipo mbagala huko na tandale
ndo sehemu ambazo majina yao yanauza na wale hawawez kumudu tsh 15000 watu kama Shigongo wametajirikia kwa hawa watu.
Ngoja nika download kwanza nijionee huo upuuzi
Had saiv she is still looking kwa kitu ambacho kitamtoa ,na kwa vile siyo hizo ndala wala hizo wigs ambazo zimetake off had sasa. yupo right kuendelea kujaribu other ideas.
kujaribu ni kitu kimoja na kufanikiwa ni kitu kingine ila sijui ni kwa nini watu wameichukulia hii negative. mwacheni ajifanyie vitu vyake na ajaribu vingi tu we only live once na huwez jua nini kitamtoa
Anapaswa kuangalia kabla hajaanza......kitendo cha kuanzisha biashara 10 halafu una hama hama inaonyesha jinsi gani alivyokuwa hajajipanga na hajui soko linataka nini.
Kitendo cha kuuza ndala 15 pale ndipo nilipogundua hataki kufanya biashara bali anataka kupiga picha nakuweka IG coz kitu kama ndala uswahilini ndo zinatumika Sana lakin hawawezi kununua kwa bei hyo.
Amegundua namna yake ya kutafta kiki ni kwa kujifanya hustler.
so anatafuta tu picha za IG Na ndo maana lounching ya product inabak kuwa maarufu kuliko product yenyewe
Anapaswa kuangalia kabla hajaanza......kitendo cha kuanzisha biashara 10 halafu una hama hama inaonyesha jinsi gani alivyokuwa hajajipanga na hajui soko linataka nini.
Kitendo cha kuuza ndala 15 pale ndipo nilipogundua hataki kufanya biashara bali anataka kupiga picha nakuweka IG coz kitu kama ndala uswahilini ndo zinatumika Sana lakin hawawezi kununua kwa bei hyo.
points tupu
Thanks.....njoo kule kuna mtu kakatwa dudu
hahaaa nimekuja akome
Mimi nakupenda wewe na Novida.Navyoipenda novida acha kabithaaaa
Ukitaka kuamini uchawi upo, soma comments za watu kwenye jambo lolote la mafanikio ya mtu maarufu