Jokate ajibu baada ya Alikiba na mama yake kumkana

Jokate ajibu baada ya Alikiba na mama yake kumkana

Hawa wanawake wa siku hizi sijui wana matatizo gani yarabi,eti utawasikia natamani kuzaa au natafuta mtoto! Sasa unatafutaje mtoto wakati hata wa kuzaa nae humjui? Huna mume na unabadilisha wanaumme,huna permanent boy friend huko tu na ukiulizwa relationship unasema ni eti oh is complicated or no strings attached. Mwacheni Kiba awavue chupi hakuna namna nyingine.
True mkuu na ndicho nimesemea pale juu, wanawake wetu wa miaka hii sijui wapoje na wanaendeshwa na falsafa gani za kimaisha.
Wao wanaamini kuwa maisha ni kufanya kile akili inajisikia na si kwenda na uhalisia wa maisha.

Kitendo cha mwanamke kusema anazaa tu na yeyote anaekuja kwa matakwa yake ni kitendo cha laana na kuzalisha kizazi cha watoto ambao hawana maadili na wenye upotofu juu ya ujenzi wa familia. Haya ni matokeo ya fikra za kimagharibi kuamini chochote kinawezekana ukitaka bila kujali limits za jamii unayoishi.

Ndio maana sikuhizi tuna hadi gays na lesbians kwenye makazi yetu sababu ya mienendo na tabia za wanawake.

Wanawake wajitazame sana wanapoelekea na maamuzi yao.
 
Yeye mwenyewe kama ni strong enough anaweza kumfanya mkaka yeyote mwenye mapenzi mema kwake kuwa mwenye hadhi ya mjini. Hao ready made wanamuumiza moyo tu.
Huyu atakuwa ana toxic elements kwenye mahusiano.
 
Kwa hili nimeipenda style ya Mwanafalsafa, amejichukulia binti mzuri tu wala hajulikani ameoa. Fikiria angeoa mmoja wa bongo flava au bongo movie.
True. Kuna wanawake wazuri sana huko mtaani na hawana majina. Why unahangaika na hawa wasiokaa siku mbili bila skendo.
 
Historia ya washindi wengi wa miss Tz wametusua kimaisha na nyota zao hazifubai kmJacklin, Faraja nk ila ni kinyume kabisa na hawa; Joket na Wema, sijui walikosea step wapi
Hauangalii matendo yao.... Batch ya akina wema kutoka namba moja hadi tano wote walikuwa ni vilaza....
 
Ila wanaume wengine huruma hawana, katoto kama jokate naona kama kametulizana, hana skendo, mtaratibu, mpole, ana sifa zote za kuitwa mwanamke, kiba amezoea magurunyembe that's why, Kidoti mungu atakupa wa aina yako mama
Wewe umehakiki vipi kuwa jokate katulia....?!
 
True mkuu na ndicho nimesemea pale juu, wanawake wetu wa miaka hii sijui wapoje na wanaendeshwa na falsafa gani za kimaisha.
Wao wanaamini kuwa maisha ni kufanya kile akili inajisikia na si kwenda na uhalisia wa maisha.

Kitendo cha mwanamke kusema anazaa tu na yeyote anaekuja kwa matakwa yake ni kitendo cha laana na kuzalisha kizazi cha watoto ambao hawana maadili na wenye upotofu juu ya ujenzi wa familia. Haya ni matokeo ya fikra za kimagharibi kuamini chochote kinawezekana ukitaka bila kujali limits za jamii unayoishi.

Ndio maana sikuhizi tuna hadi gays na lesbians kwenye makazi yetu sababu ya mienendo na tabia za wanawake.

Wanawake wajitazame sana wanapoelekea na maamuzi yao.
Katika ja mbo ambalo serikali ilikosea ni kuruhusu importation ya TV wakati akili zetu bado zilikua hazijapevuka, na sasa ndio tuna simu janja ndio jamii inazidi kuharibika.
 
Magufuli kauliza wazaramo mmekwama wapi? Yaani Jokate yupo yupo tu huko Kisarawe nyinyi mnacheza ngoma tu.
 
Kuna kitu hakipo sawa kuhusu huyu binti. Niliwahi kutazama kipindi alikuwapo nadhani ilikuwa ni EATV. Walikuwa wakizungumzia kuhusu maswala ya wanawake, maendeleo na shughuli zao....

