Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Ndo maana simpendi Ali Kibakuli, anajisikia sana lakini hana kitu. Sijui angekuwa na fedha na umaarufu wa Diamond ingekuwaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una utani ni wakazi wa Call Me JayKumwacha jokate na kumla seven ni sawa umefaya mtihan wa six ukapata one na ukapewa na std 7 ukapata 0
Acha kusifia uongo-Jokate ni wa kawaida tu...media zinambeba kimtindo.Mmmh ila Jokate mzuri jamani
Nilikutana nae msasani ni chombo hasa!
Baada ya kuulizwa kwenye kipindi cha clouds 360 anachukuliaje Ali Kiba na mama yake kumkana kwenye mapokezi ya msanii huyo, mrembo Jokate alijibu "Mimi kila kitu nachukulia positive unaambiwa tenda wema nenda zako, kwanza sitaki kuamini kwamba walimaanisha, labda waliteleza au walikosea script."
Jokate aliongeza yupo single na ameanza kutamani kuwa na mtoto.
View attachment 476614
We humjui..simple..Acha kusifia uongo-Jokate ni wa kawaida tu...media zinambeba kimtindo.
Umetaja ukoo wangu "MBORO YA NG'UMBE" au umemaanisha ile nyama mfupa.jojo kwanza acha kujiita jojo ... pipi jojo ni tamu ila zinalika sana pia,,, your a lady now no longer a girl act like one ... stop hizo drama msimu umepita unatakiwa ujiandae kuwa na drama na mwanao na mumeo ukijaliwa... ... jojo be yourself halafu acha kushoboka kama teenager .. unajua tayari mboro zote mjini hapa size utamu na raha ya kutiwa unajua sasa si mda wa kutiana tena ni muda wa kutiwa kwa malengo sasa.. mastaa hawa si wakuganda ukiona hakufai nduki kuwa mwingine hadi umpate utakaye tulia naye............. kumbuka uzee waja utakuwa maskini pale utakapo shindwa kuacha urithi wako unaoeleweka duniani ukafa ukapotea potea pote ... jojo drama zina mwisho
Namfahamu vizuri tu...alikuwa anatembeza ndalla maofisini-ni wa kawaida sana tu...sema labda wewe ni kimeo na haujui kuchagua.period.We humjui..simple..
nyama mfupaUmetaja ukoo wangu "MBORO YA NG'UMBE" au umemaanisha ile nyama mfupa.
Hahaha....lakini ni mtoto wa kingoni yuleInaonekana jokate hajui kukatika mauno kwenye 6x6 ni mvivu katemwa, sana na mastaa
Kiba alimtumia kupandia ngazi
We kilaza wa Lumumba njoo urudie haya maneno..😂😂😂😂😂😂Katumika na kutemwa ila apunguze nyondo, lakini nae hakujua mwenzake alitaka kiki tu.
Manager ake ana enjoy now