Kumwacha jokate na kumla seven ni sawa umefaya mtihan wa six ukapata one na ukapewa na std 7 ukapata 0Wewe ungekuwa kiba ungemuacha Kumla seven?
Aijuaye mvua imemunyea so mwenye majibu sahihi ni king asiye na kingdomKumwacha jokate na kumla seven ni sawa umefaya mtihan wa six ukapata one na ukapewa na std 7 ukapata 0
Seven na Alikiba wanacheza tu mechi za kirafiki na jokate kashtukia hiyo kitu ndo maana kakaa pembeni.Kumwacha jokate na kumla seven ni sawa umefaya mtihan wa six ukapata one na ukapewa na std 7 ukapata 0
Asante mkuu!!Nimemuona...kumbe ndio huyu?Huyu hapa seven
View attachment 476629
Huyo manager hana lolote anamaliza alikiba tu nguvu za kiume ndio maana jukwaani anacheza kama tahiraKatumika na kutemwa ila apunguze nyondo, lakini nae hakujua mwenzake alitaka kiki tu.
Manager ake ana enjoy now
Pole candyY jojo kidoti, hakastahili hyo yte dah [emoji24] [emoji24] [emoji24] [emoji24]
Ila wasanii watu wamezoea kubemendwa naona kiba anafata nyao za dogo wke mond,hyo seven si 4os chaaa!![emoji57] [emoji57] [emoji57] [emoji57]Huyo manager hana lolote anamaliza alikiba tu nguvu za kiume ndio maana jukwaani anacheza kama tahira
Duuuh!!Huyo manager hana lolote anamaliza alikiba tu nguvu za kiume ndio maana jukwaani anacheza kama tahira
hii kauli kama imeficha mengi funguka fungukaHuyo manager hana lolote anamaliza alikiba tu nguvu za kiume ndio maana jukwaani anacheza kama tahira