Kwa namna alikuwa anazungumza nilisense ndani ya sauti yake haiba ya ujuaji. Unajua wanaume tunapenda mwanamke anaejua vitu ili awe msaada katika maeneo fulani ya maisha but sio mwanamke ambaye anabehave kuwa ni mjuaji kwa maana ya kutaka kukupanda mwanaume na kuwa juu yako na kuwa aggressive yaani ubishi na kiherehere. Hicho nilikiona na sijajua kwa wanaomjua kiundani but nahisi hiyo ni kitu anayo.

Anauongeaji fulani ambao ni ngumu kumvutia mwanaume labda wanawake wenzake..... Anaongea haraka na kwa sauti fulani ya kulazimisha au kutaka kusikilizwa zaidi badala ya sauti ya kushawishi zaidi.

Nadhani pengine hii ni mojawapo ya sababu kila anapokutana na wanaume wanamuona kama kero baada ya kukaa nae kwa muda.

Pia, sikumbuki nilisoma wapi, but kuna sehemu nilisoma muda mrefu sana ilikuwa ni mahojiano ya kwenye gazeti. Alionyesha kama ni mtu hana opinion nzuri juu ya wanaume yaani ana Toxic Feminism elements. Na ndio maana ukitazama hata kampeni zake kule kisarawe anasema tokomeza zero ila katika matamshi yake anazungumzia mtoto wa kike.

Katika hali ya kawaida ukiona mwanamke anafikia hatua ya kuhama kwa wanaume wengi na baada ya hapo anakuja kusema anatafuta mtoto tu jua wazi shida sio wanaume ni yeye.....

Wanaume wapo wengi sana na kuwapata si kazi kama wanavyojiaminisha kuwa wanaume ni wakorofi ila ukweli ni kwamba wanawake wengi wanakuwa wanaingizia misongo ya mawazo na experience zao za miaka ya nyuma katika mahusiano mapya kila wanapoingia na kujikuta wanawairritate hawa wanaume.
You nailed it!
 
Kuna kitu hakipo sawa kuhusu huyu binti. Niliwahi kutazama kipindi alikuwapo nadhani ilikuwa ni EATV. Walikuwa wakizungumzia kuhusu maswala ya wanawake, maendeleo na shughuli zao....

Kwa namna alikuwa anazungumza nilisense ndani ya sauti yake haiba ya ujuaji. Unajua wanaume tunapenda mwanamke anaejua vitu ili awe msaada katika maeneo fulani ya maisha but sio mwanamke ambaye anabehave kuwa ni mjuaji kwa maana ya kutaka kukupanda mwanaume na kuwa juu yako na kuwa aggressive yaani ubishi na kiherehere. Hicho nilikiona na sijajua kwa wanaomjua kiundani but nahisi hiyo ni kitu anayo.

Anauongeaji fulani ambao ni ngumu kumvutia mwanaume labda wanawake wenzake..... Anaongea haraka na kwa sauti fulani ya kulazimisha au kutaka kusikilizwa zaidi badala ya sauti ya kushawishi zaidi.

Nadhani pengine hii ni mojawapo ya sababu kila anapokutana na wanaume wanamuona kama kero baada ya kukaa nae kwa muda.

Pia, sikumbuki nilisoma wapi, but kuna sehemu nilisoma muda mrefu sana ilikuwa ni mahojiano ya kwenye gazeti. Alionyesha kama ni mtu hana opinion nzuri juu ya wanaume yaani ana Toxic Feminism elements. Na ndio maana ukitazama hata kampeni zake kule kisarawe anasema tokomeza zero ila katika matamshi yake anazungumzia mtoto wa kike.

Katika hali ya kawaida ukiona mwanamke anafikia hatua ya kuhama kwa wanaume wengi na baada ya hapo anakuja kusema anatafuta mtoto tu jua wazi shida sio wanaume ni yeye.....

Wanaume wapo wengi sana na kuwapata si kazi kama wanavyojiaminisha kuwa wanaume ni wakorofi ila ukweli ni kwamba wanawake wengi wanakuwa wanaingizia misongo ya mawazo na experience zao za miaka ya nyuma katika mahusiano mapya kila wanapoingia na kujikuta wanawairritate hawa wanaume.
Na huu ndio uhalisia wake kwa 90%
 
Zamani kule kijijini , mademu kama Jokate tulikuwa tunawaita jamvi la wageni.
Hapa mjini nasikia wanaitwa Mama Huruma
 
Katika ja mbo ambalo serikali ilikosea ni kuruhusu importation ya TV wakati akili zetu bado zilikua hazijapevuka, na sasa ndio tuna simu janja ndio jamii inazidi kuharibika.
Kumbe kuna wakati akili zako huwa zinakaa sawa. Leo umejitahidi kuandika point.
 
Acheni masihara seven mtoto mzuri nyie kiba hakuwa na namna au mshasahau FA aliiimba

"..na lugha tamu kama ya SEVEN najua mnawaita masista duu....""

Sauti nzuri na sexual attraction ya mrembo yule siwezi kujifuvunga aisee

Najua mtasema "mbaya" but kwenye ulimwengu Wa wakubwa seven ni kama Beyonce au Britney spears kabla hajawa tena akiwa mbichi kabisa[emoji14] [emoji121]

View attachment 476640
Hii nikipost simu ikiwa betri low sio Mimi huyu[emoji1787][emoji1787]

[emoji125][emoji125][emoji125][emoji125]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna kitu hakipo sawa kuhusu huyu binti. Niliwahi kutazama kipindi alikuwapo nadhani ilikuwa ni EATV. Walikuwa wakizungumzia kuhusu maswala ya wanawake, maendeleo na shughuli zao....

Kwa namna alikuwa anazungumza nilisense ndani ya sauti yake haiba ya ujuaji. Unajua wanaume tunapenda mwanamke anaejua vitu ili awe msaada katika maeneo fulani ya maisha but sio mwanamke ambaye anabehave kuwa ni mjuaji kwa maana ya kutaka kukupanda mwanaume na kuwa juu yako na kuwa aggressive yaani ubishi na kiherehere. Hicho nilikiona na sijajua kwa wanaomjua kiundani but nahisi hiyo ni kitu anayo.

Anauongeaji fulani ambao ni ngumu kumvutia mwanaume labda wanawake wenzake..... Anaongea haraka na kwa sauti fulani ya kulazimisha au kutaka kusikilizwa zaidi badala ya sauti ya kushawishi zaidi.

Nadhani pengine hii ni mojawapo ya sababu kila anapokutana na wanaume wanamuona kama kero baada ya kukaa nae kwa muda.

Pia, sikumbuki nilisoma wapi, but kuna sehemu nilisoma muda mrefu sana ilikuwa ni mahojiano ya kwenye gazeti. Alionyesha kama ni mtu hana opinion nzuri juu ya wanaume yaani ana Toxic Feminism elements. Na ndio maana ukitazama hata kampeni zake kule kisarawe anasema tokomeza zero ila katika matamshi yake anazungumzia mtoto wa kike.

Katika hali ya kawaida ukiona mwanamke anafikia hatua ya kuhama kwa wanaume wengi na baada ya hapo anakuja kusema anatafuta mtoto tu jua wazi shida sio wanaume ni yeye.....

Wanaume wapo wengi sana na kuwapata si kazi kama wanavyojiaminisha kuwa wanaume ni wakorofi ila ukweli ni kwamba wanawake wengi wanakuwa wanaingizia misongo ya mawazo na experience zao za miaka ya nyuma katika mahusiano mapya kila wanapoingia na kujikuta wanawairritate hawa wanaume.
Ujuaji+ too much talking + kutokujishusha ni sumu Kali Sana kwa wanawake dhidi ya wanaume Mimi mwenyewe lazima ni rush away kwa mwanamke wa hvo , demu gan mkiwa nae na washkaji unakuwa standby mda wwte anaweza akakurushia neno duuh
 
Munafata nini makaburini ninyi, mutakua wanga si bure
 
True mkuu na ndicho nimesemea pale juu, wanawake wetu wa miaka hii sijui wapoje na wanaendeshwa na falsafa gani za kimaisha.
Wao wanaamini kuwa maisha ni kufanya kile akili inajisikia na si kwenda na uhalisia wa maisha.

Kitendo cha mwanamke kusema anazaa tu na yeyote anaekuja kwa matakwa yake ni kitendo cha laana na kuzalisha kizazi cha watoto ambao hawana maadili na wenye upotofu juu ya ujenzi wa familia. Haya ni matokeo ya fikra za kimagharibi kuamini chochote kinawezekana ukitaka bila kujali limits za jamii unayoishi.

Ndio maana sikuhizi tuna hadi gays na lesbians kwenye makazi yetu sababu ya mienendo na tabia za wanawake.

Wanawake wajitazame sana wanapoelekea na maamuzi yao.
I second you!
Hivi eti unazaaje tu na kila mtu!?
Yaani Kati ya vitu sivielewi ni pamoja na hili suala!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom